Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Labda jibu liko hapa:

Kaini na ndugu yake Abeli walikuwa wa kwanza kati ya watoto kadhaa waliozaliwa na Hawa. (Mwanzo 4:1, 2) Kaini alipofukuzwa kwa kumuua ndugu yake, alilalamika hivi: “Yeyote atakayenikuta ataniua.” (Mwanzo 4:14) Kaini alikuwa akiogopa nani? Biblia inasema kwamba Adamu “akazaa wana na mabinti.” (Mwanzo 5:4) Ni wazi kwamba wazao hao wengine wa Adamu na Hawa wangeweza kumshambulia Kaini.

Soma zaidi hapa:
Naam nimewhi kujifunza na nyie ilikua miaka ya 2000s
 
Kurokana na Lugha iliyotumika Quran inasomwa na Waislamu wenyewe kwa asilimia 99 tofauti biblia ambayo imekuja kwa kila Lugha kila ya taifa kiasi imewapa wengi kuijua kwa kuisoma ata wewe, ni ngumu kuonyesha madhaifu ya kitabu chako kitakatifu unachokiamini.
Kwamba Muddy hakua anajua kusoma so alikaririshwa na alikariri bila kukosea 100%[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Kuna Vitu Biblia haijaandika kwa sababu yako Binadamu, japo leo Kile Biblia ilificha Binadamu wanajifunza kwa njia nyingine!

Kabla ya Adam na Eva, kulikua na Binadamu wanaishi, na maisha yanaenda kama kawaida, ila mpango wa Mungu ukaanza na Adam na Eva.

Biblia imegusia kidogo juu ya Fallen Angels kkushuka na kuwafundisha Binadamu elimu ambazo hawakupaswa kuzijua, japo Biblia ilitambua lakini haikutaka kuelezea kwa sababu yako Binadamu.

Leo hata hapa JF watu wanafundishana Kutoka nje ya Mwili (Astra projection) yani kutembea kwenye Ulimwengu wa Roho!

Tunajua kwenye Ulimwengu wa Roho, Wachawi, Waganga na Wachungaji wa kweli (Kupitia holy spirity)
Wanatumia Ulimwengu huu kufanya kazi ama za Shetani ama za Mungu!

Matokeo yake mtu anajifunza hapa, anaanza kuzurura kwenye Ulimwengu wa roho akiwa hana Nguvu yoyote, Sio Mchawi, Sio Mganga wala sio Mchungaji, Ukikutana na Spirit za Wazee wa Ngwasuma huko! Inakua imeisha, umefungua mlango usioweza kuufunga!
 
Kuna Vitu Biblia haijaandika kwa sababu yako Binadamu, japo leo Kile Biblia ilificha Binadamu wanajifunza kwa njia nyingine!

Kabla ya Adam na Eva, kulikua na Binadamu wanaishi, na maisha yanaenda kama kawaida, ila mpango wa Mungu ukaanza na Adam na Eva.

Biblia imegusia kidogo juu ya Fallen Angels kkushuka na kuwafundisha Binadamu elimu ambazo hawakupaswa kuzijua, japo Biblia ilitambua lakini haikutaka kuelezea kwa sababu yako Binadamu.

Leo hata hapa JF watu wanafundishana Kutoka nje ya Mwili (Astra projection) yani kutembea kwenye Ulimwengu wa Roho!

Tunajua kwenye Ulimwengu wa Roho, Wachawi, Waganga na Wachungaji wa kweli (Kupitia holy spirity)
Wanatumia Ulimwengu huu kufanya kazi ama za Shetani ama za Mungu!

Matokeo yake mtu anajifunza hapa, anaanza kuzurura kwenye Ulimwengu wa roho akiwa hana Nguvu yoyote, Sio Mchawi, Sio Mganga wala sio Mchungaji, Ukikutana na Spirit za Wazee wa Ngwasuma huko! Inakua imeisha, umefungua mlango usioweza kuufunga!
Kitabu cha Mwanzo kinasimulia hadithi ya uumbaji chronologically mkuu. Kuanzia kuumbwa kwa ulimwengu bahari n.k mpaka alipoumbwa mtu (Adam) na kisha Hawa.

