CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Jifunze kunywa kistaarabuWapigwe tu hao Ufipa hakunaga namna 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kunywa kistaarabuWapigwe tu hao Ufipa hakunaga namna 😂
Sidhani kama mtapata hata Mbunge mmoja 😂Jifunze kunywa kistaarabu
Bado unafiliri ni masikini au ana mentality tu ya kimasikini mpaka leo japo ni tajiri.Hupenda kulia mara zote... Yaani kimsingi ana huruma sana na ni masikini
Vijana wengi wako over ambitious hawako focusedHivi vijana hamna hadi wanateuliwa wazee wasiojiweza
Wala siyo Mizengo Pinda, huu uzi wa uzushi tuHongera Mh Pinda kwa kuteuliwa
Nasikia ni muathirika wa siku nyingiYule mzee watamuua asee. Kwa hali yake ile anawezaje kuwa kiongozi
Kule Kigogo Fresh, Sijui Chanika au Pugu hakai, kajenga tu?Pinda tuko naye pale Hananasif
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😄
Uwongo mtupu, subiri jina lenyeweMwenyekiti wa CCM amemtangaza Mhe. Pinda ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu kuwa mrithi wa Kinana. Wajumbe na wanachama sambamba na wananchi wameonekana kutopokea positive pendekezo hili au wameshtuka kwa kilichotokea. Je, walimtegemea nani?
Tukumbuke cheo hiki hakuna kugombania bali linapelekwa jina moja ambalo litapata kura za ndio na hawana. Lakini pia historia inaonyesha kila pendekezo la Mwenyekiti huwa linapita kwa asilimia 90+ hivyo ni wazi Pinda ndiye makamu mwenyekiti ajaye wa CCM Bara.
Ukome. Makamu ni Mzee WasiraMwenyekiti wa CCM amemtangaza Mhe. Pinda ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu kuwa mrithi wa Kinana. Wajumbe na wanachama sambamba na wananchi wameonekana kutopokea positive pendekezo hili au wameshtuka kwa kilichotokea. Je, walimtegemea nani?
Tukumbuke cheo hiki hakuna kugombania bali linapelekwa jina moja ambalo litapata kura za ndio na hawana. Lakini pia historia inaonyesha kila pendekezo la Mwenyekiti huwa linapita kwa asilimia 90+ hivyo ni wazi Pinda ndiye makamu mwenyekiti ajaye wa CCM Bara.