Steve Nyerere ajiuzulu nafasi ya Usemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania

Steve Nyerere ajiuzulu nafasi ya Usemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania

Na Jamaa hana kazi mjini,,ni mishe mishe tu...

Atawalaani sana walio mchomesha hehehheheh,, Pua Pua Pua kabisa
haya makofi yako nahisi kama yanapigwa kutokea dodoma mjengoni,,,,,,Steve alikuwa hawajui wanadunia wanakuchoma kinomnoma.
 
Sema duh kijamaa kikipata hadhira (Audience) hua kinabwabwaja sana na kuweka ile tone ya Mwl Nyerere ki ufupi kamekaa ki uigizaj uigizaji ujanja ujanja
Kingine hii tabia ya kujipendekeza kuliko pitiliza kwa mama sijui ni kutafuta huruma/teuzi au nn coz kila baada ya sentensi mbili atataja taifa au mama which is wrong(kwa maoni yangu),ange focus kwenye mambo ya shirikisho sio issue za kitaifa make hata huko hakuna anachotusaidia
Ntakua wa mwisho kuamin Mr Mengele anatusaidia kama taifa...
 
Na akiwa anaongea aache kutumia tone za watu wengine,this guy is fake all the way.
 
Back
Top Bottom