Steve Nyerere kathibitisha umuhimu wa Tume huru ya Uchaguzi

Steve Nyerere kathibitisha umuhimu wa Tume huru ya Uchaguzi

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Leo katika press conference yake Steve Nyerere ambaye ni kada wa CCM alijadili mambo mawili ya msingi na kudhibitisha kwamba Tume Huru ya ya uchaguzi haipingiki.

1. Kwanza kahoji kama Mbunge wa Muheza kupitia chama cha CCM, Mh Mwinjuma alishinda kihalali.

Hili ni muhimu, ina maana kuna Wana CCM wanashuku Wana CCM wenzao kutoshinda kwa haki.

2. Pili, kahoji kuhusu wabunge wa memo. Yani kuna kiongozi alikuwa anatoa memo ya nani awe mbunge na nani asiwe mbunge.

Kwa hivyo, wananchi hawana sauti ya mwisho bali memo kutoka kwa mkuu wa nchi.

Nadhani kutokana na Wanaccm wenyewe kuonesha kutokubaliana na mfumo wa uchaguzi ni muda sasa tuanze mchakato wa Tume Huru.
 
Walichokuwa wanakataa kina mwana fa na wakazi ndio hicho kuwa Steve ni mbumbumbu.

Kuthibitisha hilo ni hizo kauli alizotoa Leo Ina maama hawezi kuilunda na kuitetea Katiba ya shirikisho kwa maana Hana Siri na tashangaa sana viongozi wa chama cha mapinduzi kama watamuacha.

Inatakiwa aitwe ahojiwe na athibitishe pasina shaka hayo aliyonena Leo akishindwa wamvue uwanachama.

Steve kaongea mambo mazito sana aliyoyapa wepesi ni muda Sasa chama kumwita.
 
Walichokuwa wanakataa kina mwana fa na wakazi ndio hicho kuwa Steve ni mbumbu...

Kweli kabisa, haikutakiwa kugusia Mambo ya chama au uchaguzi wa ubunge.

Angejikita kwenye Mambo ya shirikisho.
 
Kweli kabisa, haikutakiwa kugusia Mambo ya chama au uchaguzi wa ubunge. Angejikita kwenye Mambo ya shirikisho.
Kwa hiyo kosa lake ni kusema ukweli wa akina Fa kuzawadiwa ubunge na yule dikteta !?

Fa asipige kelele Steve kupewa hiyo dhamana hata kama kuna kasoro, kwani hata yeye amepewa ubunge ingawa hakushinda mchakato wa ubunge chamani.
 
Kwa hiyo kosa lake ni kusema ukweli wa akina Fa kuzawadiwa ubunge na yule dikteta !? Fa asipige kelele Steve kupewa hiyo dhamana hata kama kuna kasoro, kwani hata yeye amepewa ubunge ingawa hakushinda mchakato wa ubunge chamani.
Huenda ameshasahau, umefanya vyema kumkumbusha.
 
Steve kafununua madhaifu ya katiba ya Sasa ,athari za nguvu kubw kwa Mweny madarak na udhaifu wa Tume ya uchaguzi,mbinu ya Cham ch kijani kujipang na uchaguz 2025 kupitia yey kuteuliw kuw msemaji wa shirikisho,madudu yaliyop bungen especially elimu za wabunge ,mwisho wa 6.
 
Walichokuwa wanakataa kina mwana fa na wakazi ndio hicho kuwa Steve ni mbumbu

Kuthibitisha hilo ni hizo kauli alizotoa Leo Ina maama hawezi kuilunda na kuitetea Katiba ya shirikisho kwa maana Hana Siri na tashangaa sana viongozi wa chama cha mapinduzi kama watamuacha

Inatakiwa aitwe ahojiwe na athibitishe pasina shaka hayo aliyonena Leo akishindwa wamvue uwanachama

Steve kaongea mambo mazito sana aliyoyapa wepesi ni muda Sasa chama kumwita
Acha ujinga, mnajikuta mnaakili sana kumbe watu wanawachora tu.

Usiingize CCM kwenye mambo ya watu binafsi.

Wangapi walipita bila kupingwa kwenye majimbo yao?

Sembuse huyu MwanaFA?

Anajikuta masta sana kisa yupo kwenye bendi kitambo.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom