Pre GE2025 Steven Wassira aelimishwe kwamba majukumu ya Makamu Mwenyekiti wa CCM siyo kutukana CHADEMA

Pre GE2025 Steven Wassira aelimishwe kwamba majukumu ya Makamu Mwenyekiti wa CCM siyo kutukana CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wasira ni kiboko ya nyumbu wa Chadomo
Hawa ni changamoto watu au viumbe wa kufikirika? Ni aibu kwa chama kuchagua viongozi ambao badala ya kuwaongoza wanachama Ili kufikia malengo ya chama wanageuka kuwa viboko wa viumbe wa kufikirika! Sasa unaweza kuona kwamba Ile dhana ya kuunda chama Kama chombo Cha kuwaongoza wananchi kufikia maendeleo enndelevu inakosa uhalali! Au uhalisia.
 
Hawa CCM ni vurugu mechi tupu.
Makamu anafanya kazi za nwenezi.
Wasira amejigeuza mwenezi kama Makonda alivyojigeuza kuwa katibu.

Makonda alikuwa anatembea na msafara mzito kuanzia Das, Dc, Mkurugenzi, Mbunge, Madiwani,Waziri, maafisa wa polisi na wataalamu kibao....
Kwa mamlaka yapi...
Yametajwa wapi hayo mamlaka.
Uenezi simply ni u-MC wa chama fullstop.
 
Kwa nini mmeoga matope??? Chawa Lucha wasaidie wenzako kujibu ..... Mlimaanisha nini kuoga na matope enyi chawa wachafu mliokosa ustaarsbu, akili na adili??? ADABU GANI HII KUOGA NA MATOPE?
Ntakupaka mafuta laini sana
 
Wanateseka ama mnamdhulumu babu badala ya kulea wajukuu,mnamvalisha majani na kumtembeza ovyo kama ni mtoto miaka 17 mkifikiri anaweza yote?
Wanamtumia kama mojawapo ya kivutio kwenye mikutano yao wameona wasanii pia hawatoshi sasa wameamua kutumia wanyamapori kwenye mikutano yao
 
Wanamtumia kama mojawapo ya kivutio kwenye mikutano yao wameona wasanii pia hawatoshi sasa wameamua kutumia wanyamapori kwenye mikutano yao
Shinyanga wanafunga yule mnyama mlafi na kumburuza kuja kuongeza idadi kwenye mikutana na kucheza ngoma.
 
Haiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na Cheo alichopewa.

Kuna haja ya kumuelimisha ikiwa bado ubongo wake unaweza kutunza kumbukumbu, maana kwa maisha ya Mtanzania ni nadra sana kwa Mzee mwenye zaidi ya miaka 80 kuwa na akili zote.

SOma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Vinginevyo akiendelea kutukana Chadema hatutamnyamazia tutamlipua na kiukweli hatutakuwa na MSWALIE MTUME, nina hakika hatotuweza zaidi ya kutuma Watekaji ili watuue kama alivyouawa Ally Kibao, Haiwezekani Mtu mzima kutwa kucha kushambulia Chadema kwa hoja duni na za kijinga huku Nchi ikikosa gloves na pamba za Wamama kujifungulia, Na bado Waziri wa Afya akifungua Makongamano kwa kiingereza cha Ugoko.

View attachment 3225956

Naomba Kuwasilisha.
Huyo ndiyo kiboko wavibaka tulieni sindanoiwaingiekisawasawa
 
Mzee bado hajaelimishwa, ngoja tuingie kazini sasa
 
Back
Top Bottom