Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli

Story ya kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News! JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale kuniwezesha kuupata ukweli

Waliwapataje hao watumwa na walipatikana wapi?..waliouawa mapinduzi ni waarabu tu?
Mapinduzi ya Zanzibar, yaliyofanyika Januari 12, 1964, kimsingi yaliongozwa na Afro-Shirazi Party (ASP) na Zanzibar Nationalist Party (ZNP), pamoja na kuungwa mkono na Tanganyika African National Union (TANU). Mapinduzi hayo yalichochewa kwa kiasi kikubwa na mivutano ya kikabila na kisiasa kati ya Waarabu na Waafrika huko Zanzibar, huku Waafrika walio wengi wakihisi kutengwa na serikali iliyotawaliwa na Waarabu. Wahusika wakuu nyuma ya mapinduzi ni pamoja na: 1. John Okello: Kiongozi wa Afro-Shirazi Party (ASP) na mmoja wa makamanda wakuu wa mapinduzi. Okello alikuwa mhusika mkuu katika kuandaa maasi na kuhamasisha uungwaji mkono kutoka kwa Waafrika walio wengi, hasa katika kisiwa cha Zanzibar. 2. Abeid Karume: Kiongozi wa Afro-Shirazi Party, ambaye baadaye alikua Rais wa kwanza wa Zanzibar baada ya mapinduzi. Ingawa hakuhusika moja kwa moja katika mapambano ya silaha, Karume alikuwa na nafasi kubwa ya kisiasa katika kipindi cha baada ya mapinduzi. 3. Serikali ya Tanzania: Serikali mpya iliyoundwa ya Tanganyika Bara, inayoongozwa na Julius Nyerere na chama chake, TANU, ilichukua jukumu muhimu katika kusaidia mapinduzi. Serikali ya Nyerere ilitoa msaada wa kijeshi na kusaidia katika uimarishaji wa madaraka baada ya mapinduzi. Mapinduzi hayo yalisababisha kupinduliwa kwa Sultani wa Zanzibar na serikali iliyotawaliwa na Waarabu, na kusababisha kuanzishwa kwa jamhuri yenye mwelekeo wa kijamaa. Ilifuatiwa na muungano wa Zanzibar na Tanganyika kuunda Jamhuri ya Tanzania mnamo Aprili 1964.
 
Wanabodi
Hii story ya Sultan wa Zanzibar kurejea Zanzibar
Ni fake news. Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Jana baada ya kuisoma na kuchangia, nilipandisha bandiko la maoni yangu.

Kaka yangu mmoja kutoka Zanzibar, Kaka Chale, akanipigia simu na kuniuliza the source, ni ya kuaminika?.

Ndipo nikampigia kaka yangu mwingine yuko Zanzibar, Kaka SSS, akacheki na Oman.

Hili ni jibu kutoka Oman
C&P
"
Hii ni jawabu la famila yake👇🏼

The article reflects fantasy and fiction and readers should be warned of its fake news content.

The former Sultan has absolutely no desire to return to Zanzibar where memories still linger of the atrocities committed by the murderous indigeneous mobs and outsiders.

To date the revolutionary government hasn't apologised to the families whom lost their loved ones on 12 January 1964. Instead the genocidal events are lavishly celebrated annually by the government of the Island of Zanzibar.

Justice will be served on Resurection Day and the perpetrators will receive their long overdue punishment for their role in the crimes against humanity." Mwisho wa kunukuu.

Asanteni sana kaka zangu Chale na SSS kuniwezesha kuupata ukweli huu.

Paskali

Huku kwetu tumefundishwa kuwa ni Mapinduzi Matukufu. Kumbe kuna watu wanayaona kitofauti hivyo....!?
 
Wanabodi
Hii story ya Sultan wa Zanzibar kurejea Zanzibar
Ni fake news. Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Jana baada ya kuisoma na kuchangia, nilipandisha bandiko la maoni yangu.

Kaka yangu mmoja kutoka Zanzibar, Kaka Chale, akanipigia simu na kuniuliza the source, ni ya kuaminika?.

Ndipo nikampigia kaka yangu mwingine yuko Zanzibar, Kaka SSS, akacheki na Oman.

Hili ni jibu kutoka Oman
C&P
"
Hii ni jawabu la famila yake👇🏼

The article reflects fantasy and fiction and readers should be warned of its fake news content.

The former Sultan has absolutely no desire to return to Zanzibar where memories still linger of the atrocities committed by the murderous indigeneous mobs and outsiders.

To date the revolutionary government hasn't apologised to the families whom lost their loved ones on 12 January 1964. Instead the genocidal events are lavishly celebrated annually by the government of the Island of Zanzibar.

Justice will be served on Resurection Day and the perpetrators will receive their long overdue punishment for their role in the crimes against humanity." Mwisho wa kunukuu.

Asanteni sana kaka zangu Chale na SSS kuniwezesha kuupata ukweli huu.

Paskali
sultani wamedindaa na wanasubiri wanzazinari mkapigwe moto siku ya kihama..mtajua hamjui umeshachongewa kwa mtume huko mmekataa utumwa.
 
Mapinduzi ya Zanzibar, yaliyofanyika Januari 12, 1964, kimsingi yaliongozwa na Afro-Shirazi Party (ASP) na Zanzibar Nationalist Party (ZNP), pamoja na kuungwa mkono na Tanganyika African National Union (TANU). Mapinduzi hayo yalichochewa kwa kiasi kikubwa na mivutano ya kikabila na kisiasa kati ya Waarabu na Waafrika huko Zanzibar, huku Waafrika walio wengi wakihisi kutengwa na serikali iliyotawaliwa na Waarabu. Wahusika wakuu nyuma ya mapinduzi ni pamoja na: 1. John Okello: Kiongozi wa Afro-Shirazi Party (ASP) na mmoja wa makamanda wakuu wa mapinduzi. Okello alikuwa mhusika mkuu katika kuandaa maasi na kuhamasisha uungwaji mkono kutoka kwa Waafrika walio wengi, hasa katika kisiwa cha Zanzibar. 2. Abeid Karume: Kiongozi wa Afro-Shirazi Party, ambaye baadaye alikua Rais wa kwanza wa Zanzibar baada ya mapinduzi. Ingawa hakuhusika moja kwa moja katika mapambano ya silaha, Karume alikuwa na nafasi kubwa ya kisiasa katika kipindi cha baada ya mapinduzi. 3. Serikali ya Tanzania: Serikali mpya iliyoundwa ya Tanganyika Bara, inayoongozwa na Julius Nyerere na chama chake, TANU, ilichukua jukumu muhimu katika kusaidia mapinduzi. Serikali ya Nyerere ilitoa msaada wa kijeshi na kusaidia katika uimarishaji wa madaraka baada ya mapinduzi. Mapinduzi hayo yalisababisha kupinduliwa kwa Sultani wa Zanzibar na serikali iliyotawaliwa na Waarabu, na kusababisha kuanzishwa kwa jamhuri yenye mwelekeo wa kijamaa. Ilifuatiwa na muungano wa Zanzibar na Tanganyika kuunda Jamhuri ya Tanzania mnamo Aprili 1964.
Serikali haikuwa ya waarabu bali mndengereko mohammed shamte aliyeshinda uchaguzi 1963,asp ilishindwa uchaguzi,chini ya siku mia baadae, mapinduzi yakafanyika,hao walikandamizwa na kutengwa ndani ya siku mia?!
 
Serikali haikuwa ya waarabu bali mndengereko mohammed shamte aliyeshinda uchaguzi 1963,asp ilishindwa uchaguzi,chini ya siku mia baadae, mapinduzi yakafanyika,hao walikandamizwa na kutengwa ndani ya siku mia?!
Huyo ni Waziri tu Sultani alikuwa Mwarabu.
 
TAMKO LA RAIS DKT. SALMIN AMOUR mwaka 2000

“Kwa moyo wa ustaarabu na maridhiano, ninayo furaha kutangaza kuwa nimetoa msamaha kwa Mfalme (Sultani) Jamshid bin Abdallah bin Khalfan, ambaye aliikimbia nchi baada ya mapinduzi,” rais Dr. Salmin Amour alisema katika hotuba yake ya kuadhimisha miaka 36 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

"Yuko huru kurejea nyumbani - si kama mfalme, lakini raia wa kawaida - na serikali iko tayari kumsaidia kutulia," rais wa SMZ mheshimiwa Dkt. Salmin Amour alisema.

Sultani Jamshid ambaye sasa ana umri wa miaka 69, aliitawala Zanzibar kwa takriban miezi sita kabla ya kung’olewa madarakani Januari 12, 1964. Alirithi kiti cha enzi kutoka kwa baba yake Sultani Ahmed bin Abdallah bin Said, ambaye alifariki dunia baada ya kutawala kwa miaka mitatu.

TOKA MAKTABA :

kumsalimia na kumjulia hali yake.



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Salmin Amour Juma, baada ya kumaliza mazungumzo alipofika nyumbani kwake Migombani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar kwa ajili ya kumsalimia na kumjulia hali yake.(Picha na Ikulu)
Hahaha watumwa wake ndio wanamsamehe?

Mi nilidhani kwa sababu wanamuita Sultan nikadhani bado anawamiriki, na ujio wake tuliokuwa tumeambiwa, ambao ni fake kwa mujibu wa Pascal Mayala nikajua anakuja kuamua, ama awarudishe watumwa wake aliko watoa na achukuwe visiwa vyake au auze baadhi na abaki na wachache ili aweze kuwahudumia vizuri.

Watumwa hawana haki miliki ya visiwa vya zanzibar. Sultani ndiye mmiliki halali.
 
Serikali haikuwa ya waarabu bali mndengereko mohammed shamte aliyeshinda uchaguzi 1963,asp ilishindwa uchaguzi,chini ya siku mia baadae, mapinduzi yakafanyika,hao walikandamizwa na kutengwa ndani ya siku mia?!
Nchi ilikuwa ya waarabu, huo uchaguzi ulikuwa batili. Hawakupaswa kujimilikisha ardhi isiyokuwa yao.

Ardhi ilikuwa ya Sultan na hajawapa mpaka leo.

