Stephen Membe aiteka Mtama, Nape amuomba Rais Samia kuokoa jahazi

Stephen Membe aiteka Mtama, Nape amuomba Rais Samia kuokoa jahazi

Nape akibwagwa nitafurahi maana ni mchumia tumbo tu kwenye siasa. Amejaa unafiki sana. Siku zote naunga mkono wenye msimamo kiitikadi kujali maslahi ya umma kwanza. Kumchukia na kumkejeli mwanamapinduzi magufuli ni kosa binafsi sitamsamehe maana alipoomba msamaha kwa magufuli ilikua usanii tu.
Uko kama mimi kimsimamo mkuu!
 
Yani rais aje huko sababu ya Nape? Hqmna shughuli nyinyi
Je! Unaujua umuhimu wa Nape kwenye Deal za Samia?
Unaujua umuhimu wa Nape kwenye kampeni na ushawishi ndani ya CCM wanapoingia kwenye harakati za ndani ya chama chao?
Kwako wewe Rais ni nani hata asiguswe na kupoteza jimbo kwa chama chake ambacho pia ni mwenyekiti wake.

Humu ndani tunashea na baadhi ya wapuuzi msiojua kinachoendelea ila mnaona raha k7chezea simu zenu.
 
Je! Unaujua umuhimu wa Nape kwenye Deal za Samia?
Unaujua umuhimu wa Nape kwenye kampeni na ushawishi ndani ya CCM wanapoingia kwenye harakati za ndani ya chama chao?
Kwako wewe Rais ni nani hata asiguswe na kupoteza jimbo kwa chama chake ambacho pia ni mwenyekiti wake.

Humu ndani tunashea na baadhi ya wapuuzi msiojua kinachoendelea ila mnaona raha k7chezea simu zenu.
Angekua na huo ushawishi chama kisingewafia mkononi 2015 yeye na JK..

Angekuwa na huo ushawishi wanachama wasingepopolewa mawe walipokuwa wakivaa nguo za ccm ye akiwa mwenezi.

Nape hanaga ushawishi wowote kisiasa..ndii maana juzi kati kabla hajapata nafasi aliandaa hitma ya kumkumbuka baba yake ili aonekane kwe ye teuzi na toka alipopewa teuzi hajafanya tena hitma.

Yaani anaishi kwa kivuli tu ila hana ushawishi wowote kisiasa wala kiuongozi. Yeye na Januari.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Je! Unaujua umuhimu wa Nape kwenye Deal za Samia?
Unaujua umuhimu wa Nape kwenye kampeni na ushawishi ndani ya CCM wanapoingia kwenye harakati za ndani ya chama chao?
Kwako wewe Rais ni nani hata asiguswe na kupoteza jimbo kwa chama chake ambacho pia ni mwenyekiti wake.

Humu ndani tunashea na baadhi ya wapuuzi msiojua kinachoendelea ila mnaona raha k7chezea simu zenu.

Mbuzi kweli wewe, huna facts yeyote.
 
Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA.

Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.

Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.

"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.

My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.
😀 mwanasiasa mzuri sana wewe, unatishia na unamtahadharisha nape then unatoa hadi ushauri ccm wafanyaje kumdhibiti huyo membe wa chadema.
 
Kma
Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA.

Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.

Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.

"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.

My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.
Kama tatizo ni kuhamia Dar,si atajenga nyumba na kuwepo Jimboni muda mwingi.
Vilevile ikumbukwe kuwa huko vijijini Chadema bado haijasambaa.
 
Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA.

Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.

Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.

"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.

My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.
CCMwatatumia MBINU za 2020 kuwa fomu ya Membe imekosewa na imeletwa saa 12 jioni badala ya saa 10 na hivyo Nape amepita bila kupingwa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama. [emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maoni yangu naweza kusema kama kweli ameenda CHADEMA, basi kilichoplekea aahamie huko ni ule umahiri wa NAPE ndani ya CCM. Amejua fika kuwa kama ikitokea wakachuana na NAPE ndani ya CCM, uwezekano wa yeye kutoboa haupo na hivyo solution ikawa ni kuhamia kwenye chama kingine
 
Nape hana wasiwasi hata kama WanaMtama wote mtahamia chadema halafu yeye tu na mkewe ndiyo wakabakia ccm.

Watatumia bao la mkono linaloungwa mkono na tume mbovu ya uchaguzi iliyozaliwa na katiba mbovu ya mwaka 1977.

Chini ya katiba na tume hii, mpinzani kishiriki kushiriki uchaguzi 2024 na 2025 ni kupoteza muda tu
 
Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA.

Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.

Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.

"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.

My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.
Watarogana
 
Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA.

Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.

Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.

"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.

My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.
Akipigwa chini atapewa u RC
 
Back
Top Bottom