Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seriously pinda ni maskini mkuuHupenda kulia mara zote... Yaani kimsingi ana huruma sana na ni masikini
Yuko DodomaKule Kigogo Fresh, Sijui Chanika au Pugu hakai, kajenga tu?
Uwe waziri mkuu alafu uwe maskiniHupenda kulia mara zote... Yaani kimsingi ana huruma sana na ni masikini
Huwa mnajisikiaje kujivunjia heshimaMwenyekiti wa CCM amemtangaza Mhe. Pinda ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu kuwa mrithi wa Kinana. Wajumbe na wanachama sambamba na wananchi wameonekana kutopokea positive pendekezo hili au wameshtuka kwa kilichotokea. Je, walimtegemea nani?
Tukumbuke cheo hiki hakuna kugombania bali linapelekwa jina moja ambalo litapata kura za ndio na hawana. Lakini pia historia inaonyesha kila pendekezo la Mwenyekiti huwa linapita kwa asilimia 90+ hivyo ni wazi Pinda ndiye makamu mwenyekiti ajaye wa CCM Bara.
Na Kimisioni!Pinda tuko naye pale Hananasif
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😄
Unaakili za kitotoMtulivu sana huyu mzee!anaweza pia!
Angepewa makonda ningefurahi sana nadhani angefanya ziara nchi nzima!
Chama Cha Mapinduzi kimempendekeza Ndugu WASSIRA kuwa MAKAMU MWENYEKITI WA CCM bara.
Sasa kinana alinaweza futina ipi kama alishindwa kufanya fitina membe awe Rais ataweza Nini?Sasa pinda anaweza mikakati ya fitna km kinana? Sidhani km wahafidhina watamkubali na hanaga mvuto wa amsha amsha
Ila Mbowe unataka apumzike 😂😂Pinda tuko naye pale Hananasif
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😄
Wewe ni mjinga na huijui CCM, usidhani CCM ni kama CHADEMA!Hivi vijana hamna hadi wanateuliwa wazee wasiojiweza