Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Mkuu hivi unawezaje kumthibitishia mtu kuwa hapa duniani kuna Spiderman au aliwahi kuwepo Spiderman kwa kumuwekea CD ya movie ya Spiderman?? [emoji13][emoji13][emoji13]

Yaani mtu amekuuliza "hivi unaweza kuthibitisha kweli Tazani aliwahi kuwepo?" Wewe unamwambia ndio nakuthibitishia kwa kukuwekea movie ya Tazani uangalie pale kwenye dakika ya 20: sekunde ya 42 ya movie ile utapata uthibitisho[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Yaani mtu anakwambia biblia imeandikwa na watu tu, sio neno la Mungu. Na huyo Mungu anayesemwa ni wa uongo hayupo, wewe unamwambia nakuthibitishia kwa kukufungulia biblia hiyo hiyo Yohana 3:16[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mtu akikwambia soma vitabu vingine vya kihistoria, fanya utafiti wa kina ujue kama yaliyoandikwa kwenye hivyo vitabu ni ya kweli wewe unasema ukweli wake upo ndani ya hivyo hivyo vitabu, hutaki kusoma vingine[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Yaani waafrika sijui akili yetu imefunguwa wapi!!! We ñeed to change. Tutafute ukweli, na ukweli uko wazi kabisa na ushahidi unaoshikika kabisa kuwa dini ni uongo na yaliyoandikwa mengi hayakuwahi kutokea. ukisoma vitabu vingi utajionea pasi na shaka kabisa.


Mbingu na Jehanam havipo sehem yoyote ile bali kwenye ubongo wa waumini.
ni kweli mkuu, nashangaaga sana mtu unamuomba uthibitisho kama kweli quruan ni kitabu cha mungu yeye anakufungulia haya za hiyo hiyo quruan,.

dunia yenyewe hazitambui hizi dini,.
 
Quraan ni hekaya za Muhammad, sababu mara zote alipotenda kosa, ilishushwa aya kujustify makosa yake na wala sio kurekebisha au kumtaka atubu kama ambavyo ilifanyika kwa mitume na manabii wengine.
Labda nikupe hits moja kuu , quraan haijabadilishwa hata herufi toka ianzishwe , mtoto aliye hifadhi quraan wa nchi ya urusi au china ata soma ( sound ) sawa na mtoto aliye hifadhi quraan wa songea ina maana hii

Quraan = never got changed (permanent introduced ) wakati

Bible = changes due to leaders wishes that's there lot version which confused people
 
Huu uzi ukisoma ni hatari kwa afya ya dini, hauhitaj akili nyingi kudadavua mambo.
 
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Sio kwel walizaa watoto watatu wengi hamfaham ilaa wa mwisho anaitwa SETH... Lakn inasemekana alikuwaa na watoto wa kike ambao kimsingi huwaaa hatuwahesabu ..na hao ndoo walikuja kuendeleza kizazi....but the rest is history
 
Sina muda wa kuchunguza vitabu, mimi huwa nasoma tu kisha naongeza na za kwangu na pia ushahidi wa kisayansi na wa historia.
Ila muda wa kuchunguza vitabu vingine unao?
 

Zaburi 82:6​

"Mimi nilisema kuwa nyinyi ni miungu; kwamba nyote ni watoto wa Mungu Mkuu!"

Kwa kweli kila nikisoma hapa sielewi kabisa maana ya Mungu!
 
1 Samuel 16:14-15

Tunapo kazana Pepo Toka Rudi kuzimu, Pepo anatoka anaenda mbinguni!!!
 
Ukisoma na Kuuelewa hata mstari mmoja wa Biblia unabariki. Na Biblia siyo ya kuisoma Kama gazeti , inahusisha tafakari .
 
Vitabu vya dini ukitumia logic, HUTOBOI. Maana kuna vingine havimake sense kabisa. Kufika mbinguni kazi sana.

Kuna muda unasoma unaona kabisa hii chai sasa, hasa yule mwamba aliyemezwa na samaki siku 3. Kwamba alikuwa tumboni amekaa tu. Sijui anapumuaje huko tumboni.

Mungu kama unatusikia tusamehe tu baadhi yetu
Best comment.
 
Quran tu ndo kitabu pekee kinachoeleweka na hakina shaka
vipi Ile stori siku moja mtume wa Allah Alexander the great (ambaye Historia inasema alikuwa shoga Na mpagani) siku Moja aliwafungia watu nyuma ya ukuta.
wale watu taifa Zima wamefungwa ndani ya ukuta hapa hapa duniani na kila uchao wanajaribu kuubomoa huo ukuta ila wanashindwa wakilalala usiku Allah anakuja kuurudishia ukuuta.
halafu unaambiwa wana maumbile ya ajabu Na mmoja anaweza kuzaa watoto 1000 kwahyo kimahesabu kutoka kipindi cha Alexander the great watakuwa wameshatuzidi sisi binadamu Wingi watakuwa hata billion 100.


Sasaivi Dunia nzima tumeshaitembelea/navigate Na Kuna Google maps ila hata dalili Za taifa lililofungwa getikali hazionekani.
Halafu unaambiwa Hawa watu hawatatoka mpaka mwisho siku waakapochimba ukuta Na kusema Inshallah
images.jpeg
images.jpeg
 
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Sasa hapo usichokielewa ni kipi mkuu. Kuna binadamu walioumbwa na kuna binadamu wametokana na nyani.

Walioumbwa walikuwa waafrika. Edeni ilikuwa maeneo ya East Afrika, Tanzania.

Wazungu na wachina wanatokana na nyani. Ndio maana wana akili nyingi. Kwa sababu evolution inaendelea.
 
Sasa hapo usichokielewa ni kipi mkuu. Kuna binadamu walioumbwa na kuna binadamu wametokana na nyani.

Walioumbwa walikuwa waafrika. Edeni ilikuwa maeneo ya East Afrika, Tanzania.

Wazungu na wachina wanatokana na nyani. Ndio maana wana akili nyingi. Kwa sababu evolution inaendelea.
Mega mind 💯💯
 
Sina muda wa kuchunguza vitabu, mimi huwa nasoma tu kisha naongeza na za kwangu na pia ushahidi wa kisayansi na wa historia.
So hauamini hata kua Mussa alipiga Fimbo bahari ikagawanyika ikafanya njia, ye akapita na wenzie??
 
Back
Top Bottom