Sasa wewe kusema kuwa kulikuwa na watu wengine kabla unapingana na biblia maana inasema hapo mwanzo palikuwa tupu (yaani hapakuwa na kitu) hata dunia yenyewe haikuwepo. Je kama haikuwepo dunia hao unaosema walikuwepo walikuwa wapi?

Nijibu mkuu
 
Kitabu cha Mwanzo kinasimulia hadithi ya uumbaji chronologically mkuu. Kuanzia kuumbwa kwa ulimwengu bahari n.k mpaka alipoumbwa mtu (Adam) na kisha Hawa.

Sasa wewe kusema kuwa kulikuwa na watu wengine kabla unapingana na biblia maana inasema hapo mwanzo palikuwa tupu (yaani hapakuwa na kitu) hata dunia yenyewe haikuwepo. Je kama haikuwepo dunia hao unaosema walikuwepo walikuwa wapi?

Nijibu mkuu
Ukitaka kujua kabla ya Adam na Eva kulikua na Maisha yanaendelea rejea kisa cha Kaini pale anapowekewa alama kwenye paji la uso na Mungu na kulaaniwa.

Anamwambia Mungu huko ninapokwenda Watu wakiniona Wataniua... Ni watu gani hao ambao wangemuua!? Wakati yy ni kizazi cha pili baada ya Adamu na Eva!?

Biblia imeelezea vitu muhimu tu kwa ajiri msaada wa kiroho kwa Bindamu, mambo mengi ambayo siyo msaada wa kiroho kwenye Biblia imeyaacha, ila utayakuta kwenye Vitabu vingine.

Ndo utagundua kwa nini baadhi ya Vitabu kama the Book of Enock viliondolewa toka kwenye Biblia!

So in shop mpango wa Mungu ulianza na Adam na Hawa, kama tunavyosoma kuhusu wana wa Israel na maisha yao, haimaanishi kipindi hicho huku Africa hakukua na Watu, watu walikuepo na maisha yaliendelea, ila mpango wa Mungu that time, ulikua juu ya Israel.
 
Ukitaka kujua kabla ya Adam na Eva kulikua na Maisha yanaendelea rejea kisa cha Kaini pale anapowekewa alama kwenye paji la uso na Mungu na kulaaniwa.

Anamwambia Mungu huko ninapokwenda Watu wakiniona Wataniua... Ni watu gani hao ambao wangemuua!? Wakati yy ni kizazi cha pili baada ya Adamu na Eva!?

Biblia imeelezea vitu muhimu tu kwa ajiri msaada wa kiroho kwa Bindamu, mambo mengi ambayo siyo msaada wa kiroho kwenye Biblia imeyaacha, ila utayakuta kwenye Vitabu vingine.

Ndo utagundua kwa nini baadhi ya Vitabu kama the Book of Enock viliondolewa toka kwenye Biblia!

So in shop mpango wa Mungu ulianza na Adam na Hawa, kama tunavyosoma kuhusu wana wa Israel na maisha yao, haimaanishi kipindi hicho huku Africa hakukua na Watu, watu walikuepo na maisha yaliendelea, ila mpango wa Mungu that time, ulikua juu ya Israel.
Mkuu ni sawa hicho ndio chanzo cha swali. Kuwa dunia na kila kitu kilianza kuumbwa siku ya kwanza ndio akaja umbwa Adam na Hawa.

Je wewe unasemaje walikuwepo watu wengine wakati inaelezwa Adam ndio mtu wa kwanza kuumbwa?
 
Ukitaka kujua kabla ya Adam na Eva kulikua na Maisha yanaendelea rejea kisa cha Kaini pale anapowekewa alama kwenye paji la uso na Mungu na kulaaniwa.

Anamwambia Mungu huko ninapokwenda Watu wakiniona Wataniua... Ni watu gani hao ambao wangemuua!? Wakati yy ni kizazi cha pili baada ya Adamu na Eva!?

Biblia imeelezea vitu muhimu tu kwa ajiri msaada wa kiroho kwa Bindamu, mambo mengi ambayo siyo msaada wa kiroho kwenye Biblia imeyaacha, ila utayakuta kwenye Vitabu vingine.

Ndo utagundua kwa nini baadhi ya Vitabu kama the Book of Enock viliondolewa toka kwenye Biblia!

