Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema wameiba nini, kulingana na ripoti ya CAG?.Kuliko Yale ya CHADEMA?
Kwa kuwa hanyanyui maweYule mzee watamuua asee. Kwa hali yake ile anawezaje kuwa kiongozi
Sio tishio kwa nafasi ya mwenyekiti, hana kambi hajui dili, nimkulima wa zabibu, hana malengo makubwa ya kisiasa hana watoto tishio kwenye siasa za Tanzania, imekua surprise kwa kila mdau.Mwenyekiti wa CCM amemtangaza Mhe. Pinda ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu kuwa mrithi wa Kinana. Wajumbe na wanachama sambamba na wananchi wameonekana kutopokea positive pendekezo hili au wameshtuka kwa kilichotokea. Je, walimtegemea nani?
Tukumbuke cheo hiki hakuna kugombania bali linapelekwa jina moja ambalo litapata kura za ndio na hawana. Lakini pia historia inaonyesha kila pendekezo la Mwenyekiti huwa linapita kwa asilimia 90+ hivyo ni wazi Pinda ndiye makamu mwenyekiti ajaye wa CCM Bara.
Hivi upuuzi utakuisha lini wewe?Yule anaenda kuizika Chadema
Alikuwa Rafiki mkubwa wa Shujaa Magufuli 😂
Wa kuizika Chadema huyo hapo bwashee 🤣🤣🤣Yule anaenda kuizika Chadema
Alikuwa Rafiki mkubwa wa Shujaa Magufuli 😂
Pinda tuko naye pale HananasifHivi upuuzi utakuisha lini wewe?
Nani Amekudanganya MkuuYule anaenda kuizika Chadema
Alikuwa Rafiki mkubwa wa Shujaa Magufuli 😂
Vijana si wapo uvccm au nimekuelewa tofauti?Hivi vijana hamna hadi wanateuliwa wazee wasiojiweza
WamegomaWazee wapumzike
Wapigwe tu hao Ufipa hakunaga namna 😂Nani Amekudanganya Mkuu
Kijani Inahaha Sasa Hivi
Hupenda kulia mara zote... Yaani kimsingi ana huruma sana na ni masikiniSio tishio kwa nafasi ya mwenyekiti, hana kambi hajui dili, nimkulima wa zabibu, hana malengo makubwa ya kisiasa hana watoto tishio kwenye siasa za Tanzania, imekua surprise kwa kila mdau.