Fanyeni vikao kwa nini hadi wazazi wenu hawataki kuwapa chochote hata kama wana biashara iwe ndogo au kubwa kwa nini hawawaamini? Mshike muendesheDuh vijana wenzangu tutaula lini?
Makongoro na ule msemo wake kenye kampeni ....... YUPO.Hii ndio taarifa iliyowasilishwa kwa umma na Ndugu Shaka Hamdu ambaye ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, kwamba Mkongwe Steven Wassira amechaguliwa kwa kura kuziba pengo la Kijana Makongoro Nyerere na kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, hii ni kwa sababu Kanuni zimemzuia Makongoro kwa vile sasa ni Mkuu wa Mkoa.
Hata hivyo Taarifa zaonyesha kwamba Wassira alianza kushiriki Shughuli za Chama na Serikali enzi ambazo Baba mzazi wa Makongoro, aliyeitwa Julius Nyerere akiwa madarakani.
Si ajabu mzawa kurudi nyumbani baada ya kutoonekana nyumbani muda mrefu wakati si rafikiHii ndio taarifa iliyowasilishwa kwa umma na Ndugu Shaka Hamdu ambaye ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, kwamba Mkongwe Steven Wassira amechaguliwa kwa kura kuziba pengo la Kijana Makongoro Nyerere na kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, hii ni kwa sababu Kanuni zimemzuia Makongoro kwa vile sasa ni Mkuu wa Mkoa.
Hata hivyo Taarifa zaonyesha kwamba Wassira alianza kushiriki Shughuli za Chama na Serikali enzi ambazo Baba mzazi wa Makongoro, aliyeitwa Julius Nyerere akiwa madarakani.
Kuna mzee mwingine anaitwa Mkuchika. Naye hazeekiHii ndio taarifa iliyowasilishwa kwa umma na Ndugu Shaka Hamdu ambaye ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, kwamba Mkongwe Steven Wassira amechaguliwa kwa kura kuziba pengo la Kijana Makongoro Nyerere na kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, hii ni kwa sababu Kanuni zimemzuia Makongoro kwa vile sasa ni Mkuu wa Mkoa.
Hata hivyo Taarifa zaonyesha kwamba Wassira alianza kushiriki Shughuli za Chama na Serikali enzi ambazo Baba mzazi wa Makongoro, aliyeitwa Julius Nyerere akiwa madarakani.
Ndo naona point yako Leo kwenye hiki kijiwe Cha maxTatizo vijana wengi wakibebwa wana jeuri acha ona akina Nape wanavyotamba ohh Sisi ndio.wenye nchi wenye chama.Hopeless kabisa
Vijana pekee watoto wa kiongozi wa juu wanaojielewa na watoto wa Raisi mstaafu Mzee Mwinyi tu.Wametulia kuanzia character na wako focussed katika maisha na kila mtu hujisikia vizuri kuwa karibu nao au kufanya kazi nao nk
Lakini watoto wa viongozi wengine ni pasua ki cha wanabebwa lakini hawatumii migongoni sio hao tu wako vijana kibao waliobebwa toka majalalani lakini performance yao ni kijeuri jeuri tu
Nafikiri viongozi juu wameanza kushtuka kuwa tuache kubeba vijana tu sababu tunataka kuwabeba tuangalie performance na tuchanganye wazee na vijana kwani ukiwaachia peke yao wanavurunda
Vijana ndio wamelazimisha hili lakini chama Serikali ,bunge na mahakama walikuwa wameanza process za ku hand over kwa vijana kuanzia kipindi cha mkapa.
Lakini matokeo bado sio mazuri sana post kubwa vijana naona wanayotumia kama kuringishia tu na kuzitumia zaidi tu.kutambia kuwa nani au utajijua.Kituko akujue wewe nani wakati unajulikana na uliapishwa mbele ya vyombo vya habari si ujinga huo ohh hata mnizomee mimi ndio nilishapata hivyo!! Huo ni Utoto.Ni vyema wabeba.mbeleko vijana na kuwapa post ongeeni na vijana wenu mliobeba migongoni kuwa waache kurusha rusha Mateke huko mgongoni
Chapa kazi
Ni mkakati maalum wa 2025, kamati kuu ndio kila kitu katika chama, ni lazima uwe na colum ya kutosha ya watu ambao wapo royal kwako, hawezi kuwaamini kina Kassim.Watu hawapumziki
Ova
Awamu ya kwanza mpaka ya 6.😀😀Yupoooooo!!!
Ni mkakati maalum wa 2025, kamati kuu ndio kila kitu katika chama, ni lazima uwe na colum ya kutosha ya watu ambao wapo royal kwako, hawezi kuwaamini kina Kassim.
Teh teh teh 😂😂 acha kutafuta ugomvi wewe jamaa.Hata hivyo Taarifa zaonyesha kwamba Wassira alianza kushiriki Shughuli za Chama na Serikali enzi ambazo Baba mzazi wa Makongoro, aliyeitwa Julius Nyerere akiwa madarakani.
Habari ndio hiyo yaani .Teh teh teh [emoji23][emoji23] acha kutafuta ugomvi wewe jamaa.
CCM yangu imeamua kujifia na wazee.
Hakuna mawazo mapya
Hakuna mwanzo mpya
Ni kuokoteza okoteza kwenye tenga la matunda mabovu
Ukiona hivyo ujue hakuna mbadala wakeKuna mzee mwingine anaitwa Mkuchika. Naye hazeeki
Rais wa Jamhuri ya GombeHongera ndugu Wasira, Rais ajaye.