SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ni mzawaHuyo Membe ni nani mpak Raisi wa nchi afanye ziara kwa ajili yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mzawaHuyo Membe ni nani mpak Raisi wa nchi afanye ziara kwa ajili yake.
Alipokufa Mdai, na deni likafaHivi ile kesi ya The late Membe ya madai yake kwa Musiba iliishaje au inaendeleaje?
Tukupemba maswaa!😀🙏Kwao Tukuyu
AahaaaaKamsaidie Nape.Siku hizi kuna VAR ya United Nations.Goli la mkono limekataliwa.
Hatukubali.Deni lilipwe.Alipokufa Mdai,na deni likafa
Imekaa vizuri,Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.
Mtajua wenyewe,Hatukubali.Deni lilipwe.
Sijakuelewa ila basi tu!Kuna watu wana vipaji hadi malaika wanakesha kuwaombea kheri.Kuwa makini na dunia hii.
Wahuni wakubwa ninyi.Kagazeti kenu Tanzanite sikaoni.Mtajua wenyewe,
Miye na mtani wangu Musiba tupo tunakula bata tu
Utaelewa tu muhishimiwa.Uwe mtulivu.Sijakuelewa ila basi tu!
Nape kwao ni kwimbaKwani wao nape ni wapi kama sio huko mtama
Nape bye bye. Kwenda kuleeeee!Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chadema.
Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.
Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.
"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.
My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.
Sawa mkuuUtaelewa tu muhishimiwa.Uwe mtulivu.
Wamehama wengi waliolelewa na vyama vyao, hana kosa. Ninachojiuliza kumbe mbio za 2025 zishaanza tayari?Huyo Membe atauona moto fala huyo CCM imemlea na sasa ahame atalamba mawe mjinga huyo
Kwani wao nape ni wapi kama sio huko mtama
Nani wa kuombewa?Kama ni Nape mimi namuombea maji ya kunywa.Tumuombee aione 2025, mungu asije akaamua ugomvi
Anguko la Nape halikwepeki.Stephen Kamilius Membe ambaye ni mdogo wake marehemu Bernard Membe amemkalia kooni Mbunge wa Mtama Nape Nnauye baada ya kuweka hadharani nia yake ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chadema.
Upepo wa siasa hapa Mtama umegeuka ambapo kila kona ya Kijiji watu wanamuimba Membe tu mdomoni jambo ambalo linaonekana kama pigo kwa CCM kiasi cha kuomba "mma" kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Taarifa kutoka "ndani" zinadai kwamba ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuja hapa Kusini kwa maana ya Lindi na Ntwara imelazimishwa kuja kumuokoa Waziri Nape anayeonekana wazi kuzama kisiasa.
Membe amejiunga na Chadema na tayari anatarajia kufanya ziara Jimbo zima la Mtama kila Kijiji kusalimia wazee wa Kimwera walioudhika na uongozi wa Nape uliohamia Dar es salaam badala ya Mtama.
"Wanaohamua nani awaongoze na kwa wakati Gani ni sisi wenyewe wana Ntama, kwa Sasa tumeamua tunamtaka ntoto wetu Membe atuongoze, Nape arudi kwao", amesema Mzee Sijaona wa Chiponda Senta.
My take: Nape tafuta Chaka lingine Mtama si muafaka tena kwako. CCM tafuteni mpinzani sahihi kwa Stephen Membe otherwise jimbo linakwenda kwa Chadema.
Kuhofia maana yake nn? Ila kimkakati anafahamu kuna vipaumbele vya ccm hamna kuraOoohoooo!Nape hakawii kutembelea magoti.[emoji848]