Steve Nyerere kathibitisha umuhimu wa Tume huru ya Uchaguzi

Steve Nyerere kathibitisha umuhimu wa Tume huru ya Uchaguzi

Leo katika press conference yake Steve Nyerere ambaye ni kada wa CCM alijadili Mambo mawili ya msingi na kudhibitisha kwamba Tume huru ya ya uchaguzi haipingiki.

1. Kwanza kahoji Kama mbunge wa Muheza kupitia chama Cha CCM Mh Mwinjuma alishinda kihalali.

Hili ni muhimu, Ina maana Kuna Wana CCM wanashuku Wana ccm wenzao kutoshinda kwa haki.

2. Pili, Kahoji kuhusu wabunge wa memo. Yani Kuna kiongozi alikiwa anatoa memo ya Nani awe mbunge na Nani asiwe mbunge.

Kwa hivyo wananchi hawana sauti ya mwisho Bali Memo kutoka kwa mkuu wa nchi.

Nadhani kutokana na wanaccm wenyewe kuonesha kutokubaliana na mfumo wa uchaguzi ni muda sasa tuanze mchakato wa Tume huru.
Steve ameweka wazi CV ya FA hana kosa.
 
Acha ujinga, mnajikuta mnaakili sana kumbe watu wanawachora tu.

Usiingize CCM kwenye mambo ya watu binafsi.

Wangapi walipita bila kupingwa kwenye majimbo yao?

Sembuse huyu MwanaFA?

Anajikuta masta sana kisa yupo kwenye bendi kitambo.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Punguza mihemko tupo kujadili mambo ya msingi yule ni kada wa chama anatoaje kauli za ajabu ajabu akimtuhumu mwana chama mwenzie hadharani aisee tulia tena tulia hapa siyo fb au insta ndio maana tumechokoza mjadala
 
Huenda waliomteua waliona ukaribu wake na vigogo wa Ccm na serikali utakua na matokeo chanya kwa wasanii wa muziki.
Huu mziki ulipotoka ni mbali sana walioupigania wengine ndio hao kitandani wanapigania uhai wao kina prof jay ukija uku sugu anakaa kimya nadhani wanaogopa kuonekana wanaleta siasa kisa yeye CDM

Kama kudai maslahi na haki tuna kumbuka marehemu luge alisemwa sana kuhusu unyonyaji tuliona waliosimama nakupingana naye live uku kundi kubwa likibaki na uchawa.

Lady jay Dee na sugu walisuguana live na luge bila chenga, uku kina mwana fa wakiwa chawa wa luge ngoja tuishie hapa tusifukue makaburi
 
Kadhihirisha upumbavu wake, hata kamati iliyomteua nimejiridhisha kuwa ni ya hovyo, sasa Fid q ndio alikua anasema mtu kama huyu apewe nafasi??? Fid jitathmini
Fid Q mwili wake na achoimba haviendani kabisa na uhalisia wa maisha yake kajaa woga woga na kupenda uchawa chawa tu

kitambo wenzie wanapokuwa kwenye harakati yeye humuoni hana uthubutu wakutoka mbele za camera na kuwa upande wa upinzani wa jambo lolote kenye kutaka haki yeye huwa neutral
 
Steve kafununua madhaifu ya katiba ya Sasa ,athari za nguvu kubw kwa Mweny madarak na udhaifu wa Tume ya uchaguzi,mbinu ya Cham ch kijani kujipang na uchaguz 2025 kupitia yey kuteuliw kuw msemaji wa shirikisho,madudu yaliyop bungen especially elimu za wabunge ,mwisho wa 6.

Kweli kabisa
 
Punguza mihemko tupo kujadili mambo ya msingi yule ni kada wa chama anatoaje kauli za ajabu ajabu akimtuhumu mwana chama mwenzie hadharani aisee tulia tena tulia hapa siyo fb au insta ndio maana tumechokoza mjadala
Unanitisha? Nipo Mwanza, Ghana hapa njoo unikamate.

Wakati anadhihaki wenzie hakujua kama ni makada wa chama anapaswa kuwakosoa kwa mtindo upi?



Mnavyolidharirisha jeshi la polisi hadharani kila siku hamjui mchango wake kwa chama, mnajisahau kwamba kuna siku mtawahitaji polisi kuliko hata WANEC?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Leo katika press conference yake Steve Nyerere ambaye ni kada wa CCM alijadili mambo mawili ya msingi na kudhibitisha kwamba Tume Huru ya ya uchaguzi haipingiki.

1. Kwanza kahoji kama Mbunge wa Muheza kupitia chama cha CCM, Mh Mwinjuma alishinda kihalali.

Hili ni muhimu, ina maana kuna Wana CCM wanashuku Wana CCM wenzao kutoshinda kwa haki.

2. Pili, kahoji kuhusu wabunge wa memo. Yani kuna kiongozi alikuwa anatoa memo ya nani awe mbunge na nani asiwe mbunge.

Kwa hivyo, wananchi hawana sauti ya mwisho bali memo kutoka kwa mkuu wa nchi.

