Straight Talk: Mwanaume toa ushauri wa moja kwa moja kwa mwanamke kuhusu jambo lolote lile

Straight Talk: Mwanaume toa ushauri wa moja kwa moja kwa mwanamke kuhusu jambo lolote lile

Nawaombea Mema, kikubwa wapate mahitaji ya mioyo yao na waridhike...

kauli hii imejaa uungwana wa kipekee sana kutoka kwa binadamu wachache sana walojaaliwa Moyo wa subra na ustahimilivu wa kutosha.
Wengi hulaani na kutaka kuona hawafanikiwi wapaukiane ila sioni hiyo sababu ya kuomba hivyo kwa kuwa kila mtu ana haki ya kupenda na kuufuata moyo wake.

Mimi huwa naamua kujiweka mbali kimya nisitake kujua lolote limhusulo lakini wao hawaachi kunitafuta tafuta.

Huwa sipendi kuwa kero kwenye maisha ya mtu kwa namna yeyote ile.
 
Uhalisia wa 50/50 ni ndoto ya mlevi ila 50/50 wataiweza tu kwa mchango wa malezi na huduma kwa familia ila sii kwa fikra walizo nazo hii leo.
• Cha Mwanaume ni mali ya familia, cha mwanamke ni mali ya mwanamke.

• hiyo 50/50 bado inaukakasi ndani yake, ikitokea Mwanaume amekosa/kufukuzwa kazi ndo utajua kuwa, hii 50/50 au 50/kwa mateso ndani ya nyumba.
 
Wengi hulaani na kutaka kuona hawafanikiwi wapaukiane ila sioni hiyo sababu ya kuomba hivyo kwa kuwa kila mtu ana haki ya kupenda na kuufuata moyo wake.

Mimi huwa naamua kujiweka mbali kimya nisitake kujua lolote limhusulo lakini wao hawaachi kunitafuta tafuta.

Huwa sipendi kuwa kero kwenye maisha ya mtu kwa namna yeyote ile.
Ivo yaan
 
• 🤒🤒, kwa hiyo tuseme haya mambo yanaazia kwenye uleaji mtoto/watoto?,
• kama ndo hivyo basi yawezekana hata baadhi ya ndoa zinashindwa kudumu kwa sababu tayari amesharibika toka mwanzo.
Kujiendekeza na kuona anachofanya kiko sahihi, kuna watu wanalelewa mazingira ya vilabuni, Mama zao wapika pombe lakini wakiwa watu wazima wanaishi maisha tofauti na yale.!! Ni kuamua na kuchagua uwe nani??
 
Habari WanaJamiiforums, Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝, Imekuwa kawaida Wanawake kulalamika kwamba wanaume hawaangalii wala kutilia mkazo kikamilifu kuhusu shida zao. Lakini ukweli ni kwamba kuna mambo ambayo wanaume nao wanatamani wanawake wajue baadhi ya mambo:-

|-• Wanaume wengi wanatamani, wanawake wao waelewe umuhimu wa mawasiliano ya wazi na kuheshimiana, kuwa na kusudi/lengo la pamoja, kusaidiana katika kujenga maisha. Pia, kuwa na nafasi ya kujitambua kibinafsi na kudumisha uhuru ndani ya uhusiano.

||-• Na kama watafanya uhusiano wao au ndoa yao itakuwa bora na wanaume wao watawatendea vizuri zaidi, watafanya kazi kwa pamoja ili kuboresha mawasiliano, kuelewa mahitaji ya mwenza, na kushiriki katika hali ya furaha na changamoto kwa pamoja,

|||-• Wanaume toa Ushauri Kwa wanawake juu ya kitu chochote ungetamani wanawake wajue.
Utamaduni wa kiafrika una fanya mahusiano mengi sana kufa sababu ya jinsia ya wanawake wao wanadhani mwanaume ndiyo kila kitu, hela ya bills, chakula kila kitu ni mwanaume, mwanamke yeye kazi yake ni moja tuu, Tendo la ndoa na kuzaa which kwa dunia ya sasa ni ngumu mnooo. Dunia ya sasa ni kusaidiana linapokuja suala la uchumi. Ni wazo tuu lakini
 
Wengi hulaani na kutaka kuona hawafanikiwi wapaukiane ila sioni hiyo sababu ya kuomba hivyo kwa kuwa kila mtu ana haki ya kupenda na kuufuata moyo wake.

Mimi huwa naamua kujiweka mbali kimya nisitake kujua lolote limhusulo lakini wao hawaachi kunitafuta tafuta.

Huwa sipendi kuwa kero kwenye maisha ya mtu kwa namna yeyote ile.


Wengi hulaani na kutaka kuona hawafanikiwi wapaukiane ila sioni hiyo sababu ya kuomba hivyo kwa kuwa kila mtu ana haki ya kupenda na kuufuata moyo wake.
Hii hutokea pale mnapoachana kwa ugomvi wa hali juu, na ndo maana wengi huenda mbali zaidi hadi kurogana au kusababisha vifo. Watu wa aina hii, hawawezi kuombeana mema hata siku moja.
 
Kujiendekeza na kuona anachofanya kiko sahihi, kuna watu wanalelewa mazingira ya vilabuni, Mama zao wapika pombe lakini wakiwa watu wazima wanaishi maisha tofauti na yale.!! Ni kuamua na kuchagua uwe nani??
Kweli life is active force, ukicheza vibaya kidogo tu, tayari unaonekana kituko mtaani. Maana hakuna mtu atakaye kuona wa maana ukisha jihusisha hayo mambo.
 
Utamaduni wa kiafrika una fanya mahusiano mengi sana kufa sababu ya jinsia ya wanawake wao wanadhani mwanaume ndiyo kila kitu, hela ya bills, chakula kila kitu ni mwanaume, mwanamke yeye kazi yake ni moja tuu, Tendo la ndoa na kuzaa which kwa dunia ya sasa ni ngumu mnooo. Dunia ya sasa ni kusaidiana linapokuja suala la uchumi. Ni wazo tuu lakini
Upo sahihi mkuu, lakini wanawake wametofautiana, utakuta mwanamke mwingine hana kazi yeyote ile ni mama wa nyumbani tu, lakini anatoa support kwa mwenzie kwa kazi anayo ifanya bila kujali kipato wanacho ingiza,

Ila kuna wanawake ambao kazi yao ni kushusha maendeleo ndani ya famila, vicoba yupo, michezo yupo, michepuko yupo, sasa mwanamke wa namna hii lazima maisha yawe magumu tu, either kwa kuleta mikosi ndani ya nyumba au kutokuelewana ndani ya familia.
 
A. Kama mtu hajakukosea au kukuvunjia heshima usimuongeleshe au kumjibu vibaya.
B. Mwanamke ukiwa kwenye taratibu za kuolewa acha mazoea ya kuwasiliana na wanaume hasa ma ex itakugharimu na hawatokuwa na faida yeyote nawewe.
C. Mheshimu, mpende na kumjali mumeo bila kusahau kumuombea , usimloge.
Umeoa au unamkee??
 
Back
Top Bottom