SUA badilikeni, achaneni na Panya imetosha

SUA badilikeni, achaneni na Panya imetosha

Naishi hapa SUA. Wasalimie Ma-Profesa Msanya, Mahoo, Dr. R.Salanga n. k, waambie nipo hapa baa ya Kambarage namenya balimi,nawe pia karibu tuzimenye[emoji1787][emoji1787]
Kambarage maeneo yangu hayo ya kujidai.Hapa SUA unajishugulisha na Nini?
 
1. Una HOJA lakini haikidhi kujibu hoja ya mtoa hoja.

2. Hizo digrii za ualimu katika masomo ya sayansi kama ulivyotanabaisha zinafundishwa katika Vyuo mbalimbali hapa nchini.

3. Tatizo linaloleta maswali ni lengo/malengo ya chuo kikuu cha kilimo pekee hapa nchini ku-diverge kwenye mambo ya kilimo kuwa na mwelekeo wa kutoa digrii za elimu?

4. Hivi hizo digrii za elimu zinafundishwa na Ma- Profesa Mahoo (ana zaidi ya miaka 30 hapo SUA) Msanya au kuna wengine waliletwa?Wahadhiri wa UDSM, DUCE,TUMAINI,SAUTI,N.K warafundisha nini kwenye vitivo vyao vya Elimu?

5. Hebu wasomi wetu tuwe na mawazo chanya kuendana na dunia ya sasa ili kuiletea nchi yetu maendeleo pamoja na kumsaidia Mhe.Rais wetu Mama SSH ili tupate matokeo chanya.

6. Huoni kuna ukakasi katika malengo ya uanzishwaji wa SUA miaka hiyo na uanzishwaji wa digrii za Elimu SUA miaka ya hivi karibuni?

7. Tutafakari zaidi na hao PANYA WENU. Inaonekana hawana tija kwa Taifa na isiwe kama Chaka la kuomba misaada ya fedha kutoka kwa wafadhili.

KARIBU TUTAFAKARI PAMOJA!!
Kama issue ingekuwa tu vyuo vinavyofundisha ualimu na wahadhiri wanaofundisha ualimu basi pasingekuwa na huo upungufu wa Walimu wa Sayansi!

Kama vyuo vipo, na wahadhiri wapo, and still kuna upungufu basi huo ni ushahidi tosha kwamba kuwepo kwa vyuo hivyo na wahadhiri hao peke yake sio suluhisho!!

Aidha, huu ulikuwa ni mkakati maalumu wa kuongeza walimu wa sayansi, na kwa maana nyingine, hata idadi ya wanafunzi wa kwenda kusomea ualimu wa sayansi ilitakiwa kupanda maradufu!!

Na kama idadi ya wanafunzi ilitakiwa kupanda maradufu, ina maana pia kulikuwa na ongezeko la mahitaji ya wahadhiri wa masomo ya sayansi! Na suala la idadi ya wanfunzi kuongezeka maradufu lilikuwa linaonekana wazi pale serikali ilipokuwa inatoa motisha ya mkopo kwa 100% na guarantee ya ajira!

Sasa kama tayari kuna uhaba wa walimu wa sayansi kwa level ya secondari, hivi ulishawahi kujiuliza hao wahadhiri wa kutosha wa masomo ya sayansi huko vyuo vikuu wangetokea wapi??!!

Ukitafakari hayo, utakuja kuona over 75% ya wahadhiri wa SUA (kama sio 90% kabisa) wana background ya masomo ya sayansi, na bado wanafundisha masomo ya sayansi kupitia hizo coz' za kilimo!

Kwa maana nyingine, kumbe tayari SUA kuna lecturers ambao majority background yao ni masomo ya sayansi, na bila shaka wanao uwezo wa kufundisha hayo masomo!! Sasa je, hivyo vyuo vingine mahitaji makubwa ya hao wahadhiri wange-handle vipi?!
 
Kama issue ingekuwa tu vyuo vinavyofundisha ualimu na wahadhiri wanaofundisha ualimu basi pasingekuwa na huo upungufu wa Walimu wa Sayansi!

Kama vyuo vipo, na wahadhiri wapo, and still kuna upungufu basi huo ni ushahidi tosha kwamba kuwepo kwa vyuo hivyo na wahadhiri hao peke yake sio suluhisho!!

Aidha, huu ulikuwa ni mkakati maalumu wa kuongeza walimu wa sayansi, na kwa maana nyingine, hata idadi ya wanafunzi wa kwenda kusomea ualimu wa sayansi ilitakiwa kupanda maradufu!!

