Ibn Massood
Senior Member
- May 7, 2012
- 153
- 372
Hivo vitabu tunavoita vya wageni tuwaachie hao wageni na dini zao hata tuvijadili vipi we cant change a thing ndo imekua hivo na itaendelea hivo.
Wanaoamini wameshaamini kama wewe huamini umechagua unachoamini
Mimi naona kuna hichi kitabu kinachotuhusu wote iwe unakiamini au la tuwekeze nguvu kwenye kukijadili na ndio kitabu pekee ambacho kina nafasi ya kubadilishwa maudhui yake ili kitufurahishe sote
Kinaitwa KATIBA
Wanaoamini wameshaamini kama wewe huamini umechagua unachoamini
Mimi naona kuna hichi kitabu kinachotuhusu wote iwe unakiamini au la tuwekeze nguvu kwenye kukijadili na ndio kitabu pekee ambacho kina nafasi ya kubadilishwa maudhui yake ili kitufurahishe sote
Kinaitwa KATIBA