zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Oya mboni unaongea kiupinde upindePia sina menyewe angalao D moja msaada tafazali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya mboni unaongea kiupinde upindePia sina menyewe angalao D moja msaada tafazali.
Ndiyo ya wenye vifua vipana?vyembamba?Oya mboni unaongea kiupinde upinde
Huyu asinzii Bali anauchapa kabisaa usingizi wa kutoshaAfundishwe kwanza kuacha kusinzia 😂😂
Mwenyekiti na makamu wote ni mabingwa wa kutumia vikaliHaiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na Cheo alichopewa.
Kuna haja ya kumuelimisha ikiwa bado ubongo wake unaweza kutunza kumbukumbu, maana kwa maisha ya Mtanzania ni nadra sana kwa Mzee mwenye zaidi ya miaka 80 kuwa na akili zote.
SOma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe
Vinginevyo akiendelea kutukana Chadema hatutamnyamazia tutamlipua na kiukweli hatutakuwa na MSWALIE MTUME, nina hakika hatotuweza zaidi ya kutuma Watekaji ili watuue kama alivyouawa Ally Kibao, Haiwezekani Mtu mzima kutwa kucha kushambulia Chadema kwa hoja duni na za kijinga huku Nchi ikikosa gloves na pamba za Wamama kujifungulia, Na bado Waziri wa Afya akifungua Makongamano kwa kiingereza cha Ugoko.
View attachment 3225956
Naomba Kuwasilisha.
Mmetukanwa nini kondoo wa kafara?Haiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na Cheo alichopewa.
Kuna haja ya kumuelimisha ikiwa bado ubongo wake unaweza kutunza kumbukumbu, maana kwa maisha ya Mtanzania ni nadra sana kwa Mzee mwenye zaidi ya miaka 80 kuwa na akili zote.
SOma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe
Vinginevyo akiendelea kutukana Chadema hatutamnyamazia tutamlipua na kiukweli hatutakuwa na MSWALIE MTUME, nina hakika hatotuweza zaidi ya kutuma Watekaji ili watuue kama alivyouawa Ally Kibao, Haiwezekani Mtu mzima kutwa kucha kushambulia Chadema kwa hoja duni na za kijinga huku Nchi ikikosa gloves na pamba za Wamama kujifungulia, Na bado Waziri wa Afya akifungua Makongamano kwa kiingereza cha Ugoko.
View attachment 3225956
Naomba Kuwasilisha.
Kama askari wa maliasili wa sokweUnamuonya wewe ukiwa kama nani
Maskiniii! Yamewaingia? Tafuta archieve ya "tafiti" upate vikaratasi vya kutetea hoja zako. Maana ndio kwaaanza asubuhi!Haiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na Cheo alichopewa.
Kuna haja ya kumuelimisha ikiwa bado ubongo wake unaweza kutunza kumbukumbu, maana kwa maisha ya Mtanzania ni nadra sana kwa Mzee mwenye zaidi ya miaka 80 kuwa na akili zote.
SOma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe
Vinginevyo akiendelea kutukana Chadema hatutamnyamazia tutamlipua na kiukweli hatutakuwa na MSWALIE MTUME, nina hakika hatotuweza zaidi ya kutuma Watekaji ili watuue kama alivyouawa Ally Kibao, Haiwezekani Mtu mzima kutwa kucha kushambulia Chadema kwa hoja duni na za kijinga huku Nchi ikikosa gloves na pamba za Wamama kujifungulia, Na bado Waziri wa Afya akifungua Makongamano kwa kiingereza cha Ugoko.
View attachment 3225956
Naomba Kuwasilisha.
Chillah nimekuona wakati unaoga tope na gentlemen Tlaatlaah na yule chawa SUGU ChoiceVariable Bila kumsahau pimbi johnthebaptist na yule nyan'gau @Lucasmwashambwa.Ccm mbele kwa mbele...
Issue ni uzee? Tafuteni hoja, mnajua Wassira yupo na ataendelea kuwepo. Bora mje na point yenye mashiko. Leo mmefungua nyuzi 3 za Wasira 🤣🤣🤣🤣 na bado.Huyu mzee keshazeeka hata kumbukumbu hana anajua hii bado ni Chadema ya enzi za lowassa iliyoitikisa CCM, kumbe ni Chadema iliyojifia haina impact yoyote kwenye ulingo wa siasa.
Hiyo ndio kiboko ya Chadomo ambao walikuwa wanatumia matusi kama msingi wa hoja zao.Chillah nimekuona wakati unaoga tope na gentlemen Tlaatlaah na yule chawa SUGU ChoiceVariable Bila kumsahau pimbi johnthebaptist na yule nyan'gau @Lucasmwashambwa.
.. . Naomba ufafanuzi Kwa nini mmeoga matope.
Ni UshirikinaChillah nimekuona wakati unaoga tope na gentlemen Tlaatlaah na yule chawa SUGU ChoiceVariable Bila kumsahau pimbi johnthebaptist na yule nyan'gau @Lucasmwashambwa.
.. . Naomba ufafanuzi Kwa nini mmeoga matope.
Kwa nini mmeoga matope??? Chawa Lucha wasaidie wenzako kujibu ..... Mlimaanisha nini kuoga na matope enyi chawa wachafu mliokosa ustaarsbu, akili na adili??? ADABU GANI HII KUOGA NA MATOPE?Hiyo ndio kiboko ya Chadomo ambao walikuwa wanatumia matusi kama msingi wa hoja zao.
Sasa wamepata chuma
Wasira ni kiboko ya nyumbu wote.Kwa nini mmeoga matope??? Chawa Lucha wasaidie wenzako kujibu ..... Mlimaanisha nini kuoga na matope enyi chawa wachafu mliokosa ustaarsbu, akili na adili??? ADABU GANI HII KUOGA NA MATOPE?
Unaweza ukaanisha hayo Matusi?Lissu, ameupata uenyekiti wa chadema kwa kutukana Mwenyekiti Mbowe na Samia
Basi na akaishi Msitumi au nyikani ambalo kuna nyumbu!Wasira ni kiboko ya nyumbu wote.