Steve Nyerere amejiuzulu Uraisi wa Bongo Movie

Steve Nyerere amejiuzulu Uraisi wa Bongo Movie

Hebu aende tution ya lugha akajifunze kuandika lugha ya kiswahili. Ni aibu kushindwa kuandika vuzuri lugha yako. Namshauri aende English Fountain akajifunze lugha. Ni aibu duuu eti tumeuzunika badala ya tumehuzunika. Mmhhhh.

Kwa hiyo aende kwa Rasi simba au?
 
Wabongo bana, kila kitu zengwe tu, mbona huko kwa kina Brad Pitt hatujawasikia kuwa na president wa movie zao.
Tena siku hizi kila mtu anataka kujipa cheo cha urais, enzi za mwalimu kulikuwa hakuna haya mambo, president alikuwa mmoja tu. Lakini siku hizi, hata kibao kata nao wana muheshimiwa president wao, yaani tabu tu!

Nasikia Rais wakibao kata ni Wema!
 
Bora kajiuzulu coz Bongo Movie imekufa kabisa kipindi cha Uongozi wake walichoambulia ni kuingizwa CCM na kulimalizia kabisa kuliua soko lao dogo lililokuwa limebakia,ni kazi kubwa sana kwa anayekuja kuchukua madaraka kuifufua Bongo Movie.Ila mbali ya kutafuna Rambirambi na ukuwadi haka kajitu kanatisha jamani!Kafupi kama nyundo kabaya yani kakijitokeza lazima mtu ushtuke,watu wengi hawapendi kukaona kwasababu ya muonekano wake unaotisha watoto sasa matokeo yake Bongo Movie inakosa Publicity na Coverage nzuri coz kiongozi wao hana muonekano.Personality yake inatisha watoto.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Bora kajiuzulu coz Bongo Movie imekufa kabisa kipindi cha Uongozi wake walichoambulia ni kuingizwa CCM na kulimalizia kabisa kuliua soko lao dogo lililokuwa limebakia,ni kazi kubwa sana kwa anayekuja kuchukua madaraka kuifufua Bongo Movie.Ila mbali ya kutafuna Rambirambi na ukuwadi haka kajitu kanatisha jamani!Kafupi kama nyundo kabaya yani kakijitokeza lazima mtu ushtuke,watu wengi hawapendi kukaona kwasababu ya muonekano wake unaotisha watoto sasa matokeo yake Bongo Movie inakosa Publicity na Coverage nzuri coz kiongozi wao hana muonekano.Personality yake inatisha watoto.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Jamaa anayake mabaya lakini bongo movie kaipaisha
 
English fountain wanafundisha kiswahili, kiingereza na kifaransa. Aende faster maana lugha aliyoandika hapo siyo kiswahili labda ni lugha ya kwao. Ni aibu sana.
Raa simba yupo kwa kiingereza cha wiki 2 tu.
 
Alichonifurahisha ni kujifanya amezimia alipokufa Kanumba kumbe gia ya rambirambi
 
Wabongo bana, kila kitu zengwe tu, mbona huko kwa kina Brad Pitt hatujawasikia kuwa na president wa movie zao.
Tena siku hizi kila mtu anataka kujipa cheo cha urais, enzi za mwalimu kulikuwa hakuna haya mambo, president alikuwa mmoja tu. Lakini siku hizi, hata kibao kata nao wana muheshimiwa president wao, yaani tabu tu!

shule hamna ndo maana
wanatafuta pa kula
na kutembezewa bakuli siku wakifa au wakiumwa
 
Jamaa nasikia wamemtimua sababu ni shoga anaaibisha Bongo Movie
 
Back
Top Bottom