Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe huwa nashindwa kum define huyu steven nyerere... hivi ni kijana au mzee?Hivi mwanamke wako akichukuliwa na Steve Nyerere si utacheka sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.
Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile
[emoji23][emoji23]nataka nibonge naye aniungie mtoto fulani wa bongo movie..hii ndo kazi anayoweza
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.
Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.
Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.
Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile
Unasema nini ww unaekula pesa za mayatimaNimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.
Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile
Ukimtoa lazima akuungie tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nataka nibonge naye aniungie mtoto fulani wa bongo movie..hii ndo kazi anayoweza
Si hatutaki tena mabeberu kwa sababu ya pini aliyopigwa jamaa kwenda US.Tuna utajiri wa kutoshaKuwe na affordable hotels kwa watu wa kipato cha kawaida. Wazungu wengi wanaofanya utalii wanategemea credit cards. Akishapata kazi mortgage , gari na starehe inayofuata ni kuzunguka dunia. Sehemu kama Egypt unaweza kupata holiday ya $2,000 hiyo ni package pamoja na nauli ya ndege, hotel na usafiri kwa siku saba.
Ukipata watalii 50,000 wanaotumia $2,000 kwa mwaka kuna faida. Wahudumu wa hoteli watakua na uhakika wa kusomesha watoto wao.
Wakati Msigwa aliongea points tupu Hadi Kigwangalla mwenyewe akawa mpole.Wakati mwinginr ndio manaa wabunge wanawadharau wasanii wa Tanzania.
Sijawahi kujua kabisa steven nyetere kakaangu ana akili zile.
Sijawahi kuona mume mwenye mke na watoto akijisifia hadharani anashindana na Mbunge kugombea hawala
Yule mdada umemchukuliaje hapo ndani na anavyojiheshimu.
Vipi kama kiongozi wa wasanii anatoa taswira gani kwa jamii kwamba anagombania bibi na Mbunge
Inasikitisha sana sana nimeshtuka naamini kulikuwa na njia za kumjibu na sio kuaibisha familia yake.
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.
Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile