Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Biblia ukisoma nusu nusu hutoelewa milele hasa neno lenye uchaji wa Mungu halieleweki kwa wote. Mfano kuna watu wa itelejinsia humu huwasiliana kwa maandishi haya na wengi wetu hatujui wala kuelewa chochote, note that.
Kama sio mcha Mungu sahau kuhusu kuelewa Neno LA Mungu.
 
Biblia na Qur'an kaandika nani? Hivi kwa akili yako kweli, kama Mungu anakutumia wewe Mtanzania ujumbe au Mwafrika yeyote ujumbe kwanini akutumie kwa lugha isiyo yako? Waafrika tuwe tunafikiri sometimes, tusipende tu kukariri vitu vya kuambiwa na kujifanya Wajinga.
Hujathibitisha nililo kuuliza.

Nalusaidia kwa swali lako rahisi sana. Naizungumzia Qur'aan.

Mtume alikuwa ni katika Waarabu,na ndiyo maana Qur'aan imetermshwa kwa lugha ya Kiarabu.

Kisha ikawafikia wasio kuwa Waarabu sababu ni ujumbe kwa walimwengu wote.

Mola akajaalia ukijifunza jambo unalijua hata kama si la lugha yako. Watu wakafundishwa lugha ya Kiarabu na wakaelewa. Leo hii ukienda bara la arabu au ukisoma historia ya wajuzi wa kiarabu kiasili si Waarabu.

Sasa usiwe mjinga kukataa jambo usilo kuwa na elimu nalo.

Hakuna aliye zaliwa anajua,hata wewe bila kufindishwa leo hii usingejua kusoma wala kuandika,yaani ungebweteka.

Sasa nataka uthibitishe ya kuwa Qur'aan imeandikwa yaani imetungwa ba Mwanadamu.
 
Vita vyetu siyo vya damu na nyama ilihali adui yangu anakuja kwa bunduki, binduki panga, mikuki na mishale aiseeeee.


Ok, nalikujua tangu tumboni mwa mama yako, mwanza hadi mwisho. Kwa hiyo sasa tumesha hukumiwa kabisa kabisa maana alishajua Mimi Machepele ntakuwa zangu mbinguni.

#NITARUDI
Kila andiko unalosoma nadhani unatakiwa ufahamu nani anaambiwa. Hapa Yeremia ndio aliambiwa alijulikana tangu tumboni sasa we mbona unajiweka wewe? Au kwa imani? Soma kwa roho na akili utaelewa. Ukisikiliza tafsiri ni most likely usipate kitu
 
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Hapa ndo wale akina naijua vizuri biblia watakwambia Mungu ajua ya sirini [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna sura na mstari kwenye kitabu cha yohana mtakatifu, unasema kama biblia ingeandika kila kitu basi isingetosha wala kujaa, hivo naamini pia kuna watu waliokuwepo ambao hawakuongelewa ktk kipengele hicho cha Kain, huenda ikawa pia ni wale jamii ya wanefili ambao kwenye mwanzo wanatajwa tu lkn hawakuonglewa kwa undani sana
Kwahiyo hawakutajwa ili baadae tuje kujiuliza maswali ya hivi tubaki na sintofahamu au wamaanisha Mungu hakutaka tujur vyema kazi yake ya uumbaji??[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna yule baharia alitaka kusababisha wenzake wafe kwa meli wakamtupa baharini akamezwa na samaki siku 3 halafu akatemwa kule alipotakiwa kwenda ambapo alikuwa hataki na aliagizwa na Mungu..[emoji1787][emoji1787]

Haikutosha vipi kwa mose ati alitawanya bahari waisraeli wakapita!.. nilipopenda zaidi ati shetani alienda mbinguni kuongea na Mungu ili amjaribu yule msela aliepewa mapunye mwili mzima,utajiri wake ukapotea,familia yake ikafa! How can it be wengine wafe kisa kujaribiwa kwa mtu mmoja!![emoji3]

Vipi kuhusu Israel ati alipigana na malaika usiku kucha mwisho wa siku malaika akaamua amtengue nyonga yakobo..[emoji1787] jamani kama ni kupima uwezo Mungu si anajua uwezo wa kila mtu Sasa vipi kutumiana malaika waje tupigane nao ngwara..??[emoji23]

Tuachane na yote ati Adam na Eva walipokula tunda Mungu alipokuja akaanza kuwauliza ati nani kawaambia wapo uchi baada ya kula tunda!.. wakati huohuo tunaambiwa Mungu anayajua yote mwanzo Hadi mwisho sasa alikasirika nini na wakati alikuwa anajua kila kitu!
Alimuumba shetani huku akijua ya kuwa atakuja msaliti..[emoji1787] what a movie..??
Nimependa hapo kwa Adam na Eva wanatenda dhambi mungu akakasirika!
Hapo hapo unaambiwa ye ajua mwanzo na mwisho[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kazi ngumu hii jaman
 
Hujathibitisha nililo kuuliza.

Nalusaidia kwa swali lako rahisi sana. Naizungumzia Qur'aan.

Mtume alikuwa ni katika Waarabu,na ndiyo maana Qur'aan imetermshwa kwa lugha ya Kiarabu.

Kisha ikawafikia wasio kuwa Waarabu sababu ni ujumbe kwa walimwengu wote.

Mola akajaalia ukijifunza jambo unalijua hata kama si la lugha yako. Watu wakafundishwa lugha ya Kiarabu na wakaelewa. Leo hii ukienda bara la arabu au ukisoma historia ya wajuzi wa kiarabu kiasili si Waarabu.

Sasa usiwe mjinga kukataa jambo usilo kuwa na elimu nalo.

Hakuna aliye zaliwa anajua,hata wewe bila kufindishwa leo hii usingejua kusoma wala kuandika,yaani ungebweteka.

Sasa nataka uthibitishe ya kuwa Qur'aan imeandikwa yaani imetungwa ba Mwanadamu.
Quraan ni hekaya za Muhammad, sababu mara zote alipotenda kosa, ilishushwa aya kujustify makosa yake na wala sio kurekebisha au kumtaka atubu kama ambavyo ilifanyika kwa mitume na manabii wengine.
 
Quraan ni hekaya za Muhammad, sababu mara zote alipotenda kosa, ilishushwa aya kujustify makosa yake na wala sio kurekebisha au kumtaka atubu kama ambavyo ilifanyika kwa mitume na manabii wengine.
Thibitisha.

Kwahiyo hekaya ina sifa hii ? Amekwambia nani hizi habari ?

Hapa chini nakuwekea aya zinazo mkosoa Mtume wa Allah.

1. Alikunja kipaji na akageuka,

2. Kwa sababu alimjia kipofu!

3. Na nini kitakujuulisha pengine yeye atatakasika?

4. Au atawaidhika, na mawaidha yamfae?

5. Ama ajionaye hana haja,

6. Wewe ndio unamshughulikia?

7. . Na si juu yako kama hakutakasika.

8. Ama anaye kujia kwa juhudi

9. Naye anaogopa,

10. Ndio wewe unampuuza?

11. Sivyo hivyo! Huku ni kukumbushana.

12. . Basi anaye penda akumbuke. (Abbasa : 1-12)
 
Kuna sura na mstari kwenye kitabu cha yohana mtakatifu, unasema kama biblia ingeandika kila kitu basi isingetosha wala kujaa, hivo naamini pia kuna watu waliokuwepo ambao hawakuongelewa ktk kipengele hicho cha Kain, huenda ikawa pia ni wale jamii ya wanefili ambao kwenye mwanzo wanatajwa tu lkn hawakuonglewa kwa undani sana
Uko sahihi kabisa ila, sometimes watu wanajadili vitu kwa ushabiki so tunahaki kutazama tu
 
Labda jibu liko hapa:

Kaini na ndugu yake Abeli walikuwa wa kwanza kati ya watoto kadhaa waliozaliwa na Hawa. (Mwanzo 4:1, 2) Kaini alipofukuzwa kwa kumuua ndugu yake, alilalamika hivi: “Yeyote atakayenikuta ataniua.” (Mwanzo 4:14) Kaini alikuwa akiogopa nani? Biblia inasema kwamba Adamu “akazaa wana na mabinti.” (Mwanzo 5:4) Ni wazi kwamba wazao hao wengine wa Adamu na Hawa wangeweza kumshambulia Kaini.

Soma zaidi hapa:
Lakini hapo kwa mtiririko ni kuwa Adam alizaa wana na mabinti baadae maana unaona hapo ipo chapter 5 wakati Kaini kuogopa imetokea chapter 4.

Mtirirko haupo hapo.
 
Binadamu ana ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho.

Katika ulimwengu wa mwili formula sinajulikana tu zipo waZi ila ulimwengu wa roho sio mrahisi kuelezea hivyo basi kwenye kila jamii watu walioamua kutaka kujua nini kinaendelea kwenye ulimwengu wa roho walikuwa wakiandika mambo mazuri na mabaya waliojifunza katika ulimwengu wa roho.Lengo ni kuwasaidia watu kuuelewa ulimwengu wa roho.Jamii za wenzetu waliandika vitabu na kuchora michoro yenye maana mbali mbali.

Hivyo vitabu ndo tunaviita vya dini au uchawi kulingana na mwandishi alijifunza nini na alikusudia kufundisha nini ktk ulimwengu huo wa roho

Lugha inayozungumzia mle ni mafumbo na baadhi ya mambo lazima uingie kwenye ulimwengu wa roho ndo utayaelewa..

Shida inakuja viongozi wa dini wengi wanatafsiri mambo ya ulimwengu wa roho kama ni mambo ya ulimwengu wa nyama.

Kuna vitu havieleweki katika ulimwengu huu lkn katika ulimwengu wa roho vina maana kubwa.

Vitu km mchawi anavyopaa usiku,chumaulete,kumuua baba/mama ako hlf unaanza kuwa tajiri ni vitu ambavyo Havieleweki kabisaaa katika ulimwengu wetu lakini vipo na vinafanya kazi kweli .
Vitabu vya Dini viliamua kuelezea kidogo sana ulimwengu wa roho upande wa giza na vikawekeza kuelezea sana ulimwengu wa roho upande wa nuru.Nadhani ziliogopa kufunza watu yaliyomo ulimwengu wa roho upande wa giza

Swali ni je vitu tunavyofundishwa kwenye biblia na kuruani.Waandishi ambao tuseme wamefunuliwa na Mungu.Ujumbe wanaotupa ndo ulikusudiwa tujifunze huo au tafsiri yake imepotea.

Je usiue ya kwenye biblia ina maana gani?nisiue nini?kwasababu gani?Maana watu wa Mungu walishiriki vita nyingi!!!tunaua ili tule kila siku!!

Ufalme wa Mungu upo ndani yako,kivip?nini maana yake sahihi
 
Ushahidi wa nini na nitaupata wapi mimi sasa?
Ina maana umeropokwa tu ? Kama hivyo ndivyo wewe ni muongo au una matatizo ya akili,inakuwaje anaweka mambo usiyo yajua ?
 
Back
Top Bottom