Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Adam kwa miaka yake hyo alizaa watoto wengi sana na hakuzaa na Haea pekee, aliishi miaka kama 900 hivi ambayo ni mingi sana na kwetu sisi ni vizazi kwa vizazi, na apo bado alizaa na watoto wake wengi kulingana na tetesi, na apo mwanzo undugu ulikuwa ni kama haupo
Hao Abel na Keini walikuwa ni moja ya watoto tu
Kulingana na maandiko, na enz zile walikuwa wanazaa kwelii, hakuna kumwaga nje
 
Kuna sura na mstari kwenye kitabu cha yohana mtakatifu, unasema kama biblia ingeandika kila kitu basi isingetosha wala kujaa, hivo naamini pia kuna watu waliokuwepo ambao hawakuongelewa ktk kipengele hicho cha Kain, huenda ikawa pia ni wale jamii ya wanefili ambao kwenye mwanzo wanatajwa tu lkn hawakuonglewa kwa undani sana
Hiyo miaka mia900 alizaa watoto wengi sana na ukichukulia miaka hyo ni ming na ilikuwa ni kujaza tu dunia
 
Kuna yule baharia alitaka kusababisha wenzake wafe kwa meli wakamtupa baharini akamezwa na samaki siku 3 halafu akatemwa kule alipotakiwa kwenda ambapo alikuwa hataki na aliagizwa na Mungu..[emoji1787][emoji1787]

Haikutosha vipi kwa mose ati alitawanya bahari waisraeli wakapita!.. nilipopenda zaidi ati shetani alienda mbinguni kuongea na Mungu ili amjaribu yule msela aliepewa mapunye mwili mzima,utajiri wake ukapotea,familia yake ikafa! How can it be wengine wafe kisa kujaribiwa kwa mtu mmoja!![emoji3]

Vipi kuhusu Israel ati alipigana na malaika usiku kucha mwisho wa siku malaika akaamua amtengue nyonga yakobo..[emoji1787] jamani kama ni kupima uwezo Mungu si anajua uwezo wa kila mtu Sasa vipi kutumiana malaika waje tupigane nao ngwara..??[emoji23]

Tuachane na yote ati Adam na Eva walipokula tunda Mungu alipokuja akaanza kuwauliza ati nani kawaambia wapo uchi baada ya kula tunda!.. wakati huohuo tunaambiwa Mungu anayajua yote mwanzo Hadi mwisho sasa alikasirika nini na wakati alikuwa anajua kila kitu!
Alimuumba shetani huku akijua ya kuwa atakuja msaliti..[emoji1787] what a movie..??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1827606
Apa nadhani una nadhalia tofauti wakati iliyoandikwa ni tofauti, yann biblia inamaamini siku ni tatu yani ijumaa, jumamosi na jumapili uku we unahesabu kimasaa
Unanikumbusha enzi zile bado miez8 necta ila waalim wanapunguza mpaka inabaki wiki
 
Binafsi kwenye kitabu cha dini yangu ya Kikristo, yaani BIBLIA TAKATIFU, sijawahi wala sitarajii kusikia Ngano humo ndani. Yote yaliyomo humo ni kweli tupu. Ni mafundisho ya kweli na ya UHALISIA.
Et dini yako😄😄 kama ww ni mzungu ni sawa. Lakini kama ww ni wa hapahapa basi usijifanye unaijua sana kuliko walioianzisha bwa shee. Hujui chochote zaidi ya mapokeo
 
Niliposhikwa ni hapa...
Ni
pale kaini alipo muua ndugu yake
Alipata laana,
kuwa kila atakaye mwona atamuua.
Ilimbidi akimbielie
mji unaoitwa"Enoko"

Kisha akaambiwa
"nitakuweka alama katika paji la uso ili kila akuonaye asikudhuru"

Je kina nani wangemdhuru wakati huo duniani walikuwa watu watatu tu yaani
Adam, Eva , kaini na
mwili wa kaini uliokuwa ndani ya tombo la adhri

Je kuliku na watu zaidi ?
Au
Wazazi wawangemdhuru mtoto wao?
 
