Pre GE2025 Steven Wassira aelimishwe kwamba majukumu ya Makamu Mwenyekiti wa CCM siyo kutukana CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna wakumshauri mwenziwe. Ccm wote wanafanana.
 
masikini mzee kazeeka hakuna anachokijua nchii hii zaidi ya chadema
 
Huyu mzee keshazeeka hata kumbukumbu hana anajua hii bado ni Chadema ya enzi za lowassa iliyoitikisa CCM, kumbe ni Chadema iliyojifia haina impact yoyote kwenye ulingo wa siasa.
 
Hii iliyokufa ndio ile ambayo viongozi wake wanatekwa na kuuawa kama Soka na Kibao
Chadema ingekuwa hai sidhani kama wanachama wake wangetekwa na kuuawa bila majibu. CCM wanaona ni chama kilichojifia hakiwezi kufanya chochote ndo maana wsnawafanyia chochote kama wanavyojisikia.
 
Hali ya Afya ya Makamu Mwenyekiti wa CCM sio nzuri,tunaoma akapatiwe matibabu
 

Attachments

  • IMG-20250205-WA0021.jpg
    57.8 KB · Views: 3
WASSIRA hawezi ku meet his objectives kwa kua ame FAIL kuelewaa his TRUE ENEMY.

Kwenye nchi yeyote mki FAIL KU UNDERSTAND TRUE ENEMIES Basi mtaishia kutupiana maneno ya kejeri ni muda muafaka walio karibu na mzee WASSIRA WAMWAMBIE kua THE TRUE ENEMY SIO CHADEMA WALA LISSU

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…