gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Waliwapataje hao watumwa na walipatikana wapi?..waliouawa mapinduzi ni waarabu tu?Watu waliokuwa wakiwabeba Ndugu zetu kwenda kuwauza Uarabuni kwa miaka zaidi ya miambili.
Hiyo ni hatia kubwa sana.
Mapinduzi ya Zanzibar, yaliyofanyika Januari 12, 1964, kimsingi yaliongozwa na Afro-Shirazi Party (ASP) na Zanzibar Nationalist Party (ZNP), pamoja na kuungwa mkono na Tanganyika African National Union (TANU). Mapinduzi hayo yalichochewa kwa kiasi kikubwa na mivutano ya kikabila na kisiasa kati ya Waarabu na Waafrika huko Zanzibar, huku Waafrika walio wengi wakihisi kutengwa na serikali iliyotawaliwa na Waarabu. Wahusika wakuu nyuma ya mapinduzi ni pamoja na: 1. John Okello: Kiongozi wa Afro-Shirazi Party (ASP) na mmoja wa makamanda wakuu wa mapinduzi. Okello alikuwa mhusika mkuu katika kuandaa maasi na kuhamasisha uungwaji mkono kutoka kwa Waafrika walio wengi, hasa katika kisiwa cha Zanzibar. 2. Abeid Karume: Kiongozi wa Afro-Shirazi Party, ambaye baadaye alikua Rais wa kwanza wa Zanzibar baada ya mapinduzi. Ingawa hakuhusika moja kwa moja katika mapambano ya silaha, Karume alikuwa na nafasi kubwa ya kisiasa katika kipindi cha baada ya mapinduzi. 3. Serikali ya Tanzania: Serikali mpya iliyoundwa ya Tanganyika Bara, inayoongozwa na Julius Nyerere na chama chake, TANU, ilichukua jukumu muhimu katika kusaidia mapinduzi. Serikali ya Nyerere ilitoa msaada wa kijeshi na kusaidia katika uimarishaji wa madaraka baada ya mapinduzi. Mapinduzi hayo yalisababisha kupinduliwa kwa Sultani wa Zanzibar na serikali iliyotawaliwa na Waarabu, na kusababisha kuanzishwa kwa jamhuri yenye mwelekeo wa kijamaa. Ilifuatiwa na muungano wa Zanzibar na Tanganyika kuunda Jamhuri ya Tanzania mnamo Aprili 1964.Waliwapataje hao watumwa na walipatikana wapi?..waliouawa mapinduzi ni waarabu tu?
Wanabodi
Hii story ya Sultan wa Zanzibar kurejea Zanzibar
Ni fake news. Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni
Jana baada ya kuisoma na kuchangia, nilipandisha bandiko la maoni yangu.
Kaka yangu mmoja kutoka Zanzibar, Kaka Chale, akanipigia simu na kuniuliza the source, ni ya kuaminika?.
Ndipo nikampigia kaka yangu mwingine yuko Zanzibar, Kaka SSS, akacheki na Oman.
Hili ni jibu kutoka Oman
C&P
"
Hii ni jawabu la famila yake👇🏼
The article reflects fantasy and fiction and readers should be warned of its fake news content.
The former Sultan has absolutely no desire to return to Zanzibar where memories still linger of the atrocities committed by the murderous indigeneous mobs and outsiders.
To date the revolutionary government hasn't apologised to the families whom lost their loved ones on 12 January 1964. Instead the genocidal events are lavishly celebrated annually by the government of the Island of Zanzibar.
Justice will be served on Resurection Day and the perpetrators will receive their long overdue punishment for their role in the crimes against humanity." Mwisho wa kunukuu.
Asanteni sana kaka zangu Chale na SSS kuniwezesha kuupata ukweli huu.
Paskali
sultani wamedindaa na wanasubiri wanzazinari mkapigwe moto siku ya kihama..mtajua hamjui umeshachongewa kwa mtume huko mmekataa utumwa.Wanabodi
Hii story ya Sultan wa Zanzibar kurejea Zanzibar
Ni fake news. Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni
Jana baada ya kuisoma na kuchangia, nilipandisha bandiko la maoni yangu.
Kaka yangu mmoja kutoka Zanzibar, Kaka Chale, akanipigia simu na kuniuliza the source, ni ya kuaminika?.
Ndipo nikampigia kaka yangu mwingine yuko Zanzibar, Kaka SSS, akacheki na Oman.
Hili ni jibu kutoka Oman
C&P
"
Hii ni jawabu la famila yake👇🏼
The article reflects fantasy and fiction and readers should be warned of its fake news content.
