Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
[emoji3][emoji3]SUA wanazingua wawatrain panya kugundua Kama wife katoka kwa mchepuko au Mr hii itakuwa biashara ya nguvu ingawa tutatembea na sumu za panya mfukoni ni kumuwahi Kama umetoka mahali.
Ufugaji.Sasa panya kutegua mabomu..Ni kilimo?
AiseWale panya wa sua hakuna kitu hawawezi
Ngoja niwacheki wanipe mimba maana sex sitaki
Nasikia wakinusa tu kitu kinaingia
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Kazi yao kunusa tuYani wanuse mbususu yako upate mimba!!?
ama sijakupata?
Mtoa hoja ana hoja. Course ya Education SUA ya nini? Kijishughulishe na lengo la kuanzishwa kwake. Usipindishe hoja nyie Ma-Profesa wetu wa nadharia wakati masuala ya nchi Mhe.Msukuma, Lusinde na wengineo wanapambana nayo.TAFAKARI HOJA KWANZA ACHA NA HAO PANYA WENU[emoji38][emoji38]Mtoa uzi usikalili maisha,huo utafiti kuhusu panya ni ka sehemu kadogo Sana kati ya tafiti nyingi zilizofanywa/zinazofanywa na SUA.
Wanabisha bure lakini ukweli ndio huo. Mi-course ya ajabu ajabu mingi wakati vyuo vingine vinafundisha hizo courses.nakukumbusha kwa sasa lile jina "chuo cha kilimo " ni jina tu ila yaliyo ndani sio kilimo,na kuthibitisha hili tafuta mtu yuko SUA muulize kwanini kuna ualimu,na baadhi ya kozi zisizoeleweka pale kama shahada ya utalii ndio utajua uhalisia nadhani wanataka kuongeza na shahada ya rasilimali watu ambayo wanajua kabisa kuna vyuo vingi vinatoa hadi sasa na ajira hazipo;
hivyo kama mnavyomkosoa mleta mada kuwa hajui alichosema,naona baadhi yenu mmeanza kuchangia msivyovijua pia;
katika uhalisia SUA ni kati ya vyuo ambavyo vina kozi nyingi zisizo na ajira nchi hii,na hakijafanya hata lile lengo lake la kuzalisha wataalamu wa kilimo nchi hii;
Nimecheka sanaSUA wanazingua wawatrain panya kugundua Kama wife katoka kwa mchepuko au Mr hii itakuwa biashara ya nguvu ingawa tutatembea na sumu za panya mfukoni ni kumuwahi Kama umetoka mahali.
Acha kuchekeshaWale panya wa sua hakuna kitu hawawezi
Ngoja niwacheki wanipe mimba maana sex sitaki
Nasikia wakinusa tu kitu kinaingia
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Mbawa pavlov na njiwa wa skinne!!!Na Thadei Ole Mushi.
SUA wamekuja na panya wa Kupima Corona... Mimi nshaanza kuchoka na hawa panya wa SUA.
Sayansi hii ya kufundisha wanyama kunusa (Sniffing) kwa wenzetu ilianza muda mrefu sana. Ni mojawapo ya Technolojia ya kizamani kabisa. Huko Cuba Panya wameanza kutumika toka 1954 kunusa maeneo yenye madini, mobomu nk. Kwa sasa haitumiki Sana kwa kuwa njia za kisasa zaidi zimeendelea kugundilika kila kukicha.
Ni wakati sasa wa kuwaambia SUA badala ya kutrain Panya zaidi ambao hatuwatumii popote wajikite kwenye kugundua mabomu ambayo tutayauza au wajikite kwenye kufanya tafiti tunawezaje kutumia uranium iliyopo kule Dodoma kuzalisha nguvu za Nyuklia. Au wajikite kutengeneza Chanjo ya Corona ambayo tutaiuza.
Waliwahi kuja na panya wa kutambua TB lakini hakuna Hospital hata Moja inayotumia Panya kunusa makohozi. Bado njia za kisasa za kupima TB ndizo zinazoendelea Kutumika mahospitalini.
Hata hii ya kutegua Mabomu kwa kunusa ni ya zamani Sana. Majeshi ya wenzetu hawatumii Tena sniffing technology Sana nadhani tunapaswa kuanza kufikiria kubadilika.
Sio kwamba wenzetu hawawezi ku train Panya kufanya sniffing. Wanaweza Sana Ila ni technolojia ya Zamani mno watu walishahama huko wanaitumia technolojia hii mara Chache Sana.
Yaani Maabara za Dunia zipo busy kutengeneza Chanjo na Makampuni yanashindana kwenye kutengeneza Chanjo sisi tunamuwaza panya tu atusaidie kunusa watu wenye Corona.
Tuwekeze kwenye tafiti zitakazoleta faida na uvumbuzi wenye tija kwa Taifa na Dunia. Naona SUA wao kila kitu ni kuwaza Panya wao tu. Tumekuwa kama tumesimama mahali pamoja wenzetu wanakwenda mars na kurudi sisi tunalisha Panya Pumba tu hapo SUA. Na wameona hakuna Cha maana wanachofanya wameamua kuanzishwa course za Education. Jamani nafikiri hivi vyuo kila kimoja ki-save purpose yake.
Je kitu Wanachokiweza SUA ni Kutumia panya Kunusa Tu? Vyuo vikuu vingine wao kwani wanasemaje? Muhimbili pale kile kijumba Cha kujifukiza bado kipo?
Tunakwama wapi? Leo Tarehe 15/5/2021 asubuhi hii China imefanikiwa kurusha kifaa kwenda Sayari ya Mars na kimetua vizuri na kitakaa huko Miezi 3 kutafiti kama Kuna uwezekano wa maisha kwenye Sayari hiyo. Huko Sua Profesa anaamka na Box la Panya anaenda kuwachungulia na anatokea hadharani anasema amevumbua kitu.
Tubadilike... Dunia inakimbia sisi tumekaa kabisa na tumeanza kulala.
Ole Mushi.
0712702602
View attachment 1785585
Hizo tafiti zenu zimeinua wakulima? Mnashindwa na wakenya, mbegu na kemikali zimejaa mdukani kutoka kenya, hamuoni aibu?Kwa taarifa yako:
1. Sua wanafanya tafiti nyingi sana, hiyo ya panya ni ndogo tu.
2. Hujui sua wametengeneza chanjo za magonjwa mengi ya wanyama ikiwemo kuku? Wiraza zenu izinaendelea kuabudu chanjo kutoka nje. Sio kosa la sua
3. Vipi vipaumbele vya taifa kuhusu maendeleo? Je wametenga bajeti kiasi gani na sua wakashindwa kuomba na kutekeleza? Umeelewa?
4. Training kubwa ya MSC na PhD sehemu kubwa tumeachia wafadhili, wakija na ajenda za panya wasiombe fund?
Yako mengi nadhani mleta mada anaufinyu mkubwa wa uelewa kuhusu hali za vyuo vyetu. Afanye tafiti kabla ya kukurupuka kuandika
Naishia hapo
Yani chuo Cha kilimo kikafanye tafuti kwenye Uranium?
Hahaha nchi hii haiishi vituko.
Sua wanafundisha physics watashindwaje kufanya tafiti za uranium ?How comes SUA wafanye tafiti za nishati za uranium wakati ni chuo cha Kilimo na mifugo kwa specialization. Wenzako wanatumia panya sababu mifugo ndio sehemu ya specialization yao hivyo watatumia resources, knowledge walizonazo katika kufanya tafiti.
Mfano kuna tafiti za madawa ya kilimo mengi ambayo SUA wamefanya na kugundua dawa ambazo zinatumika kwa wingi kwa wakulima, Pia kuna mbegu za mazao pamoja na wanyama ambao SUA wamegundua na kuwauzia wakulima ila serkali yako ndo imeshindwa kupigia promo na kutoa motisha kwa wazalishaji wa ndani hivyo acha kulahumu.
Mkuu Thadei!Na Thadei Ole Mushi.
SUA wamekuja na panya wa Kupima Corona... Mimi nshaanza kuchoka na hawa panya wa SUA.
Sayansi hii ya kufundisha wanyama kunusa (Sniffing) kwa wenzetu ilianza muda mrefu sana. Ni mojawapo ya Technolojia ya kizamani kabisa. Huko Cuba Panya wameanza kutumika toka 1954 kunusa maeneo yenye madini, mobomu nk. Kwa sasa haitumiki Sana kwa kuwa njia za kisasa zaidi zimeendelea kugundilika kila kukicha.
Ni wakati sasa wa kuwaambia SUA badala ya kutrain Panya zaidi ambao hatuwatumii popote wajikite kwenye kugundua mabomu ambayo tutayauza au wajikite kwenye kufanya tafiti tunawezaje kutumia uranium iliyopo kule Dodoma kuzalisha nguvu za Nyuklia. Au wajikite kutengeneza Chanjo ya Corona ambayo tutaiuza.
Waliwahi kuja na panya wa kutambua TB lakini hakuna Hospital hata Moja inayotumia Panya kunusa makohozi. Bado njia za kisasa za kupima TB ndizo zinazoendelea Kutumika mahospitalini.
Hata hii ya kutegua Mabomu kwa kunusa ni ya zamani Sana. Majeshi ya wenzetu hawatumii Tena sniffing technology Sana nadhani tunapaswa kuanza kufikiria kubadilika.
Sio kwamba wenzetu hawawezi ku train Panya kufanya sniffing. Wanaweza Sana Ila ni technolojia ya Zamani mno watu walishahama huko wanaitumia technolojia hii mara Chache Sana.
Yaani Maabara za Dunia zipo busy kutengeneza Chanjo na Makampuni yanashindana kwenye kutengeneza Chanjo sisi tunamuwaza panya tu atusaidie kunusa watu wenye Corona.
Tuwekeze kwenye tafiti zitakazoleta faida na uvumbuzi wenye tija kwa Taifa na Dunia. Naona SUA wao kila kitu ni kuwaza Panya wao tu. Tumekuwa kama tumesimama mahali pamoja wenzetu wanakwenda mars na kurudi sisi tunalisha Panya Pumba tu hapo SUA. Na wameona hakuna Cha maana wanachofanya wameamua kuanzishwa course za Education. Jamani nafikiri hivi vyuo kila kimoja ki-save purpose yake.
Je kitu Wanachokiweza SUA ni Kutumia panya Kunusa Tu? Vyuo vikuu vingine wao kwani wanasemaje? Muhimbili pale kile kijumba Cha kujifukiza bado kipo?
Tunakwama wapi? Leo Tarehe 15/5/2021 asubuhi hii China imefanikiwa kurusha kifaa kwenda Sayari ya Mars na kimetua vizuri na kitakaa huko Miezi 3 kutafiti kama Kuna uwezekano wa maisha kwenye Sayari hiyo. Huko Sua Profesa anaamka na Box la Panya anaenda kuwachungulia na anatokea hadharani anasema amevumbua kitu.
Tubadilike... Dunia inakimbia sisi tumekaa kabisa na tumeanza kulala.
Ole Mushi.
0712702602
View attachment 1785585
Kumbe uwezo wa kutengeneza chanjo tunaoNimetumia chanjo yao mwaka jana ya magonjwa manne kwenye chanjo moja kwenye mifugo yangu
Kiukweli mpaka sasa mifugo hawajaugua
Jamaa wapo fit
Mbona. Kilimo hohe hahe , hizo tafiti zao zinatatua nini ?Hakijui hiki chuo!
Nafikiri ndiyo chuo kinachoheshimika zaidi Tanzania hata huko ulimwenguni kwa tafiti.
Wana maabara kubwa ya tafiti za mbegu na wanajenga maabara kubwa na BORA zaidi Africa.
SUA ukisikie tu mitaani ila ni chuo chenye tafiti nyingi zaidi ya panya.
Everyday is Saturday.............................. 😎