Manyahe
JF-Expert Member
- Mar 17, 2023
- 487
- 883
Nna imani ujasoma hata kimoja wala kuvisikia hivi vitabu........swali la msingi ni kuuliza kwa nini viliondolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nna imani ujasoma hata kimoja wala kuvisikia hivi vitabu........swali la msingi ni kuuliza kwa nini viliondolewa
Story ya Unju bin Unuk ni kusadikika, mmepigwa pale.Qur'an ni kitabu pekee kimeshushwa kwa ajili ya walimwengu wote. Soma Qur'an uone raha yake.
Hata mito ya pombe mbinguni!?Qur'an yote ni muongozo kwa walimwengu wote.
Kwa hiyo unaamini kwenye familia mnaweza kubadilishana nafasi ya kuzaliwa yaani wa kwanza akawa wa pili? (Rejea story ya Yakobo na Essay)Binafsi kwenye kitabu cha dini yangu ya Kikristo, yaani BIBLIA TAKATIFU, sijawahi wala sitarajii kusikia Ngano humo ndani. Yote yaliyomo humo ni kweli tupu. Ni mafundisho ya kweli na ya UHALISIA.
Hakika ni muujiza maana mabikra 72 si mchezo!Tuwekee tuyaone, ukishindwa basi elewa kuwa una fikra potofu.
Qur'an ni muujiza.
Nipe kifungu kuthibitisha kaini alimuoa ndugu yake. Maandiko yanasema alikimbilia mbali, huko mbali ni kwenye jamii nyingine tofauti na yao.Kwa akili yako kisoda hukujua adam alikua ana watoto zaid ya hao wawili na walikua wanaoana ndugu kwa ndugu
Nimemsoma huyu unju nin unuk......daah pale kweli tumepigwaStory ya Unju bin Unuk ni kusadikika, mmepigwa pale.
Musa aliandikaje kifo chake kwenye kitabu chake??Binafsi kwenye kitabu cha dini yangu ya Kikristo, yaani BIBLIA TAKATIFU, sijawahi wala sitarajii kusikia Ngano humo ndani. Yote yaliyomo humo ni kweli tupu. Ni mafundisho ya kweli na ya UHALISIA.
Nipe japo kwa summary mkuuTafuta habari za lilith alaf njoo nikupe majibu......binafsi siwezi kukusimulia kitabu
Na ilishushwa ikiwa imechapishwa (printed) kwa printer za ahela!Kuhusu Quran "kushushwa" vuuuup huwaga bado sijaelewa
Leta ushahidi kwa uyasemayo.Hakika ni muujiza maana mabikra 72 si mchezo!
Kwa elimu yangu siwezi ku-summarize kitabu pole........Nipe japo kwa summary mkuu
Nijibu basi kwamba ni kitabu kani kilianza kwenye biblia kati ya kitabu cha Mwanzo na hivyo ulivyoniwekea nisome kuhusu LilthKwa elimu yangu siwezi ku-summarize kitabu pole........
Hahahahah uyo lilith ana kitabu cha peke yake mkuuNijibu basi kwamba ni kitabu kani kilianza kwenye biblia kati ya kitabu cha Mwanzo na hivyo ulivyoniwekea nisome kuhusu Lilth
Qur'an haikushushwa "vuup" kama unavyodhania.Kuhusu Quran "kushushwa vuuuup huwaga bado sijaelewa
Weka jina la kitabu au link tusome.Hahahahah uyo lilith ana kitabu cha peke yake mkuu
Hiyo story inapatikana wapi? Sijaiona kwenye Qur'an.Story ya Unju bin Unuk ni kusadikika, mmepigwa pale.