Wao walimpindua mwenye nyumba wakajimilikisha nyumba.

Sisi ardhi ya Tanganyika Nyerere alikabidhiwa kwa niaba yetu.
 
Wanabodi
Hii story ya Sultan wa Zanzibar kurejea Zanzibar
Ni fake news. Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Jana baada ya kuisoma na kuchangia, nilipandisha bandiko la maoni yangu.

Kaka yangu mmoja kutoka Zanzibar, Kaka Chale, akanipigia simu na kuniuliza the source, ni ya kuaminika?.

Ndipo nikampigia kaka yangu mwingine yuko Zanzibar, Kaka SSS, akacheki na Oman.

Hili ni jibu kutoka Oman
C&P
"
Hii ni jawabu la famila yake👇🏼

The article reflects fantasy and fiction and readers should be warned of its fake news content.

The former Sultan has absolutely no desire to return to Zanzibar where memories still linger of the atrocities committed by the murderous indigeneous mobs and outsiders.

To date the revolutionary government hasn't apologised to the families whom lost their loved ones on 12 January 1964. Instead the genocidal events are lavishly celebrated annually by the government of the Island of Zanzibar.

Justice will be served on Resurection Day and the perpetrators will receive their long overdue punishment for their role in the crimes against humanity." Mwisho wa kunukuu.

Asanteni sana kaka zangu Chale na SSS kuniwezesha kuupata ukweli huu.

Paskali
kaka this,kaka that,kaka kaka kaka kakaa....

motherfvker are you gay?

You kaka people too much motherfvcker....
 
Phew! Mapinduzi matukifu yako salama. Nilitaka kushangaa hizi habari za Sultani kukanyaka Zanzibar.
Tangu Mungu amchukue JPM na Rais akawa Samia kuna chuki na nongwa imezaliwa huku bara.

Samia anaweza kufanya mema kumi na baya moja lakini hilo baya litaongelewa na kupewa kipaumbele kama vile hayo mema sio lolote.

Kuna chuki ya kijinga inakuzwa miongoni mwetu lakini Mungu ni zaidi ya ubaya wowote wa binadamu.
 
Mfumo wao ulikua kama uingereza
Uingereza ni Mzungu anamtawala Mzungu mwenzake.

Iweje Sultani Mwarabu awatawale Waafrika wakati Waarabu hawawezi kukubali kutawaliwa na Sultani wa Kiafrika huko Uarabuni.

Wakuwaiti walimkataa wazi wazi Mwarabu mwenzao aliyekuwa amezaliwa na Kijakazi wa Kihabeshi kwasababu ni Mweusi.

Nendeni mkatawale Oman,Afrika hatujitaji Usultani tunataka zibaki Jamhuri tupu.
 
Lissu angetaja hata Kitabu sio hivi vya Mohammed Said ambaye anavutia upande mmoja kama mwamba ngozi.

Kuna ubaya gani wa kutaja source zako, unazitaja tu, hebu angalia njama za kupigwa risasi na kuuwawa Raisi Kennedy wa US kuna vitabu vingi sana vinavyoliongelea lile tukio,na sio vyote vinavyoongea ukweli.

Au hata unaweza kusema source yangu ni kitabu cha Yericko Nyerere halafu sisi tutasema Yericko?! Huyu huyu mbabaishaji?! Hatutoamini Story zako.tunataka Source zenye kuaminika.

Hiyo source amabyo unaiona wewe ni tatizo kwako Lissu alijiridhisha nayo na ndio akaiamini
 
Asanteni sana kaka zangu Chale na SSS kuniwezesha kuupata ukweli huu.
Na Mimi binafsi nashukuru kwa taarifa hii muhimu ya ukweli. Nikipitia majibu naona bado Kuna "bifu" kubwa kati ya wanamapinduzi na familia ya Sultan!!! Hivi atrocities kule Zanzibar ilitokea tu 12 January 1964 tu huko siku za awali wakati wa Utumwa hakukuwa na atrocities, au hizo atrocities za wakati wa Utumwa hazitatazamwa wakati wa Judgement Day!? Ukipata wasaa Mkuu penyeza swali hili kutoka kwa Chale na SSS walifikishe kwa wahusika!!!
 
Mkuu ubaguzi unakusaidia nini?
Sio mimi ni Waarabu wenyewe ndio wabaguzi kwahiyo sijui na wao unawasaidia nini?

Hivi unafikiri Saudia watakubali Sultani wa Kiafrika si wataenda na majambia hadi kwenye kasri ya Sultani na kumuondoa "Al Abidi" huyo na huenda hata wasingemuua bali wangempa kazi ya kuosha magari na kumwagilia Bustani za Ikulu.
 
Maadamu bado kuna Baraza la Mapinduzi basi ina maana bado kitisho kipo na kuyalinda hayo Mapinduzi ni lazima. Sasa kivipi aliyepinduliwa arudi ilihali waliomtimua bado wapo ngangari?

Nilishangaa hii taarifa na nikauliza akija atatambulishwaje, kama Sultani Jamshid au kama Bwana Jamshid
 
Back
Top Bottom