Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
- Thread starter
- #81
Wewe unaweza kunipa ushahidi Abunuwasi hayupo au hajawahi kuwepo?
Au unaweza kunipa ushahidi wale Sungura wanaozungumza kwenye hadithi za watoto hawajawahi kuwepo?
Au unaweza kunipa ushahidi wale Sungura wanaozungumza kwenye hadithi za watoto hawajawahi kuwepo?
Ina maana umeropokwa tu ? Kama hivyo ndivyo wewe ni muongo au una matatizo ya akili,inakuwaje anaweka mambo usiyo yajua ?