Stephen Wassira: Watanzania wamemuelewa na kumuunga mkono Rais Samia; wanasema kiwango chao cha furaha kimeongezeka

Stephen Wassira: Watanzania wamemuelewa na kumuunga mkono Rais Samia; wanasema kiwango chao cha furaha kimeongezeka

ndugai wa bandari ya bagamoyo[emoji28][emoji28].

siku moja mpinzani mkubwa kabisa atasimama aitishe waandishi na kumtaja magufuli kama kiongozi bora kuwahi kutokea.

Mungu akusaidie,anisaidie siku hiyo nikukumbushe quote yangu hii.
tuendelee kuishi mkuu.
Hizo ngonjera zipo kwa wana ccm na kwa vibaraka wa ccm waliopandikizwa kwenye vyama vya upinzani.
 
Naona unashindana na maamuzi ya mungu.
Kama vipi nawe kajinyonge ili ukamkute huko kuzimu

nyie mbwa mtu amefariki ila bado mna hasira[emoji23][emoji23].
kweli aliwafanya vibaya.

sasa ni kujikomba kwa mama,labda muishi hapo.
 
nyie mbwa mtu amefariki ipa bado mna hasira[emoji23][emoji23].
kweli aliwafanya vibaya.

sasa ni kujikomba kwa mama,labda muishi hapo.
Sasa kama unaona sisi ni mbwa yanini wewe binadamu kujibizana na mbwa?
 
Na amedai hatuhitaji viongozi wa aina hio! Hatutafika popote yani! We need people with integrity and who stand for the right sio kwenda na upepo tu.

Ndio vinyonga waliojaa serikalini!
Katiba yetu imejenga taifa la wanafiki. Rais anateua na kufukuza zaidi ya wstumishi 90% wa serikali.

Hivyo kila mmoja kwenye taifa la watu 60M ajipendekeze kwa Rais apate uteuzi, na akiyepata teuzi anagonga pambio zito asifukuzwe, aendelee kuwepo.
 
Katiba yetu imejenga taifa la wanafiki. Rais anateua na kufukuza zaidi ya wstumishi 90% wa serikali.

Hivyo kila mmoja kwenye taifa la watu 60M ajipendekeze kwa Rais apate uteuzi, na akiyepata teuzi anagonga pambio zito asifukuzwe, aendelee kuwepo.
huu mfumo aliutengeneza jiwe mwenyewe. maadui zake, waliomgeuka hata leo aliwatengeneza wenyewe
 
Ni kweli lakin ukiangalia watu wengi mtaani sura zao zimejaa matumaini baada ya kifo cha jiwe. Watu wanaamini sasa watapata ajira, hawatotekwa na kuuawa wakiisema serikali, fedha zao hazitachukuliwa kwa nguvu, wanaweza fungua biashara zao, mzunguko wa pesa utarud..mambo Ni mengi. Kifupi wanafurahia kimoyomoyo Mungu amewakomboa kwa kumuondoa mtesi wao
 
Baada ya kusikia Mzee Baba kavuta ,Masela walikesha wanakunywa Mvinyo.
Mpaka umri wangu huu nilikuwa sijawahi kuona mtu akifa watu wanafanya sherehe mpaka alivyokufa jiwe... shangwe kila kona!🎂🍾🥤🎺🎻🪕🔥🔥
 
Back
Top Bottom