Striker wa Yanga Clement Mzize abadili Dini

Ndio ukweli huo huko kwa wazee wakobazi majini na mapepo ni kitu kimoja mim binafsi siwezi kushangaa kwa mtu anae taka mafanikio ya mikato kupitia njia hiyoView attachment 2562578
Mama yale Yesu pia kwenye picha huonekana amevaa mavazi yanayovaliwa na kina mama wa kiislamu ya kujistiri sio kama wamama wa upande ule wanaoingia kanisani na vimini.
 
Yesu pia alikuwa muislam maana picha mnazobandika makanisani amevaa kanzu na kobazi safi kabisa.
Yule sio yesu,ni wahuni waliingizi so makanisa yanayo tumia izo picha wajitafakari
 
Muda si mrefu tunaufinya ubwabwa wa harusi...
 
Bibi hauna mwingine nna Mimi nibadili dini,wakristo tunabaniwa,kuoa mmoja tu wa ngama
Unaona raha ya Uislam.

Ma shaa Allah tunao mabinti wengi sana wa Kiislam wanaopenda stara.

Anza kujifunza kuswali. Ukiweza juzisoma japo sura ndogo tano za Qur'an za kukufanya uweze kuswali kwa raha, ndiyo itakuwa mahari ya binti.
 
Wamebadilishana na yule mwanamuziki aliyefunga ndoa kule Mbezi kama sijakosea
 
Maamuzi sahihi kwa wakati sahihi
 
Tupe mstari mmoja uliokufanya wewe useme Issa alayhi salaam siyo Yesu alayhi salaam.

Ungemsoma Issa kwenye Qur'an usingebaki kizani, ungeiona Nuru ya Allah. Muone mwenzako huyu...
.
( فَأَتَتْ بِهِ قَوْمَهَا تَحْمِلُهُ ۖ قَالُوا يَا مَرْيَمُ لَقَدْ جِئْتِ شَيْئًا فَرِيًّا )

مريم (27) Maryam

Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!

( يَا أُخْتَ هَارُونَ مَا كَانَ أَبُوكِ امْرَأَ سَوْءٍ وَمَا كَانَتْ أُمُّكِ بَغِيًّا )

مريم (28) Maryam

Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.

Hapa inaonyesha kwa mujibu wa quran mamaye Isa ni Mariam dadaye Haruni ilihali dadaye Haruni kwa mujibu wa biblia aliitwa Miriam na siyo Mariam na huyu aliishi miaka maelfu nyuma kabla ya Yesu hivyo asingeweza kumzaa maana alishakufa kitambo

Kwa mujibu wa Biblia Yesu alizaliwa na Mariam mkewe Yusufu huyu hana ukaribu wowote na Haruni
 
Hakuna baya lolote linaloweza kukukuta kwa kuifata haki, hata washirikina huwa wanafanikiwa kwenye ushirikina na wanadhurika wakiuacha lakin hamna namna inabidi uachane na ushirikina tu.
 
Hakuna baya lolote linaloweza kukukuta kwa kuifata haki, hata washirikina huwa wanafanikiwa kwenye ushirikina na wanadhurika wakiuacha lakin hamna namna inabidi uachane na ushirikina tu.
Ndiyo point yangu kwamba aliyekupa mafanikio kaa naye huyo huyo unless una sababu ya msingi sana ya kuhamisha majeshi.

Kitabu cha Ayubu huwa kinanifikirisha sana jinsi mambo ya kiroho yanavyofanya kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…