Striker wa Yanga Clement Mzize abadili Dini

STRAIKER ndo nini?
 
 
Kama ni kwel ana badili kisa ndoa ni bwege tu .mwanaume yoyote anae badili dini ili amfate mkewe ni kiazi tu
Tena ni Bwege cubic, Ke mwenyewe ni kiumbe kisichojua kinataka nini, sasa Me unaanzaje kukaza fuvu ili tu umuoe, je kesho Ke akibadili gia angani hakutaki anataka kuolewa na Me mwingine?
 
Iki kipindi cha Ramadhan biashara yangu inashuka sana, badala ya kuchinja watano inabidi niwe nachinja mmoja tu!

Nitawamisi wateja wangu kama wewe mpaka Ramadhan iishe!
Sauti kidogo ili wasikusikie vizuri...[emoji847]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…