Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 679
- 870
ππππππWASSIRA hawezi ku meet his objectives kwa kua ame FAIL kuelewaa his TRUE ENEMY.
Kwenye nchi yeyote mki FAIL KU UNDERSTAND TRUE ENEMIES Basi mtaishia kutupiana maneno ya kejeri ni muda muafaka walio karibu na mzee WASSIRA WAMWAMBIE kua THE TRUE ENEMY SIO CHADEMA WALA LISSU
View attachment 3226051
Wasira ni kiboko ya nyumbu wa ChadomoBasi na akaishi Msitumi au nyikani ambalo kuna nyumbu!
Hawa ni changamoto watu au viumbe wa kufikirika? Ni aibu kwa chama kuchagua viongozi ambao badala ya kuwaongoza wanachama Ili kufikia malengo ya chama wanageuka kuwa viboko wa viumbe wa kufikirika! Sasa unaweza kuona kwamba Ile dhana ya kuunda chama Kama chombo Cha kuwaongoza wananchi kufikia maendeleo enndelevu inakosa uhalali! Au uhalisia.Wasira ni kiboko ya nyumbu wa Chadomo
Wanateseka ama mnamdhulumu babu badala ya kulea wajukuu,mnamvalisha majani na kumtembeza ovyo kama ni mtoto miaka 17 mkifikiri anaweza yote?CHADEMA wanateseka sana na Mzee Wasira
CCM wana dhambi sanaHuyu asinzii Bali anauchapa kabisaa usingizi wa kutosha View attachment 3226194
Wanamtumia kama mojawapo ya kivutio kwenye mikutano yao wameona wasanii pia hawatoshi sasa wameamua kutumia wanyamapori kwenye mikutano yaoWanateseka ama mnamdhulumu babu badala ya kulea wajukuu,mnamvalisha majani na kumtembeza ovyo kama ni mtoto miaka 17 mkifikiri anaweza yote?
Shinyanga wanafunga yule mnyama mlafi na kumburuza kuja kuongeza idadi kwenye mikutana na kucheza ngoma.Wanamtumia kama mojawapo ya kivutio kwenye mikutano yao wameona wasanii pia hawatoshi sasa wameamua kutumia wanyamapori kwenye mikutano yao
hiyo injini imechongwa mpaka saizi ya mwishoGari ni injini siyo bodi
Huyo ndiyo kiboko wavibaka tulieni sindanoiwaingiekisawasawaHaiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na Cheo alichopewa.
Kuna haja ya kumuelimisha ikiwa bado ubongo wake unaweza kutunza kumbukumbu, maana kwa maisha ya Mtanzania ni nadra sana kwa Mzee mwenye zaidi ya miaka 80 kuwa na akili zote.
SOma: Pre GE2025 - Wasira atupa vijembe kwa CHADEMA, adai wakienda ikulu watagawana hadi vikombe
Vinginevyo akiendelea kutukana Chadema hatutamnyamazia tutamlipua na kiukweli hatutakuwa na MSWALIE MTUME, nina hakika hatotuweza zaidi ya kutuma Watekaji ili watuue kama alivyouawa Ally Kibao, Haiwezekani Mtu mzima kutwa kucha kushambulia Chadema kwa hoja duni na za kijinga huku Nchi ikikosa gloves na pamba za Wamama kujifungulia, Na bado Waziri wa Afya akifungua Makongamano kwa kiingereza cha Ugoko.
View attachment 3225956
Naomba Kuwasilisha.
πππππhiyo injini imechongwa mpaka saizi ya mwisho