Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Steve yupo "Daaaaaah kila nikiokota Embe dodo INZI haoooooo"
Hajajiuzuru,inzi wameshinikiza.
haya makofi yako nahisi kama yanapigwa kutokea dodoma mjengoni,,,,,,Steve alikuwa hawajui wanadunia wanakuchoma kinomnoma.Na Jamaa hana kazi mjini,,ni mishe mishe tu...
Atawalaani sana walio mchomesha hehehheheh,, Pua Pua Pua kabisa
si afadhali ya hilo,chama kikongwe kina ajenda zake kwenye hili shirikisho.Msanii wa kuigiza anakuwa msemaji wa muziki
Walimkalia kooni hana pakuhemeaIla watu nyie wabaya, hadi ametoka tivu ake, lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waliomchagua walilenga kula deal za serikali na ccm. Yani kama zile za bongo movie sema bahati mbaya mchongo ukabumaMsanii wa kuigiza anakuwa msemaji wa muziki
Kwa hiyo kila usanii uwe na msemaji wake?Msanii wa kuigiza anakuwa msemaji wa muziki
sema wanaume wa kinondoniWadada wa mjini na wanaume wanamuita Tivu ake...
Mbna babra Yuko ktk mpira hamsemiMsanii wa kuigiza anakuwa msemaji wa muziki
Wanasema yupo vizuri kula dili za ela za rambi rambiWaliomchagua walilenga kula deal za serikali na ccm. Yani kama zile za bongo movie sema bahati mbaya mchongo ukabuma