Funny boe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 1,319
- 2,334
duuh! Hii mpya tena, ila jamaniiiQur'an haikushushwa "vuup" kama unavyodhania.
Qur'an imeshushwa kidogo kidogo kwa miaka 23.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuh! Hii mpya tena, ila jamaniiiQur'an haikushushwa "vuup" kama unavyodhania.
Qur'an imeshushwa kidogo kidogo kwa miaka 23.
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.duuh! Hii mpya tena, ila jamaniii
Je ni kitabu gani kiaminike? Hicho cha Lilith au biblia?Hahahahah uyo lilith ana kitabu cha peke yake mkuu
Kwahiyo mtu akisoma hicho kitabu chako atakutana na mstari umeandikwa kuwa ilishushwa ndani ya muda wa miaka 23..?Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Wewe ulidanganywa au ulijidanganya nafsi yako kwa usilolijuwa.
Hapana. Waislam tuna Qur'an na tuna historia ya Uislam.Kwahiyo mtu akisoma hicho kitabu chako atakutana na mstari umeandikwa kuwa ilishushwa ndani ya muda wa miaka 23..?
mnataka nin tena
namaanisha nipate referrence ya kujua kuwa huyo mtu alianza kushukiwa na hayo maandishi from 40 to 63 yrsHapana. Waislam tuna Qur'an na tuna historia ya Uislam.
Umri wa Mtume Muhammad, Salla Allahu Alayhi Wasalaam, alipoanza kupokea aya za Qur'an alikuwa ana miaka 40 na amefariki ana miaka 63. Inakuwa mingapi hiyo? Simpo.
Fungua akili mkuu.... Hii biblia kuna vitabu vimeondolewa ndo vinaleta nadharia nyingi ambazo zinaleta malumbano kwa mfanoJe ni kitabu gani kiaminike? Hicho cha Lilith au biblia?
Soma: Quran History and Compilation - The Quran Recitalnamaanisha nipate referrence ya kujua kuwa huyo mtu alianza kushukiwa na hayo maandishi from 40 to 63 yrs
Kwanini vimeondolewa?Fungua akili mkuu.... Hii biblia kuna vitabu vimeondolewa ndo vinaleta nadharia nyingi ambazo watu zinaleta malumbano kwa mfano
1-Henoko
2-the book of juda
Muulize papaKwanini vimeondolewa?
Je papa ndio anaeamua kitabu gani kiwepo na kisiwepo kwenye biblia? Vipi kuhusu wasabato, protestants n.k nao wanaamini story ya mwanzo au hii ya Lilith?Muulize papa
Papa ni kiongozi mkuu wa wakatholiki kama wewe sio mkatholiki muulize kiongozi wa dini yakoJe papa ndio anaeamua kitabu gani kiwepo na kisiwepo kwenye biblia? Vipi kuhusu wasabato, protestants n.k nao wanaamini story ya mwanzo au hii ya Lilith?
Najua. Kwahiyo biblia ya mkatoliki ina maelezo tofauti na ya msabato au mprotestant?Papa ni kiongozi mkuu wa wakatholiki kama wewe sio mkatholiki muulize kiongozi wa dini yako
Uliniuliza Ishu ya vitabu gani vimeondolewa kwenye biblia nikakupa......unataka hoja ya nani mkatholiki na nani mprotestant semaNajua. Kwahiyo biblia ya mkatoliki ina maelezo tofauti na ya msabato au mprotestant?
Nimekuuliza ni kwanini viliondolewa na je tumamini kipi? Mwanzo au hivyo vya Henoko n.k?Uliniuliza Ishu ya vitabu gani vimeondolewa kwenye biblia nikakupa......unataka hoja ya nani mkatholiki na nani mprotestant sema
andika vizuri nmeshindwa kukuelewaNimekuuliza ni kwanini viliondolewa na je tumamini kipi? Mwanzo au hivyo vya Henoko n.k?