Mzee kwahyo unapinga yote hayo nliyotaja Quran iliyosema kuhusu Yule nabii shoga Alexander The great?Duuh hyo ni bibilia mkuu siyo quraan karI'm, maana bibilia inasema waziwazi ibrahimu ni mzinifu, samsoni naye mtu wa mademu alafu hao ndio wabarikiwa na mungu , ktk quraan hakuna hizo ngano
Duuh hyo ni bibilia mkuu siyo quraan karI'm, maana bibilia inasema waziwazi ibrahimu ni mzinifu, samsoni naye mtu wa mademu alafu hao ndio wabarikiwa na mungu , ktk quraan hakuna hizo ngano
Dah mkuu katika mitume ya Allah hayupo Alexander the great kama yupo thibitisha alafu tena ni shoga pia hamwamini huyo Allah ni ajabu juu ya ajabu , mimi nahisi una fananisha ila hakuna mwenye jina na wasifu huoMzee kwahyo unapinga yote hayo nliyotaja Quran iliyosema kuhusu Yule nabii shoga Alexander The great?
Tafadhali fafanua zaidi kuhusu ahadi Allah ya mabikira 72 kwa kila mwanaume akhera.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Mkuu hyoTafadhali fafanua zaidi kuhusu ahadi Allah ya mabikira 72 kwa kila mwanaume akhera.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
mkuu hyo sio ngano wala chai, for those believers and muumin watapewa hao virgins kwa idadi kulingana na daraja zao hapo ni baada ya kuingia peponi na hao mabint wana sifa kubwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe note hawajawahi kutuliwa hata na nzi au sisimizi, fanya mema mkuu utawapataTafadhali fafanua zaidi kuhusu ahadi Allah ya mabikira 72 kwa kila mwanaume akhera.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Yupo si ndo Quran inasema aliyeona jua linazama kwenye matope.Dah mkuu katika mitume ya Allah hayupo Alexander the great kama yupo thibitisha alafu tena ni shoga pia hamwamini huyo Allah ni ajabu juu ya ajabu , mimi nahisi una fananisha ila hakuna mwenye jina na wasifu huo
Na wanawake wameahidiwa nini!Mkuu hyo
mkuu hyo sio ngano wala chai, for those believers and muumin watapewa hao virgins kwa idadi kulingana na daraja zao hapo ni baada ya kuingia peponi na hao mabint wana sifa kubwa kwa mujibu wa Allah mwenyewe note hawajawahi kutuliwa hata na nzi au sisimizi, fanya mema mkuu utawapata
Huwa una strong astral body projection kazana na meditation utakuwa mzoefu na utajua namna ya kujicontrolKuna wakati uwa Nna kuwa na imani na kuamini sana uwepo wa mungu,mfano mm nnatabia ya kuona nyoka na wachawi usiku na wananifukuzaa,ila kila nikitaja jina Yesu kristo au kufanya maombi huko ndotoni uwa nawashinda hao wabaya wangu,ila sasa story za kwenye hayo maandiko uwa zinanichanganya sana Kichwa!!!
Duuh hyo ni bibilia mkuu siyo quraan karI'm, maana bibilia inasema waziwazi ibrahimu ni mzinifu, samsoni naye mtu wa mademu alafu hao ndio wabarikiwa na mungu , ktk quraan hakuna hizo ngano
Thibitisha maneno haya mkuu.Naomba nikujibu swali lako kama ifuatavyo.
1, kabla ya kuwepo au kuumbwa kwa adamu mbinguni kulitokea vurugu ambayo majeshi ya malaika yalijigawa, robo tatu ya malaika yakawa upande wa shetani ambaye alitaka kuweka mapinduzi mbinguni na robo iliyo bakia ikabaki upande wa Mungu na mda ambao mapinduzi ya shetani kutaka kuchukua kiti cha Mungu ndo mda ambao Mungu alikuwa yupo duniani kuumba yaani kuyagawanya maji, n.k
Hivyo lile kundi lililo mfuata shetani lilishushwa duniani ila Adamu na eva walifichwa katika bustani ya edeni, na baada ya kutenda dhambi alitoka nje ya bustani na kujitengenezea majani ya miti kama kujistili kutokana na walijiona wapo uji, na kama wewe ni msomaji mzuri wa bible kuna pahara Mungu anauliza Adamu upo wapi, maana kwenye bustani hakuwepo.
Kwa hiyo Kaini alienda kuoa majitu yale ambayo ni malaika waasi kutoka mbinguni na majitu hayo nadhani ndio wa Nefili ambao Mungu aliwaonya kuwa wanadamu wasichangamane na hao majitu wa kuoa / kuolewa.
kama kuna swali nakaribisha
Kati ya Allah na Mungu yupi mkubwa!Pinga kwa hoja usilete utoto katika mambo ya kielimu.
Amesema Allah muumba wa mbingu na ardhi.
Allah anasema :
1. Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe kutoka nafsi ile ile. Na akaeneza kutokana na wawili hao wanaume na wanawake wengi. Na tahadharini na Mwenyezi Mungu ambaye kwaye mnaombana, na jamaa zenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaangalieni.(an-Nisaa : 2)
Akasema tena :
47. Enyi mlio pewa Kitabu! Aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni, au tukawalaani kama tulivyo walaani watu wa Sabato (Jumaamosi). Na amri ya Mwenyezi Mungu ni lazima ifanyike. (an-Nisaa : 47)
Unahoja ya kukataa kwamba siyo ujumbe kwa watu wote ?
Nishajiulizaga sana hapaKwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).
Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).
Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).
Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).
Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.
Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).
Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.
Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?
Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Quran ilishushwa na Allah.Labda nikupe hits moja kuu , quraan haijabadilishwa hata herufi toka ianzishwe , mtoto aliye hifadhi quraan wa nchi ya urusi au china ata soma ( sound ) sawa na mtoto aliye hifadhi quraan wa songea ina maana hii
Quraan = never got changed (permanent introduced ) wakati
Bible = changes due to leaders wishes that's there lot version which confused people
Sijui.
1) Allah syo muarabu na hana mfanano was kitu chochote tuki onacho kwa macho wala kufikirikaQuran ilishushwa na Allah.
Quran imeandikwa kwa lugha ya kiarabu.
Maswali:
1. Allah ni mwarabu?
2. Allah aliwaandikia quran waarabu tu?
3. Allah alijua wanaume tunahitaji mabikira sana mpaka akatuahidi mabikira 72, kwa akiki ya kawaida tu, hii inamake sense kweli? Wanawake wamahifiwa nini akhera
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Mkuu citizen b una akili sana za ku Google ila huna akili za kufikiri , wala kuchakata walau ka msamiati ki dogo tu ngoja nikupe shule ya vidudu bureeeeeee sitaki hata mia yako ,Yupo si ndo Quran inasema aliyeona jua linazama kwenye matope.
Sarafu zake zilikuwa Na picha yake akiwa Na mapembe ndo maana kulwani ilimwita dhul qarnayn yaani mtu mwenye mapembeView attachment 1831380
Muhammad alimchukuaje Zainab bint Jahsh kuwa mke wake kutoka kwa mume wako
Mambo mazuri yasiyo mfanowe
Yupo si ndo Quran inasema aliyeona jua linazama kwenye matope.
Sarafu zake zilikuwa Na picha yake akiwa Na mapembe ndo maana kulwani ilimwita dhul qarnayn yaani mtu mwenye mapembeView attachment 1831380
Bado Kuna watu toka Huku Afrika wenye akili timamu kabisa wanaziamini hizo ngano za na hekaya za wayahudi,wayunani na waarabu wa middle east?
Tuna safari ndefu Sana kujikomboa kifikra ndugu zanguni!
Tumepigwa mchana kweupeeeKuna yule baharia alitaka kusababisha wenzake wafe kwa meli wakamtupa baharini akamezwa na samaki siku 3 halafu akatemwa kule alipotakiwa kwenda ambapo alikuwa hataki na aliagizwa na Mungu..🤣🤣
Haikutosha vipi kwa mose ati alitawanya bahari waisraeli wakapita!.. nilipopenda zaidi ati shetani alienda mbinguni kuongea na Mungu ili amjaribu yule msela aliepewa mapunye mwili mzima,utajiri wake ukapotea,familia yake ikafa! How can it be wengine wafe kisa kujaribiwa kwa mtu mmoja!!😀
Vipi kuhusu Israel ati alipigana na malaika usiku kucha mwisho wa siku malaika akaamua amtengue nyonga yakobo..🤣 jamani kama ni kupima uwezo Mungu si anajua uwezo wa kila mtu Sasa vipi kutumiana malaika waje tupigane nao ngwara..??😂
Tuachane na yote ati Adam na Eva walipokula tunda Mungu alipokuja akaanza kuwauliza ati nani kawaambia wapo uchi baada ya kula tunda!.. wakati huohuo tunaambiwa Mungu anayajua yote mwanzo Hadi mwisho sasa alikasirika nini na wakati alikuwa anajua kila kitu!
Alimuumba shetani huku akijua ya kuwa atakuja msaliti..🤣 what a movie..??