Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Wengine sio waelewaKwangu Ni Ushamba Tuu Kama Mtu Amekukataa Si Bora Ukae Kimya Tuu Kuliko Kuanikana Kishamba Shamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine sio waelewaKwangu Ni Ushamba Tuu Kama Mtu Amekukataa Si Bora Ukae Kimya Tuu Kuliko Kuanikana Kishamba Shamba
Ah ah ah ah ah Daaaaahh Huyu Kiumbe Nakumbuka Kipindi Kile Na Safar Na Shunie Kuja Kigambon Beach Nikikumbuka Nafurai Sana AitheeeFakalava ni mshikaji wangu mpaka leo huwa hakati tamaa na mm jamaan namkubali sana angekuwa mwanaume mwingine angeninua na kuninua ninavyomjibu lakini yeye ni tofauti bado ni rafiki siku hizi amepotea jf huwa namuona siku moja moja sana
Kwani Bado Unaifikilia Safar Ya Kigambon BeachAhahahhh me nilikuwa najua ni matani tu ya jukwaani kumbe yupo serious masikini fakalava ebu ukuje
Na kusahau nimeshasahauKwani Bado Unaifikilia Safar Ya Kigambon Beach
Naweza Kukufanyia Interview Hapa Hapa Kupitia Uzi Huu Kama Utajali....??Na kusahau nimeshasahau
Hapana aisee me na hizo mambo tofautiNaweza Kukufanyia Interview Hapa Hapa Kupitia Uzi Huu Kama Utajali....??
Kuna Mambo Kadhaa Naitaji Jua Toka KwakoHapana aisee me na hizo mambo tofauti
Kweli nimepotea ila weekend kama hivi napata walau nafasi kidogo, na mida yenyewe ni kama hii. How are you doing my dear friend?Fakalava ni mshikaji wangu mpaka leo huwa hakati tamaa na mm jamaan namkubali sana angekuwa mwanaume mwingine angeninua na kuninua ninavyomjibu lakini yeye ni tofauti bado ni rafiki siku hizi amepotea jf huwa namuona siku moja moja sana
Teh teh teh..... kijana umenikumbusha mbali.Ah ah ah ah ah Daaaaahh Huyu Kiumbe Nakumbuka Kipindi Kile Na Safar Na Shunie Kuja Kigambon Beach Nikikumbuka Nafurai Sana Aitheee
Fanya Kweri Twende Kigambon Beach Mzee BabaTeh teh teh..... kijana umenikumbusha mbali.
Sijawahi kumsumbua Shunie, Shunie nimetoka naye mbali hasa kwenye story ya Peniela, ambayo ni story pekee hapa Jf niliifatilia mwanzo mpaka mwisho. Baada ya hapo nikawa mwalimu wake kwa mambo kadha wa kadha, sina kawaida ya kusumbua wala kukera watu.Shida Mama Angu Kipindi Kile kulikuwa Na Watu wanakusumbua Sumbua Kias Kwamba Nikasema Acha Tuuu Niwaache
Mf : Fakalava
Mi Sikuit FakalavaSijawahi kumsumbua Shunie, Shunie nimetoka naye mbali hasa kwenye story ya Peniela, ambayo ni story pekee hapa Jf niliifatilia mwanzo mpaka mwisho. Baada ya hapo nikawa mwalimu wake kwa mambo kadha wa kadha, sina kawaida ya kusumbua wala kukera watu.
Niko huku Kibiti nachoma mkaa Mungu akijaalia naona tanuli langu litanitoa, nitakuja Kigamboni kutumbua.Fanya Kweri Twende Kigambon Beach Mzee Baba
Upoa Icho Chombo Mzee Baba
Hatuchekan mi nipo Tuuu Kimanz ChanaNiko huku Kibiti nachoma mkaa Mungu akijaalia naona tanuli langu litanitoa, nitakuja Kigamboni kutumbua.
Kimanzichana nilikuwepo majuzi kati kuna shamba nalilia timing.Hatuchekan mi nipo Tuuu Kimanz Chana
Huyu bado kigori kabisaaaIv Unajua Nashindwa Kukuweka Katika Gundi Lip
Msichana
Mwanamke Ambaye Hajaolewa Bado Anatafuta
Mmama Mwenye Watoto
yani Najikuta Najiuliza Maswali Mengi Ambayo Hata Sipat Majib
Cha Ajabu Zaid # Yako Nilikuwa Nayo Ila Sikuwa Kukuiliza Haya Maswali