Ibn Massood
Senior Member
- May 7, 2012
- 153
- 372
A we siwezi muweka shetani mwenzangu awe mhasibu..🤣🤣Ha haaa , Mimi sio muongeaji kabisaaa so sifai, nitakuwa mhasibu haina shida
Nitawamislead wamamaA we siwezi muweka shetani mwenzangu awe mhasibu..🤣🤣
Just kuwa mama mchungaji hutakiwi kuwa muongeaji kivile..
Labda Kama hutaki fedha..😁Nitawamislead wamama
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).
Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).
Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).
Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).
Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.
Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).
Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.
Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?
Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Yes naamini 100% mkuu,kamuulize yule mmarekani Neil Armstrong au Edwin waliona nyufa kubwa huko mwezini kuashiria kuna Jambo liliwahitokea walipotembelea mwaka 1969Unaamini huu mwezi unaouona uliwahi kugawanyika katikati vipande viwili?
Kurokana na Lugha iliyotumika Quran inasomwa na Waislamu wenyewe kwa asilimia 99 tofauti biblia ambayo imekuja kwa kila Lugha kila ya taifa kiasi imewapa wengi kuijua kwa kuisoma ata wewe, ni ngumu kuonyesha madhaifu ya kitabu chako kitakatifu unachokiamini.Quran tu ndo kitabu pekee kinachoeleweka na hakina shaka kabisa.
Yes naamini 100% mkuu,kamuulize yule mmarekani Neil Armstrong au Edwin waliona nyufa kubwa huko mwezini kuashiria kuna Jambo liliwahitokea walipotembelea mwaka 1969
Naomba uniwekee story mbili tu kisha uthibitishe ya kuwa hizo ni ngano ? Yaani uweke na ushahidi.Ngano ni hadithi fupi inayosimuliwa kwa kusudi la burudani na pia mafundisho.Ni mambo ambayo hayajawahi kutokea kuhalisia.Ukitafakari kwa kina utagundua sehemu kubwa ya dini nyingi zimejengwa katika msingi huu.
Story gani ujawahi kuiamini kama ni ya kweli na halisi katika kitabu cha dini YAKO?
Thibitisha tafadhali.HAKUNA kitabu cha dini kilichotungwa na Mungu, vyote ni hadithi tu zilizotungwa na binadamu ili watu wapate kutawala wenzao.
Naomba unipe misingi ya Logic kwayi inakufanya iwe mizani ya kupima usahihi wa mambo.Vitabu vya dini ukitumia logic, HUTOBOI. Maana kuna vingine havimake sense kabisa. Kufika mbinguni kazi sana.
Kuna muda unasoma unaona kabisa hii chai sasa, hasa yule mwamba aliyemezwa na samaki siku 3. Kwamba alikuwa tumboni amekaa tu. Sijui anapumuaje huko tumboni.
Mungu kama unatusikia tusamehe tu baadhi yetu
Biblia na Qur'an kaandika nani? Hivi kwa akili yako kweli, kama Mungu anakutumia wewe Mtanzania ujumbe au Mwafrika yeyote ujumbe kwanini akutumie kwa lugha isiyo yako? Waafrika tuwe tunafikiri sometimes, tusipende tu kukariri vitu vya kuambiwa na kujifanya Wajinga.Thibitisha tafadhali.
Wanazingua kweliSiku hizi ili kupata likes inabidi uwe mpuuzi na kuandika upuuzi kwa kadri inavyotakiwa.
Walikua hawatambuliki wala kuandikwa..mbona waliwatambua hao akina eva..sara..na wengine acha upompoma tumia lojiki kuhoji sio uduwanzi.Wataalam eti wanasema...inawezekana Adam alipata watoto wengine zaidi ya Kaini, abeli na Seth ambao watakuwa wa kike. Means kaini alizaa na dada yake.
Zamani wanawake walikuwa hawatambuliki hata kuandikwa kwenye vitabu
we Mwanamke wewe nitamani mimi basiWaliandikwa wachache.
Hata amri za mungu zinawahusu wanaume..kuna ile 'usizini'. Niliwahi ambiwa hapa jf kuwa mwanaume ndo anazini na si mwanamke.
Kuna nyingine inasema usitamani mwanamke/mke wa mwenzio ina maana kutamani mume wa mwenzio ni ruksa
Hii hii ya sigda kuwa tochi jehanamu..au kurwani ipi unaungumzia..bora niamni biblia kuliko hizo falsafa za kukopy za kurwan.Quran tu ndo kitabu pekee kinachoeleweka na hakina shaka kabisa.
Sasa chai hapo iko wapi ? Kwani kitu hakiwezi kuwa hai ndani ya kitu kingine ?Kuna muda unasoma unaona kabisa hii chai sasa, hasa yule mwamba aliyemezwa na samaki siku 3. Kwamba alikuwa tumboni amekaa tu. Sijui anapumuaje huko tumboni.