Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Vita vyetu siyo vya damu na nyama ilihali adui yangu anakuja kwa bunduki, binduki panga, mikuki na mishale aiseeeee.


Ok, nalikujua tangu tumboni mwa mama yako, mwanza hadi mwisho. Kwa hiyo sasa tumesha hukumiwa kabisa kabisa maana alishajua Mimi Machepele ntakuwa zangu mbinguni.

#NITARUDI
Vita vyetu si kwa damu na nyama. Yaani hutakiwi kutumia nguvu au mwiliwako kabla hujashughulisha roho..Maombi mfano ukigombana na mtu hasira inapokujaa chuki ikidhidi unaweza kupigana naye Hapo utatumia nyama lakini ukipiga magoti nakuomba au ukamamehe kwa kumuonyesha upendo utakuwa umetumia roho mambo mengi maandalizi au maharibiko yanaanza kwenye fikra moyoni au mawazoni ambako hakuonekani huko ndio kwenye Vita halisi..angalia mspenzi yanayopelekea ngono raha ya tendo na maumivu ya kuachwa au raha ya upendo Ni tofauti hisia za ndani ndio kali zaidi kuliko mambo ya mwili
 
Mnatoa sababu za kitoto sana 🚮
Kuna utoto gani ninapokuambia kwenye Biblia anatajwa mtoto kufuatana na umaarufu aliofanya? Na hasa ni watoto wa kiume tu wanaotajwa sana. Kwa nini ung'ang'anie kwamba Adam na Hawa walizaa watoto wawili tu wakati Genesis 4: 25 inamtaja pia mtoto mwingine aliyekuwa akiitwa Seth? Kutajwa kwa watoto kunafuata tu umuhimu alioufanya mhusika.
Kwa mfano katika kutaja ukoo wa Yesu, Biblia inataja vizazi 14 kutoka Ibrahimu hadi Mfalme Daudi: Ibrahimu akamzaa Isaka; Izaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda; ...; Obed akamzaa, Jesse; Jesse akamzaa Mfalme Daudi. Kutoka Mfalme Daudi mpaka kuzaliwa Yesu Biblia inataja vizazi vingine 14: Daudi akamzaa Solomon; Solomon akamzaa Rehoboam; ...; Mathan akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yosefu aliyekuja kumposa Maria, Mama wa Yesu. Sasa kwa kuelewa kwako, kwa kuwa Biblia inasema fulani akamzaa fulani, kila mmoja wa hao 28 wanaotajwa alizaa mtoto mmoja tu? Hoja zako zikite kwenye ushahidi.
 
Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).

Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).

Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).

Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).

Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.

Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).

Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.

Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?

Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Hii hatari.
 
Jua kuzama kwenye matope , sijui walituchukuliaje vile.
 
Maandiko ya Kwenye Biblia Ni Bora tuyaache tu Kama yalivyo,maana hata ukianza kuuliza uliza kuhusu chimbuko la Mungu mwenyewe utaambiwa unakufuru.
 
Biblia ukisoma nusu nusu hutoelewa milele hasa neno lenye uchaji wa Mungu halieleweki kwa wote. Mfano kuna watu wa itelejinsia humu huwasiliana kwa maandishi haya na wengi wetu hatujui wala kuelewa chochote, note that.
Kama sio mcha Mungu sahau kuhusu kuelewa Neno LA Mungu.
So maandiko ni kwa ajili ya wacha Mungu tu?
 
Story ya Nuhu na Safina yake... familia moja itengeneze safina ya kutosha sample ya wanyama wawili-wawili wa kila species? Kwahio tuseme Nuhu aliingia na Tembo wanne.

Species zote za penguins wali survive vipi katika izo floods?

Nyangumi na dolphins je? Miti na mimea mingine ilisurvive vipi ihali ilikua submerged kwa muda wa siku 40...

Hivi unauelewa wa ecosystem?

Kwahio Nuhu alibeba kunguni wawili kwenye safina yake ehh? Na nzi wawili na mbu... ahh sawa.. [emoji88][emoji88]

Hii kitu ni 100% hakikutokea...
 
Story ya Yesu kuzaliwa Kwa nguvu za roho mtakatifu! Kwamba Roho Mtakatifu aliingia mean bikra Maria Kisha mimba ya Yesu ikatungwa. Kwa maneno menginne Maria hakukutana na mwanaune wakati anatunga mimba ya Yesu
 
Story ya Nuhu na Safina yake... familia moja itengeneze safina ya kutosha sample ya wanyama wawili-wawili wa kila species? Kwahio tuseme Nuhu aliingia na Tembo wanne.

Species zote za penguins wali survive vipi katika izo floods?

Nyangumi na dolphins je? Miti na mimea mingine ilisurvive vipi ihali ilikua submerged kwa muda wa siku 40...

Hivi unauelewa wa ecosystem?

Kwahio Nuhu alibeba kunguni wawili kwenye safina yake ehh? Na nzi wawili na mbu... ahh sawa.. [emoji88][emoji88]

Hii kitu ni 100% hakikutokea...
ili usolve hiyo paradox inabind utumie evolution theory,ambayo ina inainyima nguvu creation theory
 
Kuna yule baharia alitaka kusababisha wenzake wafe kwa meli wakamtupa baharini akamezwa na samaki siku 3 halafu akatemwa kule alipotakiwa kwenda ambapo alikuwa hataki na aliagizwa na Mungu..[emoji1787][emoji1787]

Haikutosha vipi kwa mose ati alitawanya bahari waisraeli wakapita!.. nilipopenda zaidi ati shetani alienda mbinguni kuongea na Mungu ili amjaribu yule msela aliepewa mapunye mwili mzima,utajiri wake ukapotea,familia yake ikafa! How can it be wengine wafe kisa kujaribiwa kwa mtu mmoja!![emoji3]

Vipi kuhusu Israel ati alipigana na malaika usiku kucha mwisho wa siku malaika akaamua amtengue nyonga yakobo..[emoji1787] jamani kama ni kupima uwezo Mungu si anajua uwezo wa kila mtu Sasa vipi kutumiana malaika waje tupigane nao ngwara..??[emoji23]

Tuachane na yote ati Adam na Eva walipokula tunda Mungu alipokuja akaanza kuwauliza ati nani kawaambia wapo uchi baada ya kula tunda!.. wakati huohuo tunaambiwa Mungu anayajua yote mwanzo Hadi mwisho sasa alikasirika nini na wakati alikuwa anajua kila kitu!
Alimuumba shetani huku akijua ya kuwa atakuja msaliti..[emoji1787] what a movie..??
Ww jamaa bado upo
 
Story ya Ester, bahati bukuku alitusimulia kupitia wimbo wake wa waraka,
Yaani kuanzia Wimbo unaanza unaweza kwenda sokoni kununua dagaa, unarudi unapika, unamalizia kusonga ugali ndio utasikia wimbo umefikia "ooh Ester aah kwa mahombi huku akisindikizwa na mioyo ya wayaudi" .


Du hapo tulipigwa.
Ahaaaaaa
 
Back
Top Bottom