Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Duuh hyo ni bibilia mkuu siyo quraan karI'm, maana bibilia inasema waziwazi ibrahimu ni mzinifu, samsoni naye mtu wa mademu alafu hao ndio wabarikiwa na mungu , ktk quraan hakuna hizo ngano
Duuh hyo ni bibilia mkuu siyo quraan karI'm, maana bibilia inasema waziwazi ibrahimu ni mzinifu, samsoni naye mtu wa mademu alafu hao ndio wabarikiwa na mungu , ktk quraan hakuna hizo ngano
Mzee kwahyo unapinga yote hayo nliyotaja Quran iliyosema kuhusu Yule nabii shoga Alexander The great?
 
Mzee kwahyo unapinga yote hayo nliyotaja Quran iliyosema kuhusu Yule nabii shoga Alexander The great?
Dah mkuu katika mitume ya Allah hayupo Alexander the great kama yupo thibitisha alafu tena ni shoga pia hamwamini huyo Allah ni ajabu juu ya ajabu , mimi nahisi una fananisha ila hakuna mwenye jina na wasifu huo
 
Tafadhali fafanua zaidi kuhusu ahadi Allah ya mabikira 72 kwa kila mwanaume akhera.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app

Tafadhali fafanua zaidi kuhusu ahadi Allah ya mabikira 72 kwa kila mwanaume akhera.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Mkuu hyo
Tafadhali fafanua zaidi kuhusu ahadi Allah ya mabikira 72 kwa kila mwanaume akhera.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
mkuu hyo sio ngano wala chai, for those believers and muumin watapewa hao virgins kwa idadi kulingana na daraja zao hapo ni baada ya kuingia peponi na hao mabint wana sifa kubwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe note hawajawahi kutuliwa hata na nzi au sisimizi, fanya mema mkuu utawapata
 
Dah mkuu katika mitume ya Allah hayupo Alexander the great kama yupo thibitisha alafu tena ni shoga pia hamwamini huyo Allah ni ajabu juu ya ajabu , mimi nahisi una fananisha ila hakuna mwenye jina na wasifu huo
Yupo si ndo Quran inasema aliyeona jua linazama kwenye matope.
Sarafu zake zilikuwa Na picha yake akiwa Na mapembe ndo maana kulwani ilimwita dhul qarnayn yaani mtu mwenye mapembe
images (1).jpeg
 
Mkuu hyo

mkuu hyo sio ngano wala chai, for those believers and muumin watapewa hao virgins kwa idadi kulingana na daraja zao hapo ni baada ya kuingia peponi na hao mabint wana sifa kubwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe note hawajawahi kutuliwa hata na nzi au sisimizi, fanya mema mkuu utawapata
Na wanawake wameahidiwa nini!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Kuna wakati uwa Nna kuwa na imani na kuamini sana uwepo wa mungu,mfano mm nnatabia ya kuona nyoka na wachawi usiku na wananifukuzaa,ila kila nikitaja jina Yesu kristo au kufanya maombi huko ndotoni uwa nawashinda hao wabaya wangu,ila sasa story za kwenye hayo maandiko uwa zinanichanganya sana Kichwa!!!
Huwa una strong astral body projection kazana na meditation utakuwa mzoefu na utajua namna ya kujicontrol
 
Muhammad alimchukuaje Zainab bint Jahsh kuwa mke wake kutoka kwa mume wake?
Duuh hyo ni bibilia mkuu siyo quraan karI'm, maana bibilia inasema waziwazi ibrahimu ni mzinifu, samsoni naye mtu wa mademu alafu hao ndio wabarikiwa na mungu , ktk quraan hakuna hizo ngano
 
Huwa najiuliza kwanini kanisa katoliki linaweka picha ya Cesar Borgia na kutudanganya kuwa ni picha ya Yesu. Mbaya zaidi hiyo picha ina makando kando yenye utata sana ndani yake. Yani Da Vinc' ambaye ni mwanaume na huyo jamaa ambaye ni mwanaume urafiki wao ulikuwaje hadi akaishia kumchora Borgia na kumfananisha na Yesu?

