Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kabisaa, kumbe nawe umegundua?[emoji41][emoji41]Kabadili jina ila comment zake ni zile zile za kiCCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaa, kumbe nawe umegundua?[emoji41][emoji41]Kabadili jina ila comment zake ni zile zile za kiCCM
Ally Kessy na Jah peopleAlisifiwa na nani au Paramagamba KABUDI
It seems 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hakuna aliyekuwa anampenda jiwe ...
Kabisa [emoji419] [emoji16]Hakuna aliyekuwa anampenda jiwe ...
Acha uongo Mimi na watu wengine wengi tu hatujawahi kumpenda [emoji3]Ni Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Hahaahahha leo hii unaitaja Chadema kwa mazuri?kweli Mataga mmebaki yatima kila mti mkigusa unatelezaHuyu dawa yake ni yule dada wa Chadema
Dhahiri shahiriHakuna aliyekuwa anampenda jiwe ...
Kifo cha Nduli, mtekaji, muuaji, mtukanaji, katili, asiye na upendo ni shangwe kwa dunia yote.Haikuwa haki kabisa
Na amedai hatuhitaji viongozi wa aina hio! Hatutafika popote yani! We need people with integrity and who stand for the right sio kwenda na upepo tu.Kwa mujibu wa Prof. Assad ni kuwa wote waliokuwa wanamsifu na kumpamba walikuwa wanatafuta fursa!
Hili lilikuwa baya kulikoWatu tulikuwa tunalazamishwa tuomboleze
Mzee Wasira ambaye amekuwa waziri katika serikali tangu uhuru mpaka serikali ya awamu ya nne ya JK amesema Kiwango cha furaha kwa Watanzania kimeongezeka. Ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na Azam TV. Aidha amesema baada ya masikitiko ya muda mfupi kufuatia kifo cha Magufuli nchi imerudi kwenye reli baada ya hotuba za Rais Samia Suluhu Hassan.
Kumbe furaha hii pia imetamalaki ndani ya CCM na wapambe wanafiki wa Magufuli!
===
Akizungumza Apr 9, 2021 kwenye kipindi cha Morning Trumpet kinachorushwa na Azam TV, Mzee Wassira amesema:
"Namwambia nini Rais? Namtakia heri. Namtakia heri aongoze nchi yetu vizuri. Na kitu kimoja ambacho ningependa Rais ajue ni kwamba: kwa hotuba hizi tu, Watanzania wengi wamemuelewa na wanamuunga mkono. Wanasema kiwango chao cha furaha kimeongezeka; kwasababu tumesikitika [kufuatia kifo cha Rais Magufuli] lakini tumerudi kwenye reli."
Kwa wapenda maendeleo,lakini walafi akiwemo mzee wetu bado ana machungu ya kushindwa ubunge na mjukuu wake huku akitegemea serikali imsaidie kwenye kesi,akakuta imepiga kimyaaa.Ni Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Dada aliye nunuliwa na Jiwe toka Chadema Ndugai akawasajili bunge chakavu(scraper)Huyu dawa yake ni yule dada wa Chadema
Kumbe umemuonaStroke
Kwanini unasema hivyo.nani aliwahi kupendwa kama Rais maguguliHakuna aliyekuwa anampenda jiwe ...
Mataga kamtulize babu yenuWasira atulie.
Kabudi leo atagombea jimbo lipi baada ya mungu wake kusepa?Alisifiwa na nani au Paramagamba KABUDI
Kweli kabisa walikuwa wana muogopa. Kwa nini usimuogope mtu ambaye ana miliki kikosi cha WASIOJULIKANA ambacho kina nguvu kuliko jeshi la Polisi. Ukimkosoa tu wanakuja popote na Noah wanakukamata na kukupoteza.Walikuwa wanamuogopa