Stress Free Zone

Stress Free Zone

Fakalava ni mshikaji wangu mpaka leo huwa hakati tamaa na mm jamaan namkubali sana angekuwa mwanaume mwingine angeninua na kuninua ninavyomjibu lakini yeye ni tofauti bado ni rafiki siku hizi amepotea jf huwa namuona siku moja moja sana
Ah ah ah ah ah Daaaaahh Huyu Kiumbe Nakumbuka Kipindi Kile Na Safar Na Shunie Kuja Kigambon Beach Nikikumbuka Nafurai Sana Aitheee
 
Fakalava ni mshikaji wangu mpaka leo huwa hakati tamaa na mm jamaan namkubali sana angekuwa mwanaume mwingine angeninua na kuninua ninavyomjibu lakini yeye ni tofauti bado ni rafiki siku hizi amepotea jf huwa namuona siku moja moja sana
Kweli nimepotea ila weekend kama hivi napata walau nafasi kidogo, na mida yenyewe ni kama hii. How are you doing my dear friend?
 
Shida Mama Angu Kipindi Kile kulikuwa Na Watu wanakusumbua Sumbua Kias Kwamba Nikasema Acha Tuuu Niwaache

Mf : Fakalava
Sijawahi kumsumbua Shunie, Shunie nimetoka naye mbali hasa kwenye story ya Peniela, ambayo ni story pekee hapa Jf niliifatilia mwanzo mpaka mwisho. Baada ya hapo nikawa mwalimu wake kwa mambo kadha wa kadha, sina kawaida ya kusumbua wala kukera watu.
 
Sijawahi kumsumbua Shunie, Shunie nimetoka naye mbali hasa kwenye story ya Peniela, ambayo ni story pekee hapa Jf niliifatilia mwanzo mpaka mwisho. Baada ya hapo nikawa mwalimu wake kwa mambo kadha wa kadha, sina kawaida ya kusumbua wala kukera watu.
Mi Sikuit Fakalava

Mwl Wa Shunie
 
Back
Top Bottom