Pre GE2025 Steven Wassira aelimishwe kwamba majukumu ya Makamu Mwenyekiti wa CCM siyo kutukana CHADEMA

Pre GE2025 Steven Wassira aelimishwe kwamba majukumu ya Makamu Mwenyekiti wa CCM siyo kutukana CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ana mentality ya kuishambulia chadema kutwa nzima, akilala akiamka anachoona ni chadema tu. Hebu abadilishe mtazamo na namna ya kujibu hoja za chadema kwa mazingira ya sasa. Yuko nyuma ya wakati sana, anadhani huu wakati ni sawa na wakati ule siasa za vyama vingi vinaanza ccm walikuwa na vijembe na mipasho mingi kwa wapinzani
 
Ana mentality ya kuishambulia chadema kutwa nzima, akilala akiamka anachoona ni chadema tu. Hebu abadilishe mtazamo na namna ya kujibu hoja za chadema kwa mazingira ya sasa. Yuko nyuma ya wakati sana, anadhani huu wakati ni sawa na wakati ule siasa za vyama vingi vinaanza ccm walikuwa na vijembe na mipasho mingi kwa wapinzani
Aelimishwe
 
Kwa uzoefu wake wa siasa za vyama vingi ni kuhakikisha unawashambulia wapinzani kwa maneno mengi tena ya kejeli.
 
Mpaka oktoba tutaona mengi
Haiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na Cheo alichopewa.

Kuna haja ya kumuelimisha ikiwa bado ubongo wake unaweza kutunza kumbukumbu, maana kwa maisha ya Mtanzania ni nadra sana kwa Mzee mwenye zaidi ya miaka 80 kuwa na akili zote.

SOma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Vinginevyo akiendelea kutukana Chadema hatutamnyamazia tutamlipua na kiukweli hatutakuwa na MSWALIE MTUME, nina hakika hatotuweza zaidi ya kutuma Watekaji ili watuue kama alivyouawa Ally Kibao, Haiwezekani Mtu mzima kutwa kucha kushambulia Chadema kwa hoja duni na za kijinga huku Nchi ikikosa gloves na pamba za Wamama kujifungulia, Na bado Waziri wa Afya akifungua Makongamano kwa kiingereza cha Ugoko.

View attachment 3225956

Naomba Kuwasilisha.
 
Kwa uzoefu wake wa siasa za vyama vingi ni kuhakikisha unawashambulia wapinzani kwa maneno mengi tena ya kejeli.
Kazi ya kutukana ndio ameikimbia Kinana ikabidi atafutwe atakaeweza wote wakagoma kapelekewa Wasira kaikubari kwa hio ni azimio la chama na kazi yake aliyopewa na chama ni huo tu hakuna nyingine
 
WASSIRA hawezi ku meet his objectives kwa kua ame FAIL kuelewaa his TRUE ENEMY.

Kwenye nchi yeyote mki FAIL KU UNDERSTAND TRUE ENEMIES Basi mtaishia kutupiana maneno ya kejeri ni muda muafaka walio karibu na mzee WASSIRA WAMWAMBIE kua THE TRUE ENEMY SIO CHADEMA WALA LISSU

View attachment 3226051
"excessive daytime sleepiness"
 
Haiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na Cheo alichopewa.

Kuna haja ya kumuelimisha ikiwa bado ubongo wake unaweza kutunza kumbukumbu, maana kwa maisha ya Mtanzania ni nadra sana kwa Mzee mwenye zaidi ya miaka 80 kuwa na akili zote.

SOma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Vinginevyo akiendelea kutukana Chadema hatutamnyamazia tutamlipua na kiukweli hatutakuwa na MSWALIE MTUME, nina hakika hatotuweza zaidi ya kutuma Watekaji ili watuue kama alivyouawa Ally Kibao, Haiwezekani Mtu mzima kutwa kucha kushambulia Chadema kwa hoja duni na za kijinga huku Nchi ikikosa gloves na pamba za Wamama kujifungulia, Na bado Waziri wa Afya akifungua Makongamano kwa kiingereza cha Ugoko.

View attachment 3225956

Naomba Kuwasilisha.
Hao wazee sisiem ilizaliwa enzi zao wakiwa ni vijana kwahiyo kuiacha ni ngumu sana 😂😂😂 kwahiyo ni Mzee mwenzao
 
Haiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na Cheo alichopewa.

Kuna haja ya kumuelimisha ikiwa bado ubongo wake unaweza kutunza kumbukumbu, maana kwa maisha ya Mtanzania ni nadra sana kwa Mzee mwenye zaidi ya miaka 80 kuwa na akili zote.

SOma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe

Vinginevyo akiendelea kutukana Chadema hatutamnyamazia tutamlipua na kiukweli hatutakuwa na MSWALIE MTUME, nina hakika hatotuweza zaidi ya kutuma Watekaji ili watuue kama alivyouawa Ally Kibao, Haiwezekani Mtu mzima kutwa kucha kushambulia Chadema kwa hoja duni na za kijinga huku Nchi ikikosa gloves na pamba za Wamama kujifungulia, Na bado Waziri wa Afya akifungua Makongamano kwa kiingereza cha Ugoko.

View attachment 3225956

Naomba Kuwasilisha.

Screenshot_20250125_092130.jpg
anaiota chadema hapo
 
Back
Top Bottom