ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 442
Biblia ukisoma nusu nusu hutoelewa milele hasa neno lenye uchaji wa Mungu halieleweki kwa wote. Mfano kuna watu wa itelejinsia humu huwasiliana kwa maandishi haya na wengi wetu hatujui wala kuelewa chochote, note that.
Kama sio mcha Mungu sahau kuhusu kuelewa Neno LA Mungu.
Kama sio mcha Mungu sahau kuhusu kuelewa Neno LA Mungu.