Hawajui kila binadam ana vitu mwake mwenyewe hata kama ni mapacha.Hili ni tabia ya kila mwanamke, na wengine hufika mbali zaidi, huoni mwenzio chakubanga alivyo.......?, bila kujua kwamba inaweza athiri kiasi fulani kwa mwenza wake.
Ok nilijua ni ke sorry for disturbing youMimi ni me, mkuu
Kweli kabisa, binafsi najilaumu sana ujana wangu wote kuupoteza nikijafanya Mr Nice guy wakati sijawahi kutoa bikra ya demu yeyote, huwa some time najiuliza hivi kujifanya nice guy ni laana au nini, maana wahuni wote ndio waliofanikiwa kunyakuwa bikra za watoto wazuri wakati hawakuwa na mbele wala nyuma.[emoji16][emoji16], Hilo hijilaumu pale wakisha pigwa na kitu kizito kichwani.. Wanawake wengi virgin zimetolewa na walugaluga.
Nifate.usitume nauliUkitumiwa nauli...nenda
SawaA. Kama mtu hajakukosea au kukuvunjia heshima usimuongeleshe au kumjibu vibaya.
B. Mwanamke ukiwa kwenye taratibu za kuolewa acha mazoea ya kuwasiliana na wanaume hasa ma ex itakugharimu na hawatokuwa na faida yeyote nawewe.
C. Mheshimu, mpende na kumjali mumeo bila kusahau kumuombea , usimloge.
Sawa.ila kumbuka mwanaume ni majukumuMwanamke kwny mahusiano yako,
Jitahidi uwe na cha kuoffer Zaid ya tendo la ndoa
Sawawaache kuvaa mawigi
Hatutaki.labda tuombe mtajiUshauri wangu waendelee kuomba pesa , ili kutupa motisha tupambane zaidi , japo milio itakua mingi wasirudi nyuma wakazie apo apo.
Sawa .ila muwe na shukrani basi mkishasimama1. Tendo la ndoa/ngono vina umri , baada ya muda hivyo hua sio vipaumbele Kwa mwanaume (ukiona kaanza kpunguza Hilo Jua kaanza kukua)
2. Nakazia mwanamke kuwa na kitu Cha ziada Kwa mumewe zaidi ya ngono/tendo la ndoa na kama huna hakikisha unasapot movement zake zote in a positive way.
β’ π¬π¬, pole sana mkuu, ingawa utoaji wa bikra ni shughuli kidogo,,Kweli kabisa, binafsi najilaumu sana ujana wangu wote kuupoteza nikijafanya Mr Nice guy wakati sijawahi kutoa bikra ya demu yeyote, huwa some time najiuliza hivi kujifanya nice guy ni laana au nini, maana wahuni wote ndio waliofanikiwa kunyakuwa bikra za watoto wazuri wakati hawakuwa na mbele wala nyuma.
Hapo inabidi heshima iwepo, ila chakushangaza, baadhi ya wanawake huwa hawalioni hili suala, kisha wanaendelea kufanya maigizo kwenye ndoa.Mwanamke mweshimu na mtunze sana mwanaume anayekupa hela na kuamua kuyabeba majukumu ya wazazi wako
ππ kwani mtaji sio pesaHatutaki.labda tuombe mtaji
Fala wewe ahaaaMwanamke usiwe na mwanaume mmoja atakunyanyasa sanaa
SawaWanawake tafuteni hela muache kuwa matapeli