Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
StrokeHuyu dawa yake ni yule dada wa Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
StrokeHuyu dawa yake ni yule dada wa Chadema
Watu wamepata matumaini mapya baada ya mateso ya miaka mitano!Title imekaa kichonganishi tofauti na maelezo.
Sijamsikia Wasira lakini maelezo yanaonesha kuwa Watu wamepata matumanini mapya kwa Mama Samia baada ya machungu ya msiba.
Sasa wameamua kuweka mambo hadharani maana maombolezo yamekwishaAisee huyu marehemu POMBE alichukiwa mno na viongozi wenzake yaani kila mmoja amefurahi Kifo chake
Mwana lumumba mwenzako alafu uwe na adabu ,Huyu dawa yake ni yule dada wa Chadema
Sasa hivi yutagundua mengi sanaKuna watu walikuwa wanasema eti mwendazake alikuwa anachukiwa na wapinzani pekeee .
Leo hii vigogo wa ccm wameqnza kumwaga mboga kwenye kundi la watu wenyw ugali wao mkononi.
Msamehe bure huyo chawa maana wana hasira vibayaMkuu umetumia kifungu gani cha sheria kututukana wabongo bila kosa?.
Tuwapongeze sana hawa wazee yaani profesa Asad na mzee WasiraKwa mujibu wa Prof. Assad ni kuwa wote waliokuwa wanamsifu na kumpamba walikuwa wanatafuta fursa!
Ubora tunatofautiana. This is a deadwood!Kwani yeye siyo raia wa nchi hii! Acha kuziba midomo wenzako wanaotoa madukuduku yao!
Hata ndugaye rafiki yake kesha fanya yakeNilisema, hakuna mtu hatakuja kumgeuka magufuri.
Hata wewe umemgeuka?Nilisema, hakuna mtu hatakuja kumgeuka magufuri.
Ndoto huwa zinaruhusiwaNi Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Kuna washikaji mbeya walikunywa ulanzi tangu saa 6 mchana hadi saa 6 usiku.Baada ya kusikia Mzee Baba kavuta ,Masela walikesha wanakunywa Mvinyo.
Haikuwa haki kabisaWatu tulikuwa tunalazamishwa tuomboleze
Nani huyo ??Stroke
Shujaa Wa familia yako mkuu ..Ni Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Vipi kupigwa risasi kwa lisu.Pamoja na mapungufu ya Hayati Rais Magufuli Mimi siwezi kufurahia Kifo chake!
Wewe ni mnyonge lazima ulikuwa unafurahia kuitwa mnyonge na umasikini wenu wanyonge.Mimi sijafurahi, walio furahi ni wale wavivu, 10 percent, fisadi, vigogo na wala rushwa na wachumia tumbo