The former Sultan has absolutely no desire to return to Zanzibar where memories still linger of the atrocities committed by the murderous indigeneous mobs and outsiders.
To date the revolutionary government hasn't apologised to the families whom lost their loved ones on 12 January 1964. Instead the genocidal events are lavishly celebrated annually by the government of the Island of Zanzibar.
Justice will be served on Resurection Day and the perpetrators will receive their long overdue punishment for their role in the crimes against humanity." Mwisho wa kunukuu.
Asanteni sana kaka zangu Chale na SSS kuniwezesha kuupata ukweli huu.
Paskali
Serikali haikuwa ya waarabu bali mndengereko mohammed shamte aliyeshinda uchaguzi 1963,asp ilishindwa uchaguzi,chini ya siku mia baadae, mapinduzi yakafanyika,hao walikandamizwa na kutengwa ndani ya siku mia?!Mapinduzi ya Zanzibar, yaliyofanyika Januari 12, 1964, kimsingi yaliongozwa na Afro-Shirazi Party (ASP) na Zanzibar Nationalist Party (ZNP), pamoja na kuungwa mkono na Tanganyika African National Union (TANU). Mapinduzi hayo yalichochewa kwa kiasi kikubwa na mivutano ya kikabila na kisiasa kati ya Waarabu na Waafrika huko Zanzibar, huku Waafrika walio wengi wakihisi kutengwa na serikali iliyotawaliwa na Waarabu. Wahusika wakuu nyuma ya mapinduzi ni pamoja na: 1. John Okello: Kiongozi wa Afro-Shirazi Party (ASP) na mmoja wa makamanda wakuu wa mapinduzi. Okello alikuwa mhusika mkuu katika kuandaa maasi na kuhamasisha uungwaji mkono kutoka kwa Waafrika walio wengi, hasa katika kisiwa cha Zanzibar. 2. Abeid Karume: Kiongozi wa Afro-Shirazi Party, ambaye baadaye alikua Rais wa kwanza wa Zanzibar baada ya mapinduzi. Ingawa hakuhusika moja kwa moja katika mapambano ya silaha, Karume alikuwa na nafasi kubwa ya kisiasa katika kipindi cha baada ya mapinduzi. 3. Serikali ya Tanzania: Serikali mpya iliyoundwa ya Tanganyika Bara, inayoongozwa na Julius Nyerere na chama chake, TANU, ilichukua jukumu muhimu katika kusaidia mapinduzi. Serikali ya Nyerere ilitoa msaada wa kijeshi na kusaidia katika uimarishaji wa madaraka baada ya mapinduzi. Mapinduzi hayo yalisababisha kupinduliwa kwa Sultani wa Zanzibar na serikali iliyotawaliwa na Waarabu, na kusababisha kuanzishwa kwa jamhuri yenye mwelekeo wa kijamaa. Ilifuatiwa na muungano wa Zanzibar na Tanganyika kuunda Jamhuri ya Tanzania mnamo Aprili 1964.
Huyo ni Waziri tu Sultani alikuwa Mwarabu.Serikali haikuwa ya waarabu bali mndengereko mohammed shamte aliyeshinda uchaguzi 1963,asp ilishindwa uchaguzi,chini ya siku mia baadae, mapinduzi yakafanyika,hao walikandamizwa na kutengwa ndani ya siku mia?!
Hahaha watumwa wake ndio wanamsamehe?TAMKO LA RAIS DKT. SALMIN AMOUR mwaka 2000
“Kwa moyo wa ustaarabu na maridhiano, ninayo furaha kutangaza kuwa nimetoa msamaha kwa Mfalme (Sultani) Jamshid bin Abdallah bin Khalfan, ambaye aliikimbia nchi baada ya mapinduzi,” rais Dr. Salmin Amour alisema katika hotuba yake ya kuadhimisha miaka 36 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
"Yuko huru kurejea nyumbani - si kama mfalme, lakini raia wa kawaida - na serikali iko tayari kumsaidia kutulia," rais wa SMZ mheshimiwa Dkt. Salmin Amour alisema.
Sultani Jamshid ambaye sasa ana umri wa miaka 69, aliitawala Zanzibar kwa takriban miezi sita kabla ya kung’olewa madarakani Januari 12, 1964. Alirithi kiti cha enzi kutoka kwa baba yake Sultani Ahmed bin Abdallah bin Said, ambaye alifariki dunia baada ya kutawala kwa miaka mitatu.
TOKA MAKTABA :
kumsalimia na kumjulia hali yake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Salmin Amour Juma, baada ya kumaliza mazungumzo alipofika nyumbani kwake Migombani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar kwa ajili ya kumsalimia na kumjulia hali yake.(Picha na Ikulu)
Nchi ilikuwa ya waarabu, huo uchaguzi ulikuwa batili. Hawakupaswa kujimilikisha ardhi isiyokuwa yao.Serikali haikuwa ya waarabu bali mndengereko mohammed shamte aliyeshinda uchaguzi 1963,asp ilishindwa uchaguzi,chini ya siku mia baadae, mapinduzi yakafanyika,hao walikandamizwa na kutengwa ndani ya siku mia?!
kaka this,kaka that,kaka kaka kaka kakaa....Wanabodi
Hii story ya Sultan wa Zanzibar kurejea Zanzibar
Ni fake news. Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni
Jana baada ya kuisoma na kuchangia, nilipandisha bandiko la maoni yangu.
Kaka yangu mmoja kutoka Zanzibar, Kaka Chale, akanipigia simu na kuniuliza the source, ni ya kuaminika?.
Ndipo nikampigia kaka yangu mwingine yuko Zanzibar, Kaka SSS, akacheki na Oman.
Hili ni jibu kutoka Oman
C&P
"
Hii ni jawabu la famila yake👇🏼
The article reflects fantasy and fiction and readers should be warned of its fake news content.
The former Sultan has absolutely no desire to return to Zanzibar where memories still linger of the atrocities committed by the murderous indigeneous mobs and outsiders.
To date the revolutionary government hasn't apologised to the families whom lost their loved ones on 12 January 1964. Instead the genocidal events are lavishly celebrated annually by the government of the Island of Zanzibar.
Justice will be served on Resurection Day and the perpetrators will receive their long overdue punishment for their role in the crimes against humanity." Mwisho wa kunukuu.
Asanteni sana kaka zangu Chale na SSS kuniwezesha kuupata ukweli huu.
Paskali
Mfumo wao ulikua kama uingereza,nani serikali uingereza Kati ya mfalme na waziri mkuu?..na sultan alikua na miezi mitatu kwenye kiti chake,aliwakandamiza lini!?Huyo ni Waziri tu Sultani alikuwa Mwarabu.
Tangu Mungu amchukue JPM na Rais akawa Samia kuna chuki na nongwa imezaliwa huku bara.Phew! Mapinduzi matukifu yako salama. Nilitaka kushangaa hizi habari za Sultani kukanyaka Zanzibar.
Uingereza ni Mzungu anamtawala Mzungu mwenzake.Mfumo wao ulikua kama uingereza
Lissu angetaja hata Kitabu sio hivi vya Mohammed Said ambaye anavutia upande mmoja kama mwamba ngozi.
Kuna ubaya gani wa kutaja source zako, unazitaja tu, hebu angalia njama za kupigwa risasi na kuuwawa Raisi Kennedy wa US kuna vitabu vingi sana vinavyoliongelea lile tukio,na sio vyote vinavyoongea ukweli.
Au hata unaweza kusema source yangu ni kitabu cha Yericko Nyerere halafu sisi tutasema Yericko?! Huyu huyu mbabaishaji?! Hatutoamini Story zako.tunataka Source zenye kuaminika.
Sio kama Lissu hawezi kuingizwa cha kike na kulishwa Matango Pori.Hiyo source amabyo unaiona wewe ni tatizo kwako Lissu alijiridhisha nayo na ndio akaiamini
Huyo ni Waziri tu Sultani alikuwa Mwarabu.
Na Mimi binafsi nashukuru kwa taarifa hii muhimu ya ukweli. Nikipitia majibu naona bado Kuna "bifu" kubwa kati ya wanamapinduzi na familia ya Sultan!!! Hivi atrocities kule Zanzibar ilitokea tu 12 January 1964 tu huko siku za awali wakati wa Utumwa hakukuwa na atrocities, au hizo atrocities za wakati wa Utumwa hazitatazamwa wakati wa Judgement Day!? Ukipata wasaa Mkuu penyeza swali hili kutoka kwa Chale na SSS walifikishe kwa wahusika!!!Asanteni sana kaka zangu Chale na SSS kuniwezesha kuupata ukweli huu.
Sio mimi ni Waarabu wenyewe ndio wabaguzi kwahiyo sijui na wao unawasaidia nini?Mkuu ubaguzi unakusaidia nini?
Sio mimi ni Waarabu wenyewe ndio wabaguzi kwahiyo sijui na wao unawasaidia nini?