Nadhani kutokana na Wanaccm wenyewe kuonesha kutokubaliana na mfumo wa uchaguzi ni muda sasa tuanze mchakato wa Tume Huru.
Tume huru au katiba mpya mbona unatoka kwenye mstari au unataka tuungane na wewe
 
Leo katika press conference yake Steve Nyerere ambaye ni kada wa CCM alijadili mambo mawili ya msingi na kudhibitisha kwamba Tume Huru ya ya uchaguzi haipingiki.

1. Kwanza kahoji kama Mbunge wa Muheza kupitia chama cha CCM, Mh Mwinjuma alishinda kihalali.

Hili ni muhimu, ina maana kuna Wana CCM wanashuku Wana CCM wenzao kutoshinda kwa haki.

2. Pili, kahoji kuhusu wabunge wa memo. Yani kuna kiongozi alikuwa anatoa memo ya nani awe mbunge na nani asiwe mbunge.

Kwa hivyo, wananchi hawana sauti ya mwisho bali memo kutoka kwa mkuu wa nchi.

Nadhani kutokana na Wanaccm wenyewe kuonesha kutokubaliana na mfumo wa uchaguzi ni muda sasa tuanze mchakato wa Tume Huru.
Hakuna mtu mwenye akili timamu atakubaliana na uchafuzi mkuu
 
Hayo yote ni kura za maoni kule CCM!
nafikiri tatizo limeanzia hapa - bado jamaa anaumia


Matokeo ya kura za maoni katika jimbo hilo ni:
Jesca Msambatavangu – 190
Nguvu Chengula – 75
Ibrahim Ngwada – 44
Steven Mengere (Steve Nyerere) – 6.
 
Leo katika press conference yake Steve Nyerere ambaye ni kada wa CCM alijadili mambo mawili ya msingi na kudhibitisha kwamba Tume Huru ya ya uchaguzi haipingiki.

1. Kwanza kahoji kama Mbunge wa Muheza kupitia chama cha CCM, Mh Mwinjuma alishinda kihalali.

Hili ni muhimu, ina maana kuna Wana CCM wanashuku Wana CCM wenzao kutoshinda kwa haki.

2. Pili, kahoji kuhusu wabunge wa memo. Yani kuna kiongozi alikuwa anatoa memo ya nani awe mbunge na nani asiwe mbunge.

Kwa hivyo, wananchi hawana sauti ya mwisho bali memo kutoka kwa mkuu wa nchi.

Nadhani kutokana na Wanaccm wenyewe kuonesha kutokubaliana na mfumo wa uchaguzi ni muda sasa tuanze mchakato wa Tume Huru.
Msiingize Tume inayoongozwa kisheria kwenye mambo ya kihuni ya wasanii sisi tunajua hizo ni presha tu steve kutaka kumshambulia mwana FA sasa mkianza kuingiza taasisi za serikali kwenye mambo binafsi sio sawa.
 
Leo katika press conference yake Steve Nyerere ambaye ni kada wa CCM alijadili mambo mawili ya msingi na kudhibitisha kwamba Tume Huru ya ya uchaguzi haipingiki.

1. Kwanza kahoji kama Mbunge wa Muheza kupitia chama cha CCM, Mh Mwinjuma alishinda kihalali.

Hili ni muhimu, ina maana kuna Wana CCM wanashuku Wana CCM wenzao kutoshinda kwa haki.

2. Pili, kahoji kuhusu wabunge wa memo. Yani kuna kiongozi alikuwa anatoa memo ya nani awe mbunge na nani asiwe mbunge.

Kwa hivyo, wananchi hawana sauti ya mwisho bali memo kutoka kwa mkuu wa nchi.

Nadhani kutokana na Wanaccm wenyewe kuonesha kutokubaliana na mfumo wa uchaguzi ni muda sasa tuanze mchakato wa Tume Huru.
INGEPENDEZA kama Angemalizia kwa Kusema Mwendazake ndiye ALIVURUGA UCHAGUZI 2020 na kutuletea Wabunge fake
 
Huu mziki ulipotoka ni mbali sana walioupigania wengine ndio hao kitandani wanapigania uhai wao kina prof jay ukija uku sugu anakaa kimya nadhani wanaogopa kuonekana wanaleta siasa kisa yeye CDM

Kama kudai maslahi na haki tuna kumbuka marehemu luge alisemwa sana kuhusu unyonyaji tuliona waliosimama nakupingana naye live uku kundi kubwa likibaki na uchawa.

Lady jay Dee na sugu walisuguana live na luge bila chenga, uku kina mwana fa wakiwa chawa wa luge ngoja tuishie hapa tusifukue makaburi
Ni Ruge/Rugemalira, sio luge
 
Unanitisha? Nipo Mwanza, Ghana hapa njoo unikamate.

Wakati anadhihaki wenzie hakujua kama ni makada wa chama anapaswa kuwakosoa kwa mtindo upi?



Mnavyolidharirisha jeshi la polisi hadharani kila siku hamjui mchango wake kwa chama, mnajisahau kwamba kuna siku mtawahitaji polisi kuliko hata WANEC?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂
 
Rais Samia anao uwezo wa kuumaliza huu upuuzi unaoendelea miongoni mwa wanamuziki ndani ya dakika tano tu.

Ni uamuzi wake lakini.
 
Back
Top Bottom