Stephen Wassira: Watanzania wamemuelewa na kumuunga mkono Rais Samia; wanasema kiwango chao cha furaha kimeongezeka

Stephen Wassira: Watanzania wamemuelewa na kumuunga mkono Rais Samia; wanasema kiwango chao cha furaha kimeongezeka

Ni Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.

Watanzania wenyewe ndio hao akina Wassira waliorudisha furaha zao. Mimi ni mtanzania na hajawahi kuishi moyoni mwangu, hivyo kwenye nyie watanzania anaoishi mioyoni mwenu, mimi nitoe tafadhali.
 
It was 5 years of hell . Wacha watu wafurahie
 
Furaha lazima iwepo kwa wezi, wasiopenda kuambiwa kweli, wenye kutakabari, wenye ubinafsi, wanaojiwazia wao, wasiopenda kazi, wapenda kuna issue inaisikilizia haoo. By the way Wacha mjipe moyo mda huu ila siku Zaja nazo mtasema kumbe bora yule...
Nani atasema bora yule? Watu watawalaumu hao wengine, lakini sio kusema bora yeye.
 
Japo ni kweli Jiwe hakupendwa hata na mtu mmoja ila naona Wasira anataka kujiingiza kwenye reli ya Samia alambishwe uteuzi
 
Mi naona wakongwe wote ambao mfumo uliwatema kwa sababu ya kuchuja kifikira wameanza kutoka mapangoni,lakini pamoja na hayo tumeishaamka,kila siku wanaimba vijana wajiajiri wao bado wana kasumba ya kutaka kuajiriwa,najiuliza swali kuna nini kinachopiganiwa?
mtu unataka mpaka upigane vikumbo ofisini na wajukuu zako hiyo si ni aibu.
Hivi mzee wetu alikuwa mtu kushindania ubunge na akina na Bulaya? Tusipoangalia tutaunga mkono vinyongo vya watu ambao wanaiona serikali iliyopita haikuwaunga mkono ktk mbio zao za kutaka warejee bungeni.
Vyeo vya kisiasa havina ukomo wa umri kwa sababu ni matakwa ya wananchi wenyewe. Sasa kuna baadhi ya vijana vibaka kama Sabaya mnataka uongozi ili mnyanyase watu na kupora mali zao! Kafie mbali pamoja na jiwe lenu!
 
Kuna uwezekano mkubwa waliokuwa wanamshangilia JPM walifanya hivyo kulinda ugali wao...

Hivyo hivyo na hata sasa wanaomshangilia SSH wanafanya hivyo kulinda ubwabwa wao...
 
Ni Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Shujaa pekee wa Afrika aliyelela na anayeishi miyoni mwa watanzania na waafrika kwa ujumla Ni Mwl. Nyerere. Acha kupotosha
 
Shujaa pekee wa Afrika aliyelela na anayeishi miyoni mwa watanzania na waafrika kwa ujumla Ni Mwl. Nyerere. Acha kupotosha

kama unamkana magufuli kipi kinafanya umkweze nyerere???

acheno unafiki nyumba ya pazia.

lissu hawawahi kumkubali nyerere hata magufuli pia maana ni waumini wa itikadi moja.
 
Back
Top Bottom