Kuna wakati uwa Nna kuwa na imani na kuamini sana uwepo wa mungu,mfano mm nnatabia ya kuona nyoka na wachawi usiku na wananifukuzaa,ila kila nikitaja jina Yesu kristo au kufanya maombi huko ndotoni uwa nawashinda hao wabaya wangu,ila sasa story za kwenye hayo maandiko uwa zinanichanganya sana Kichwa!!!
 
Kuna wakati uwa Nna kuwa na imani na kuamini sana uwepo wa mungu,mfano mm nnatabia ya kuona nyoka na wachawi usiku na wananifukuzaa,ila kila nikitaja jina Yesu kristo au kufanya maombi huko ndotoni uwa nawashinda hao wabaya wangu,ila sasa story za kwenye hayo maandiko uwa zinanichanganya sana Kichwa!!!
Yaani wewe ni mimi kabisa
 
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
We chalii wewe!! Usiharibu biashara za watu!!
 
Vitabu vya dini ukitumia logic, HUTOBOI. Maana kuna vingine havimake sense kabisa. Kufika mbinguni kazi sana.

Kuna muda unasoma unaona kabisa hii chai sasa, hasa yule mwamba aliyemezwa na samaki siku 3. Kwamba alikuwa tumboni amekaa tu. Sijui anapumuaje huko tumboni.

Mungu kama unatusikia tusamehe tu baadhi yetu
Kweli mkuu na atusamehe tu!! tunajaribu kufikiri tu!!
 
Pinga kwa hoja usilete utoto katika mambo ya kielimu.

Amesema Allah muumba wa mbingu na ardhi.

Allah anasema :

1. Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe kutoka nafsi ile ile. Na akaeneza kutokana na wawili hao wanaume na wanawake wengi. Na tahadharini na Mwenyezi Mungu ambaye kwaye mnaombana, na jamaa zenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaangalieni.(an-Nisaa : 2)

Akasema tena :

47. Enyi mlio pewa Kitabu! Aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni, au tukawalaani kama tulivyo walaani watu wa Sabato (Jumaamosi). Na amri ya Mwenyezi Mungu ni lazima ifanyike. (an-Nisaa : 47)

Unahoja ya kukataa kwamba siyo ujumbe kwa watu wote ?
Allah ni nani? Ndiye Hamadi?

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mambo ya kielimu hapo.
Pinga kwa hoja usilete utoto katika mambo ya kielimu.

Amesema Allah muumba wa mbingu na ardhi.

Allah anasema :

1. Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe kutoka nafsi ile ile. Na akaeneza kutokana na wawili hao wanaume na wanawake wengi. Na tahadharini na Mwenyezi Mungu ambaye kwaye mnaombana, na jamaa zenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaangalieni.(an-Nisaa : 2)

Akasema tena :

47. Enyi mlio pewa Kitabu! Aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni, au tukawalaani kama tulivyo walaani watu wa Sabato (Jumaamosi). Na amri ya Mwenyezi Mungu ni lazima ifanyike. (an-Nisaa : 47)

Unahoja ya kukataa kwamba siyo ujumbe kwa watu wote ?
 
vipi Ile stori siku moja mtume wa Allah Alexander the great (ambaye Historia inasema alikuwa shoga Na mpagani) siku Moja aliwafungia watu nyuma ya ukuta.
wale watu taifa Zima wamefungwa ndani ya ukuta hapa hapa duniani na kila uchao wanajaribu kuubomoa huo ukuta ila wanashindwa wakilalala usiku Allah anakuja kuurudishia ukuuta.
halafu unaambiwa wana maumbile ya ajabu Na mmoja anaweza kuzaa watoto 1000 kwahyo kimahesabu kutoka kipindi cha Alexander the great watakuwa wameshatuzidi sisi binadamu Wingi watakuwa hata billion 100.


Sasaivi Dunia nzima tumeshaitembelea/navigate Na Kuna Google maps ila hata dalili Za taifa lililofungwa getikali hazionekani.
Halafu unaambiwa Hawa watu hawatatoka mpaka mwisho siku waakapochimba ukuta Na kusema InshallahView attachment 1829218View attachment 1829216
Duuh hyo ni bibilia mkuu siyo quraan karI'm, maana bibilia inasema waziwazi ibrahimu ni mzinifu, samsoni naye mtu wa mademu alafu hao ndio wabarikiwa na mungu , ktk quraan hakuna hizo ngano
 
Back
Top Bottom