He unataka kubishaWeka aya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He unataka kubishaWeka aya.
Weka aya.He unataka kubisha
Quran 45:15Weka aya.
Ushambiwa israel mtoa roho jiongezePoa tu shetani mwenzangu.
Kuna rafiki yangu huwa ananiambia pokea baraka za Israel..namwambia staki huo upuuzi.
Yaani watu hata kutumia akili ndogo tu wameshindwa.
😃😃😃 we jamaa weweMimi niliusikiliza kutoka dar, kufika dodoma ndio Harman anavishwa sanda nyeusi akafie huko!
Kwa akili yako kisoda hukujua adam alikua ana watoto zaid ya hao wawili na walikua wanaoana ndugu kwa nduguKwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).
Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).
Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).
Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).
Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.
Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).
Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.
Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?
Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Soma uelewe wewe zumbukukuKwa akili yako kisoda hukujua adam alikua ana watoto zaid ya hao wawili na walikua wanaoana ndugu kwa ndugu
Hii ya watoto wengine mliipata wap? Na kama wanawake walikuwa hawahesabiwi it means ....kuna uwezekano vitu vingi sana tena Sanaa vimefichwa .....lakini pia vipi kuhusu kuandikwa kina Eva,delila,....je walikuwa wanachagua story baadhi za kuwaandika wanawake?Kwa akili yako kisoda hukujua adam alikua ana watoto zaid ya hao wawili na walikua wanaoana ndugu kwa ndugu
Wewe ndo zumbuka umeikuta biblia na utakufa utaiachaSoma uelewe wewe zumbukuku
Sawa wewe utabaki nayo bossWewe ndo zumbuka umeikuta biblia na utakufa utaiacha
Eti bahari ya Shamu (red sea) iligawanywa na Musa ikatokea njia katikati ya bahari?Binafsi kwenye kitabu cha dini yangu ya Kikristo, yaani BIBLIA TAKATIFU, sijawahi wala sitarajii kusikia Ngano humo ndani. Yote yaliyomo humo ni kweli tupu. Ni mafundisho ya kweli na ya UHALISIA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vitabu vya dini ukitumia logic, HUTOBOI. Maana kuna vingine havimake sense kabisa. Kufika mbinguni kazi sana.
Kuna muda unasoma unaona kabisa hii chai sasa, hasa yule mwamba aliyemezwa na samaki siku 3. Kwamba alikuwa tumboni amekaa tu. Sijui anapumuaje huko tumboni.
Mungu kama unatusikia tusamehe tu baadhi yetu
Kwamba Huko peponi Kuna mito ya gongo na madanguro yenye mabikira 70 kila danguro?Quran tu ndo kitabu pekee kinachoeleweka na hakina shaka kabisa.
Ahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa eti huu moto tunaotumia kupikia umechujwa kwenye bahari 7 [emoji23][emoji23][emoji23]Unaamini huu mwezi unaouona uliwahi kugawanyika katikati vipande viwili?
Wewe Binti wewe[emoji3064]Waliandikwa wachache.
Hata amri za mungu zinawahusu wanaume..kuna ile 'usizini'. Niliwahi ambiwa hapa jf kuwa mwanaume ndo anazini na si mwanamke.
Kuna nyingine inasema usitamani mwanamke/mke wa mwenzio ina maana kutamani mume wa mwenzio ni ruksa