Kwa umri wa huyu mzee,atakua bado yuko njema,kitandani.Wanaume tunashindwa kupiga show vizuri,tukifika kuanzia miaka 77 huko.Huyu bado.Huyu motivation speaker wa maisha ya ndoa.Hahahaha.Ila umri, itakua inasimama sekunde tu inalala.
Kwa hiyo mtu akimpenda mkewe hawezi kucheat ?!! [emoji15]Hii imeniuma sidhani Steve kama alishawahi kucheat, anavyo mpenda mke wake loh utajiri huo wote anafata huo utitili bodyguard?
Unagonga nje kama vipi!!!Mpaka unanyimwa na kunjikunyata ujue wewe ni dhaifu-Alpha male's rules
Labda hajui kua kugongewa hakuna dini.Kwa hiyo waislamu hawagongewi?!!![emoji15][emoji15]
Halafu uislam hauoi/hauolewi....
[emoji1787]Unagonga nje kama vipi!!!
Huwezi bembeleza KILA siku au kuwa mbakaji KILA siku!
Hakuna cha Alpha wala Beta males kama hataki hataki unajiongeza kwingine tu!!
[emoji1787][emoji106]Labda hajui kua kugongewa hakuna dini.
Hahahahaaaa naona itifaki imezingatiwa
Alianza masanja, kaja Dr Mwaka, sasa hivi Steve sijui nani atafuatiaAlikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa handle wanawake wao.
Amesafiri na mkewe sehemu kibao mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba mengi kwa bidada.
Yamemkuta Leo, Amegongewa & maokoto anaporwa. Anatafuta mshauri sasa!!
Fear women of this kind.
Kumbafu.View attachment 2729672
Wanawake ni vyombo vya starehe tu
π π π π π§’Wanawake ni vyombo vya starehe tu
Ee mzeeHahahahaaaa naona itifaki imezingatiwa
Njia zenu hizo endeleeni nazoTuwachukie ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Alpha males tunawapenda...ila kwa njia zetu......
Wee zalisha tuu mwanawane basi. Uzuri na wenhewe kuzaa wanapenda so hawana jinsi inabidi tuu watupee mbususuKwa Haya matukio sijioni nikioa
Ukweli mchungu. Ni mwendo wakushare tuu kwa sasa