Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki ndo chauongo 100%Quran tu ndo kitabu pekee kinachoeleweka na hakina shaka kabisa.
Acha umbumbumbu weweHujathibitisha nililo kuuliza.
Nalusaidia kwa swali lako rahisi sana. Naizungumzia Qur'aan.
Mtume alikuwa ni katika Waarabu,na ndiyo maana Qur'aan imetermshwa kwa lugha ya Kiarabu.
Kisha ikawafikia wasio kuwa Waarabu sababu ni ujumbe kwa walimwengu wote.
Mola akajaalia ukijifunza jambo unalijua hata kama si la lugha yako. Watu wakafundishwa lugha ya Kiarabu na wakaelewa. Leo hii ukienda bara la arabu au ukisoma historia ya wajuzi wa kiarabu kiasili si Waarabu.
Sasa usiwe mjinga kukataa jambo usilo kuwa na elimu nalo.
Hakuna aliye zaliwa anajua,hata wewe bila kufindishwa leo hii usingejua kusoma wala kuandika,yaani ungebweteka.
Sasa nataka uthibitishe ya kuwa Qur'aan imeandikwa yaani imetungwa ba Mwanadamu.
Tunataka hoja. Ili tujue kati yangu na wewe nani mbumbu. Huwezi kukiosoa ninacho kiandika mpaka unakufa.
Are you a female?Kupigwa tumepigwa sana na tukihoji tunaambiwa haturuhusiwi kuhoji tuamini kila kitu. Mie yashanishinda...amri ya mungu niliyoielewa ni UPENDO. Mengine ya kwenye biblia yatanisamehe
NoAre you a female?
Umbali wake kama kutoka kariakoo,kwenda morroco au mwengeStory ya Mussa kutumia miaka 40 kutoka Misri hadi Israel ni uongo mtupu, hata kama zamani hawakua na Ndege au Magari lakini pale sio mbali ki hivyo.
Luka 1:1.Naomba uniwekee story mbili tu kisha uthibitishe ya kuwa hizo ni ngano ? Yaani uweke na ushahidi.
Aliishi kwa mamake,,kazi ya mamake ilikua ni kuuza mvinyo kwenye sherehe mfano harusi,birthday etc,mzee joseph alukua ameshafariki,hivyo alikua akimsaidia mamake kwa kazi hizo,mvinyo ukiisha ilikuwa jukumu lake kufuata magudulia ya mvinyo nyumbaniMimi naamini yesu alitengeneza balimi (divai) tena ndo miracle ya kwanza kwenye kitabu cha Yohana, tuje kwa mzee baba Timotheo alipooiga konyagi ndogo (kischana) (divai) ili ajiponye na magonjwa ya yayomsumbua. Mengine watajua wao😏😏😃😃
Tena Quran ndo imejaa uharo mtupu. Kwanza mnadai quran ilishushwa wakati bwana Mohamed ndo alikuwa akipandwa na mashetani anawahadithia wanaojua kuandika wao wanaandika.Quran tu ndo kitabu pekee kinachoeleweka na hakina shaka kabisa.