Steve Nyerere: Mchungaji Peter Msigwa nimemchukulia mwanamke ndio maana anaendekeza ugomvi na wasanii kutangaza utalii nchini

Steve Nyerere: Mchungaji Peter Msigwa nimemchukulia mwanamke ndio maana anaendekeza ugomvi na wasanii kutangaza utalii nchini

Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.

Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile



Huyu kadharau bunge. Kama wa bunge dhaifu walihojiwa na tume ya maadili ya bunge huyu alipaswa kuwa Kesha alikwa.
 
Watu walipiga hela tu wakatembea..!
 
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.

Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile

 
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.

Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile


Msigwa yupo right kabisa,tatizo haka ka steve kanajiona kasupastaa sana,bora hata kanumba alishavuka mipaka. Labda tukatumie kama konda kwenye lile treni letu la sgr kapige debe na makelele yake yasiyokuwa na mpango
 
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.

Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile


Msigwa nae ni wivu tu mbona nae alizurura sana wakati wa Nyalandu? na hatukusikia upupu wake
 
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.

Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile

Unasema nini ww unaekula pesa za mayatima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwe na affordable hotels kwa watu wa kipato cha kawaida. Wazungu wengi wanaofanya utalii wanategemea credit cards. Akishapata kazi mortgage , gari na starehe inayofuata ni kuzunguka dunia. Sehemu kama Egypt unaweza kupata holiday ya $2,000 hiyo ni package pamoja na nauli ya ndege, hotel na usafiri kwa siku saba.

Ukipata watalii 50,000 wanaotumia $2,000 kwa mwaka kuna faida. Wahudumu wa hoteli watakua na uhakika wa kusomesha watoto wao.
Si hatutaki tena mabeberu kwa sababu ya pini aliyopigwa jamaa kwenda US.Tuna utajiri wa kutosha
 
Tuwe wakweli Steve ana hadhi gani ya kushindana na Msigwa Bahati mbaya elimu zao ni tofauti kabisa Msigwa kajenga hoja naye ajibu kwa hoja Huwezi kuwaambia watanzania eti una followers milioni 60000000 wakati watanzania wako milioni 50000000 yote hii ni kukosa elimu yeye abakie kupiga hela za misiba na kujipendekeza Kuna wasanii wenzako walifia Mikumi na wengine mlima mbalizi kwa mambo ya ushabiki Wakazi wa Iringa sio wajinga kama wewe wale wamesoma Msigwa kakosea wapi halafu unasema Msigwa hajafanya chochote Iringa wewe utajuaje kama hajafanya kitu wakati uko Dsm kupiga mizinga tatizo Elimu ndogo
 
Tatizo siku hizi mtu akishakuwa na followers basi anajiona Ana uwezo wa kutumika kufanya kitu fulani
Mambo ya utalii unatuingizia wahuni haoo
Ndomana Kenya kwenye sekta ya utalii watazidi
Kutufukunyuaaa, maana sisi hatuko serious

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwinginr ndio manaa wabunge wanawadharau wasanii wa Tanzania.

Sijawahi kujua kabisa steven nyetere kakaangu ana akili zile.

Sijawahi kuona mume mwenye mke na watoto akijisifia hadharani anashindana na Mbunge kugombea hawala

Yule mdada umemchukuliaje hapo ndani na anavyojiheshimu.

Vipi kama kiongozi wa wasanii anatoa taswira gani kwa jamii kwamba anagombania bibi na Mbunge

Inasikitisha sana sana nimeshtuka naamini kulikuwa na njia za kumjibu na sio kuaibisha familia yake.
Wakati Msigwa aliongea points tupu Hadi Kigwangalla mwenyewe akawa mpole.

Ukiona hivyo Kuna dili limezimwa. Kwa points za Msigwa kigwa hawezi watumia tena hawa mafala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.

Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile


Pale wachungaji wanapokutana na wasanii, hakuna tofauti, matapeli woteee...
 
Back
Top Bottom