Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akamuonyesha kuwa duniani Mungu ni mmoja tu alieumba duniaAliamini hivyo kuwa yeye ni MUNGU wetu
Walichokuwa wanakataa kina mwana fa na wakazi ndio hicho kuwa Steve ni mbumbumbu.
Kuthibitisha hilo ni hizo kauli alizotoa Leo Ina maama hawezi kuilunda na kuitetea Katiba ya shirikisho kwa maana Hana Siri na tashangaa sana viongozi wa chama cha mapinduzi kama watamuacha.
Inatakiwa aitwe ahojiwe na athibitishe pasina shaka hayo aliyonena Leo akishindwa wamvue uwanachama.
Steve kaongea mambo mazito sana aliyoyapa wepesi ni muda Sasa chama kumwita.
Wapambe huwa wana waharibu sn watawala hasa madiktetaMungu akamuonyesha kuwa duniani Mungu ni mmoja tu alieumba dunia
Umasikini ndugu yangu...tumboWapambe huwa wana waharibu sn watawala hasa madikteta
Ni ujinga tuUmasikini ndugu yangu...tumbo
Hiyo ndiyo akutukanaye hakuchagulii tusi.Steve yupo Sawa japo kafanya personal attack Kali Sana Kwa Mwana FA , kiufupi kampiga Mwana FA na kitu kizito Sana kichwani 😊....!!! Steve apewe mda
Umenichekesha kweli.Umasikini ndugu yangu...tumbo
Kipindi kile liliibuka jina "mwana Fa_tumaHuu mziki ulipotoka ni mbali sana walioupigania wengine ndio hao kitandani wanapigania uhai wao kina prof jay ukija uku sugu anakaa kimya nadhani wanaogopa kuonekana wanaleta siasa kisa yeye CDM
Kama kudai maslahi na haki tuna kumbuka marehemu luge alisemwa sana kuhusu unyonyaji tuliona waliosimama nakupingana naye live uku kundi kubwa likibaki na uchawa.
Lady jay Dee na sugu walisuguana live na luge bila chenga, uku kina mwana fa wakiwa chawa wa luge ngoja tuishie hapa tusifukue makaburi
Sijaona point yako inayo pingana na mleta UZI, nilicho kiona ni vitisho kwa Steve Nyerere kwa yeye kuusema ukweli; is like unakubaliana na hoja za Steve but hujapendezwa na yeye kutoa SIRI! Swali ambalo ulitakiwa kujikita nalo,Walichokuwa wanakataa kina mwana fa na wakazi ndio hicho kuwa Steve ni mbumbumbu.
Kuthibitisha hilo ni hizo kauli alizotoa Leo Ina maama hawezi kuilunda na kuitetea Katiba ya shirikisho kwa maana Hana Siri na tashangaa sana viongozi wa chama cha mapinduzi kama watamuacha.
Inatakiwa aitwe ahojiwe na athibitishe pasina shaka hayo aliyonena Leo akishindwa wamvue uwanachama.
Steve kaongea mambo mazito sana aliyoyapa wepesi ni muda Sasa chama kumwita.
[emoji33][emoji33][emoji33] ... Sio kwamba kionhozi mkweli ndie anatakiwa au [emoji848][emoji848][emoji848] Du!!!Walichokuwa wanakataa kina mwana fa na wakazi ndio hicho kuwa Steve ni mbumbumbu.
Kuthibitisha hilo ni hizo kauli alizotoa Leo Ina maama hawezi kuilunda na kuitetea Katiba ya shirikisho kwa maana Hana Siri na tashangaa sana viongozi wa chama cha mapinduzi kama watamuacha.
Inatakiwa aitwe ahojiwe na athibitishe pasina shaka hayo aliyonena Leo akishindwa wamvue uwanachama.
Steve kaongea mambo mazito sana aliyoyapa wepesi ni muda Sasa chama kumwita.
Steve Mengele ,Hilo la Nyerere ni sawa na Mange kujiita mjukuu wa Royal family ya Wagogo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hayo yote ni kura za maoni kule CCM!
Uwache mikwala mbuzi mkuu hahahaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pua. Pua kabisa 😂😂😂