Mambo ni mengi. Halafu tunaambiwa papa Alexander alikuwa na mtoto ambaye ni huyo Borgia. Je mapapa wa katoliki huko zamani walikuwa wanaoa na kuzaa? Nini kilifanya baadaye kanisa libatilishe huo utatatibu?
 
Naomba nikujibu swali lako kama ifuatavyo.
1, kabla ya kuwepo au kuumbwa kwa adamu mbinguni kulitokea vurugu ambayo majeshi ya malaika yalijigawa, robo tatu ya malaika yakawa upande wa shetani ambaye alitaka kuweka mapinduzi mbinguni na robo iliyo bakia ikabaki upande wa Mungu na mda ambao mapinduzi ya shetani kutaka kuchukua kiti cha Mungu ndo mda ambao Mungu alikuwa yupo duniani kuumba yaani kuyagawanya maji, n.k

Hivyo lile kundi lililo mfuata shetani lilishushwa duniani ila Adamu na eva walifichwa katika bustani ya edeni, na baada ya kutenda dhambi alitoka nje ya bustani na kujitengenezea majani ya miti kama kujistili kutokana na walijiona wapo uji, na kama wewe ni msomaji mzuri wa bible kuna pahara Mungu anauliza Adamu upo wapi, maana kwenye bustani hakuwepo.

Kwa hiyo Kaini alienda kuoa majitu yale ambayo ni malaika waasi kutoka mbinguni na majitu hayo nadhani ndio wa Nefili ambao Mungu aliwaonya kuwa wanadamu wasichangamane na hao majitu wa kuoa / kuolewa.
kama kuna swali nakaribisha
Thibitisha maneno haya mkuu.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Pinga kwa hoja usilete utoto katika mambo ya kielimu.

Amesema Allah muumba wa mbingu na ardhi.

Allah anasema :

1. Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe kutoka nafsi ile ile. Na akaeneza kutokana na wawili hao wanaume na wanawake wengi. Na tahadharini na Mwenyezi Mungu ambaye kwaye mnaombana, na jamaa zenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaangalieni.(an-Nisaa : 2)

Akasema tena :

47. Enyi mlio pewa Kitabu! Aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni, au tukawalaani kama tulivyo walaani watu wa Sabato (Jumaamosi). Na amri ya Mwenyezi Mungu ni lazima ifanyike. (an-Nisaa : 47)

Unahoja ya kukataa kwamba siyo ujumbe kwa watu wote ?
Kati ya Allah na Mungu yupi mkubwa!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Story ya Devi kumkalisha Goliath in a single combat [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Nishajiulizaga sana hapa
 
Labda nikupe hits moja kuu , quraan haijabadilishwa hata herufi toka ianzishwe , mtoto aliye hifadhi quraan wa nchi ya urusi au china ata soma ( sound ) sawa na mtoto aliye hifadhi quraan wa songea ina maana hii

Quraan = never got changed (permanent introduced ) wakati

Bible = changes due to leaders wishes that's there lot version which confused people
Quran ilishushwa na Allah.
Quran imeandikwa kwa lugha ya kiarabu.
Maswali:
1. Allah ni mwarabu?
2. Allah aliwaandikia quran waarabu tu?
3. Allah alijua wanaume tunahitaji mabikira sana mpaka akatuahidi mabikira 72, kwa akiki ya kawaida tu, hii inamake sense kweli? Wanawake wamahifiwa nini akhera


Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Quran ilishushwa na Allah.
Quran imeandikwa kwa lugha ya kiarabu.
Maswali:
1. Allah ni mwarabu?
2. Allah aliwaandikia quran waarabu tu?
3. Allah alijua wanaume tunahitaji mabikira sana mpaka akatuahidi mabikira 72, kwa akiki ya kawaida tu, hii inamake sense kweli? Wanawake wamahifiwa nini akhera


Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
1) Allah syo muarabu na hana mfanano was kitu chochote tuki onacho kwa macho wala kufikirika
2) hapana , quraan kwa watu wote hata warusi pia, note ALLAH ana vitabu vinne vitukufu ie TORATI, INJILI, ZABURI na QURAAN nafikiri unajua mUSA , daud, issa si waarabu ni waislael
3) ndio , kama hupendi mambo yetu " watoto wazuri " jitathmini ila kwa halali , mwezako kesha jiuzuru kitambo maana alimpa kiss assistant wake na akasahau social distance, kama angekua hapendi totoz yasinge mkuta so totoz kwa wanaume ni uji kwa mtoto
 
Yupo si ndo Quran inasema aliyeona jua linazama kwenye matope.
Sarafu zake zilikuwa Na picha yake akiwa Na mapembe ndo maana kulwani ilimwita dhul qarnayn yaani mtu mwenye mapembeView attachment 1831380
Mkuu citizen b una akili sana za ku Google ila huna akili za kufikiri , wala kuchakata walau ka msamiati ki dogo tu ngoja nikupe shule ya vidudu bureeeeeee sitaki hata mia yako ,

1) mtu akisema raisi Obama ni kama nyerere , je hapo ni mtu mmoja au watu wawili tofauti? , hebu nijibu ha iitaji IQ kubwa kuelewa mwanangu anajibu hili swali ila wewe ha ha ha

2) Alexander the great hyo ni mzungu Na kama skosei ni mtala wa kirumi Na ktk quraan hakuna mtume mzungu Na kama yupo thibitisha

Note dhurqarnan ktk quraan yupo Na kwa taarifa yako syo mtume ni mcha mung tu mwenye ufalme Na maono ya mungu mmoja , Na kuhusu matope Mkuu citizen b came on mbona una low IQ namna hii

Hicho ni kisa kina simuliwa ktk quraan juu ya matembezi ya bwana dhurqarnan Na hio ni madhari Na jiografia ya hapo niku ulize swali moja ikiwa unasafiri kwa miguu au basiwakati wa jua kali sna barabarani utaona maji au madimbwi ya maji barabarani ila ukweli ni kwamba hajaona maji ila ni (mazigazi ) some last sayansi la tano b
 
Sarafu zake kuwa na pembe inamfanya yeye kuwa mtu mwenye pembe?
Yupo si ndo Quran inasema aliyeona jua linazama kwenye matope.
Sarafu zake zilikuwa Na picha yake akiwa Na mapembe ndo maana kulwani ilimwita dhul qarnayn yaani mtu mwenye mapembeView attachment 1831380
 
Ukristo na Uislamu umesambaa duniani kote,sio Africa pekee
Bado Kuna watu toka Huku Afrika wenye akili timamu kabisa wanaziamini hizo ngano za na hekaya za wayahudi,wayunani na waarabu wa middle east?

Tuna safari ndefu Sana kujikomboa kifikra ndugu zanguni!
 
Kuna yule baharia alitaka kusababisha wenzake wafe kwa meli wakamtupa baharini akamezwa na samaki siku 3 halafu akatemwa kule alipotakiwa kwenda ambapo alikuwa hataki na aliagizwa na Mungu..🤣🤣

Haikutosha vipi kwa mose ati alitawanya bahari waisraeli wakapita!.. nilipopenda zaidi ati shetani alienda mbinguni kuongea na Mungu ili amjaribu yule msela aliepewa mapunye mwili mzima,utajiri wake ukapotea,familia yake ikafa! How can it be wengine wafe kisa kujaribiwa kwa mtu mmoja!!😀

Vipi kuhusu Israel ati alipigana na malaika usiku kucha mwisho wa siku malaika akaamua amtengue nyonga yakobo..🤣 jamani kama ni kupima uwezo Mungu si anajua uwezo wa kila mtu Sasa vipi kutumiana malaika waje tupigane nao ngwara..??😂

Tuachane na yote ati Adam na Eva walipokula tunda Mungu alipokuja akaanza kuwauliza ati nani kawaambia wapo uchi baada ya kula tunda!.. wakati huohuo tunaambiwa Mungu anayajua yote mwanzo Hadi mwisho sasa alikasirika nini na wakati alikuwa anajua kila kitu!
Alimuumba shetani huku akijua ya kuwa atakuja msaliti..🤣 what a movie..??
Tumepigwa mchana kweupeee
 
Back
Top Bottom