Ameletwa kuwatoa chadema kwenye hoja inayowaangusha ccm ya hali ngumu ya kiuchumi na Ukosefu wa ajira
..Mzee Wassira anaitangaza Chadema na madai yake bila kujijua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameletwa kuwatoa chadema kwenye hoja inayowaangusha ccm ya hali ngumu ya kiuchumi na Ukosefu wa ajira
AelimishweAna mentality ya kuishambulia chadema kutwa nzima, akilala akiamka anachoona ni chadema tu. Hebu abadilishe mtazamo na namna ya kujibu hoja za chadema kwa mazingira ya sasa. Yuko nyuma ya wakati sana, anadhani huu wakati ni sawa na wakati ule siasa za vyama vingi vinaanza ccm walikuwa na vijembe na mipasho mingi kwa wapinzani
Hapo kwenye bold umeandika nini?Na sasa lipo kundi kubwa zaidi la vijana wasio na ajira ila eanayoelimu na vyeti vya taalima anuai.
Kine mbe wepo nani?Lissu, ameupata uenyekiti wa chadema kwa kutukana Mwenyekiti Mbowe na Samia
Domo lake limejaa takaMzee mzima kutukana! Hovyo!
Haiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na Cheo alichopewa.
Kuna haja ya kumuelimisha ikiwa bado ubongo wake unaweza kutunza kumbukumbu, maana kwa maisha ya Mtanzania ni nadra sana kwa Mzee mwenye zaidi ya miaka 80 kuwa na akili zote.
SOma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe
Vinginevyo akiendelea kutukana Chadema hatutamnyamazia tutamlipua na kiukweli hatutakuwa na MSWALIE MTUME, nina hakika hatotuweza zaidi ya kutuma Watekaji ili watuue kama alivyouawa Ally Kibao, Haiwezekani Mtu mzima kutwa kucha kushambulia Chadema kwa hoja duni na za kijinga huku Nchi ikikosa gloves na pamba za Wamama kujifungulia, Na bado Waziri wa Afya akifungua Makongamano kwa kiingereza cha Ugoko.
View attachment 3225956
Naomba Kuwasilisha.
Kazi ya kutukana ndio ameikimbia Kinana ikabidi atafutwe atakaeweza wote wakagoma kapelekewa Wasira kaikubari kwa hio ni azimio la chama na kazi yake aliyopewa na chama ni huo tu hakuna nyingineKwa uzoefu wake wa siasa za vyama vingi ni kuhakikisha unawashambulia wapinzani kwa maneno mengi tena ya kejeli.
"excessive daytime sleepiness"WASSIRA hawezi ku meet his objectives kwa kua ame FAIL kuelewaa his TRUE ENEMY.
Kwenye nchi yeyote mki FAIL KU UNDERSTAND TRUE ENEMIES Basi mtaishia kutupiana maneno ya kejeri ni muda muafaka walio karibu na mzee WASSIRA WAMWAMBIE kua THE TRUE ENEMY SIO CHADEMA WALA LISSU
View attachment 3226051
Hao wazee sisiem ilizaliwa enzi zao wakiwa ni vijana kwahiyo kuiacha ni ngumu sana 😂😂😂 kwahiyo ni Mzee mwenzaoHaiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na Cheo alichopewa.
Kuna haja ya kumuelimisha ikiwa bado ubongo wake unaweza kutunza kumbukumbu, maana kwa maisha ya Mtanzania ni nadra sana kwa Mzee mwenye zaidi ya miaka 80 kuwa na akili zote.
SOma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe
Vinginevyo akiendelea kutukana Chadema hatutamnyamazia tutamlipua na kiukweli hatutakuwa na MSWALIE MTUME, nina hakika hatotuweza zaidi ya kutuma Watekaji ili watuue kama alivyouawa Ally Kibao, Haiwezekani Mtu mzima kutwa kucha kushambulia Chadema kwa hoja duni na za kijinga huku Nchi ikikosa gloves na pamba za Wamama kujifungulia, Na bado Waziri wa Afya akifungua Makongamano kwa kiingereza cha Ugoko.
View attachment 3225956
Naomba Kuwasilisha.
Yeye anachojua ni kutukana tu na kusinziaWassira aje ajibu habari hii
Haiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na Cheo alichopewa.
Kuna haja ya kumuelimisha ikiwa bado ubongo wake unaweza kutunza kumbukumbu, maana kwa maisha ya Mtanzania ni nadra sana kwa Mzee mwenye zaidi ya miaka 80 kuwa na akili zote.
SOma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe
Vinginevyo akiendelea kutukana Chadema hatutamnyamazia tutamlipua na kiukweli hatutakuwa na MSWALIE MTUME, nina hakika hatotuweza zaidi ya kutuma Watekaji ili watuue kama alivyouawa Ally Kibao, Haiwezekani Mtu mzima kutwa kucha kushambulia Chadema kwa hoja duni na za kijinga huku Nchi ikikosa gloves na pamba za Wamama kujifungulia, Na bado Waziri wa Afya akifungua Makongamano kwa kiingereza cha Ugoko.
View attachment 3225956
Naomba Kuwasilisha.
Gari ni injini siyo bodiView attachment 3226161anaiota chadema hapo
Wote wenye kuanzoa D moja kuendelea wamelewa.Hapo kwenye bold umeandika nini?
Mimi sina D hata 1 haya toa maelezoWote wenye kuanzoa D moja kuendelea wamelewa.
Pia sina menyewe angalao D moja msaada tafazali.Mimi sina D hata 1 haya toa maelezo