Steve Nyerere afanya tathmini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu, amsifia kwa kuondoa tatizo la umeme, reli ya kisasa

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
Your browser is not able to display this video.

Msanii Steve Nyerere amefanya tathmini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu kwa kipindi cha miaka mitatu na kumpongeza kwa kufanya mambo makubwa ikiwemo kuondoa tatizo la upatikanaji wa umeme, kuleta reli ya kisasa inayowezesha wananchi kusafiri kwa muda wa saa moja kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro.
 
Kaaaaziii kweli kweli, tumepoteana jangwani, kila mtu atafute pa kuponea
 
Akiongea na Waandishi wa Habari kada maarufu wa CCM ambaye ni Comedian by Professional Steve Nyerere amemshukuru Shujaa Magufuli kwa kutuachia Zawadi ya Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere

Nyerere amesema hivi punde tutaanza kuuza Umeme nje na.amewataka wananchi kumpuuza Mdude Nyagali ambaye aliwahi kumpiga mama yake hivyo ana laana

Hata hivyo Mdude Nyagali amejibu kwa kusema.mama yake alifariki yeye akiwa na miaka 8 hivyo amempuuza Nyerere na kusema siyo level yake

Nyerere amesema kwa sasa Chadema hawana hoja tena

Mjadala unaendelea huko X
 
johnthebaptist nakwambia unajidharaulisha ukumbini JF. sasa huyo unayemnadi hapa naye ni mtu wa kutoa habari zake? Ana tofauti gani na vichaa wa barabarani when it comes to issues involving using higher mental faculties to deliberate political future of this country?
 
Hahaha kakalia kiti cha watawala kabisaaa.

Nchi ya drama sana hii
 
Huyu jamaa anajitahidi kusifu lakini wanateuliwa wengine.
 
Ndio maana naonaga Elimu yetu wala haina maana kabisa
 
Huyu kuwadi anaidhalilisha sana familia ya Baba wa Taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…