Steve Harvey hakuelewa somo la Hakimi

Steve Harvey hakuelewa somo la Hakimi

wazee wa zamani walikua wanaoa wake wengi ili kulinda baadhi ya mali zao ukioa mwanamke mmoja rahisi kugawa mali zako kwa mbili ukioa wake 4 mali zako utazigawa kwa nne na zaidi hawa waafrika wa marekani wacha wapigwe na mifumo ya mababu wa watu weupe si wamesahau asili yako wacha karma iwafuate
 
Alikuwa mshauri wa mahusiano ya watu na kuponda wanaume kwamba hawajui kuwa handle wanawake wao.
Amesafiri na mkewe sehemu kibao mapikiniki na mavisiwa huku akiweka caption za kuonesha mahaba mengi kwa bidada.
Yamemkuta Leo, Amegongewa & maokoto anaporwa. Anatafuta mshauri sasa!!

Fear women of this kind.
Kumbafu.View attachment 2729672
Alianza masanja, kaja Dr Mwaka, sasa hivi Steve sijui nani atafuatia
 
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌🙌

Screenshot_20230827_065442_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom