Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ni Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Watanzania wenyewe ndio hao akina Wassira waliorudisha furaha zao. Mimi ni mtanzania na hajawahi kuishi moyoni mwangu, hivyo kwenye nyie watanzania anaoishi mioyoni mwenu, mimi nitoe tafadhali.