So in shop mpango wa Mungu ulianza na Adam na Hawa, kama tunavyosoma kuhusu wana wa Israel na maisha yao, haimaanishi kipindi hicho huku Africa hakukua na Watu, watu walikuepo na maisha yaliendelea, ila mpango wa Mungu that time, ulikua juu ya Israel.
Ni kweli hata kabla ya kuumbwa eva kulikuwa na mwanamke kabla yake aliitwa lilith
 
Kuna yule baharia alitaka kusababisha wenzake wafe kwa meli wakamtupa baharini akamezwa na samaki siku 3 halafu akatemwa kule alipotakiwa kwenda ambapo alikuwa hataki na aliagizwa na Mungu..[emoji1787][emoji1787]

Haikutosha vipi kwa mose ati alitawanya bahari waisraeli wakapita!.. nilipopenda zaidi ati shetani alienda mbinguni kuongea na Mungu ili amjaribu yule msela aliepewa mapunye mwili mzima,utajiri wake ukapotea,familia yake ikafa! How can it be wengine wafe kisa kujaribiwa kwa mtu mmoja!![emoji3]

Vipi kuhusu Israel ati alipigana na malaika usiku kucha mwisho wa siku malaika akaamua amtengue nyonga yakobo..[emoji1787] jamani kama ni kupima uwezo Mungu si anajua uwezo wa kila mtu Sasa vipi kutumiana malaika waje tupigane nao ngwara..??[emoji23]

Tuachane na yote ati Adam na Eva walipokula tunda Mungu alipokuja akaanza kuwauliza ati nani kawaambia wapo uchi baada ya kula tunda!.. wakati huohuo tunaambiwa Mungu anayajua yote mwanzo Hadi mwisho sasa alikasirika nini na wakati alikuwa anajua kila kitu!
Alimuumba shetani huku akijua ya kuwa atakuja msaliti..[emoji1787] what a movie..??
daah Wewe kiumbe ikitokea tumekutana huko panapoitwa mbinguni Mimi nashuka.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa chai hapo iko wapi ? Kwani kitu hakiwezi kuwa hai ndani ya kitu kingine ?

Lakini habari ya kumezwa na Samaki Chewa ni habari ya haki na huu ni katika muujiza.

Allah mtukufu anasema :


139. Na hakika Yunus alikuwa miongoni mwa Mitume.

140. Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.

141. Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.

142. Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.

143. Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,

144. Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.

145. Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.

146. Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung'unye.

147. Na tulimtuma kwa watu laki moja au zaidi.

148. Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda. (as-Saffat : 139 - 148)
kumbe vitu vya kwenye biblia ni SAWA na vya kwenye Quran tunatofautiana lugha na mitazamo TU???????????????
 
Ni kweli hata kabla ya kuumbwa eva kulikuwa na mwanamke kabla yake aliitwa lilith
Kwanini biblia inasema hapakuwa na kitu na kuwa Adam ndio mtu wa kwanza kuumbwa?

Unataka kutuambia kiwa biblia ni kitabu cha kitapeli kinachotudanganya kuhusu Mungu?

Na je hiyo habari ya Lilith umeipata katika kitabu gani (chanzo gani)? Na je tuamini hicho chanzo au tuiamini biblia?
 
Torati=Nabii Musa Amani iwe Juu yake
Zaburi=Nabii Daud Amani iwe Juu yake
Injili=Yesu Amani iwe Juu yake
Quran=Mtume Muhammad Amani iwe Juu yake
Biblia=??? Alipewa mtume/Nabii gani na MwenyEnzi Mungu !
 
Kwanini biblia inasema hapakuwa na kitu na kuwa Adam ndio mtu wa kwanza kuumbwa?

Unataka kutuambia kiwa biblia ni kitabu cha kitapeli kinachotudanganya kuhusu Mungu?

Na je hiyo habari ya Lilith umeipata katika kitabu gani (chanzo gani)? Na je tuamini hicho chanzo au tuiamini biblia?
Henoko unamjua?
Nipe jibu nikuongeze maarifa
 
Kwanini biblia inasema hapakuwa na kitu na kuwa Adam ndio mtu wa kwanza kuumbwa?

Unataka kutuambia kiwa biblia ni kitabu cha kitapeli kinachotudanganya kuhusu Mungu?

Na je hiyo habari ya Lilith umeipata katika kitabu gani (chanzo gani)? Na je tuamini hicho chanzo au tuiamini biblia?
Screenshot_20230327-132211_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom