Steve Nyerere kathibitisha umuhimu wa Tume huru ya Uchaguzi


Wakimitwa watamuita sio kwa ajili ya kudhibitisha anachosema,bali ni kumtishia kwa kuongea ukweli ambao ni fedheha kwa ccm.

Ule uhayawani uliofanyika kwenye uchaguzi kila mtu aliouna, hata kama watu wanaaogopa kuogea kutokana na kulinda usalama wao.
 
Steve yupo Sawa japo kafanya personal attack Kali Sana Kwa Mwana FA , kiufupi kampiga Mwana FA na kitu kizito Sana kichwani 😊....!!! Steve apewe mda
Hiyo ndiyo akutukanaye hakuchagulii tusi.
 
Kipindi kile liliibuka jina "mwana Fa_tuma
 
Sijaona point yako inayo pingana na mleta UZI, nilicho kiona ni vitisho kwa Steve Nyerere kwa yeye kuusema ukweli; is like unakubaliana na hoja za Steve but hujapendezwa na yeye kutoa SIRI! Swali ambalo ulitakiwa kujikita nalo,

Je hoja ya tume ya uchaguzi kua halali au sio HALALI is it varied or not?
 
[emoji33][emoji33][emoji33] ... Sio kwamba kionhozi mkweli ndie anatakiwa au [emoji848][emoji848][emoji848] Du!!!
 
Steve ameongea ukweli.

Lakini sasa hio huwa Siri... Steve amefanya kosa la mezani, yaani Kuongea wakati wa kula..

Hivyo hata hilo shirikisho hafai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…