Na kama idadi ya wanafunzi ilitakiwa kupanda maradufu, ina maana pia kulikuwa na ongezeko la mahitaji ya wahadhiri wa masomo ya sayansi! Na suala la idadi ya wanfunzi kuongezeka maradufu lilikuwa linaonekana wazi pale serikali ilipokuwa inatoa motisha ya mkopo kwa 100% na guarantee ya ajira!

Sasa kama tayari kuna uhaba wa walimu wa sayansi kwa level ya secondari, hivi ulishawahi kujiuliza hao wahadhiri wa kutosha wa masomo ya sayansi huko vyuo vikuu wangetokea wapi??!!

Ukitafakari hayo, utakuja kuona over 75% ya wahadhiri wa SUA (kama sio 90% kabisa) wana background ya masomo ya sayansi, na bado wanafundisha masomo ya sayansi kupitia hizo coz' za kilimo!

Kwa maana nyingine, kumbe tayari SUA kuna lecturers ambao majority background yao ni masomo ya sayansi, na bila shaka wanao uwezo wa kufundisha hayo masomo!! Sasa je, hivyo vyuo vingine mahitaji makubwa ya hao wahadhiri wange-handle vipi?!
[emoji38][emoji38],wasalimie Ma-Profesa Mahoo na Msanya. Pia Dr. Raymond Salanga.

Bado nipo hapa baa ya Kambarage nazimenya Balimi kwa kwenda mbele.

Karibu tusongeshe maisha,au Mugroo wamefyonza fedha zako?

Upo Main Campus au Solomon Mahlanga/Mazimbu?

Hivi Chini ya Mti bado ipo au ilishapoteaga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimefanya research kidogo nikajikuta naumia zaidi kwa mambo mawili...

1. Jinsi tunavyodharau huu utafiti, na
2. Jinsi huko duniani utafiti huu ulivyokuwa ume-make headlines mwaka jana lakini bila kutajwa chuo husika!!!

(i) The New York Times- Rat That Sniffs Out Land Mines Receives Award for Bravery.

Wakati Thadei na wenzake mnaona hao ni panya wanaotakiwa kuwekwa makumbusho kwa sababu ni useless na huko ughaibuni wametumika sana na hivi sasa hawana maana yoyote, The New York Times wanasem:-

Kwenye habari hiyo ya NYT, hata Tanzania haikutajwa, na labda unaweza kudhani anazungumziwa panya mwingine kabisa!!!

(ii) USToday:- Meet Magawa, the 'hero rat' awarded a bravery medal for detecting dozens of landmines.
US Today na wenyewe wameshindwa kuitaja hata Tanzania let alone SUA lakini wanafungua habari yao kwa kusema:-

(iii) The Guardian ( UK):- Magawa the landmine detection rat given gold medal for bravery.
Kama kwa hizo media, The Guardian nao hawaitaji SUA wala Tanzania lakini wanaukubali uwezo wa huyo panya ambao unazidi ule wa binadamu kwenye kutegua mabomu ambapo wanasema:-


(iv) NBC News:- Rat called Magawa awarded prestigious gold medal for Cambodia landmine. detection

Kama hao wengine, NBC News inaonekana hawana ufahamu wowote kuhusu TZ na SUA kwenye uwepo wa hao panya, na matokeo yake wanaishia tu kusema:-


(v) (i) BBC - Magawa the mine-detecting rat wins PDSA Gold Medal.

Bora hata BBC ambao angalau waliitaja Tanzania ingawaje sio kwa kuipa credit kwamba:-


Hiyo ni sehemu ndogo sana ya headlines za Panya ambao Wabongo tunataka wawekwe makumbusho kwa sababu ni "useless"!!

Sasa ikiwa sisi wenyewe tu tuna fikra kama hizi, hivi kuna mtu anaweza kuzishangaa hizo media za nchi za magharibi kutosema chochote kuhusu Tanzania, na hususani SUA ambao ni partner wakubwa wa huo mradi?

Media zote zinatoa credit kwa taasisi ya Kibelgiji inayoitwa Apopo yenye ofisi zake hapo SUA!! Ajabu, hata ukiingia kwenye website ya Apopo, huwezi kuuona ushiriki wa SUA kwa haraka! Binafsi, ilinibidi nitumie keyword tofauti ndipo nikakutana na sehemu ya hii habari:-


Ukweli ni kwamba, serikali zetu pays little attention kwenye kazi zinazofanywa na wazawa, no wonder watu kama Ngunichile wanahoji:-

Lakini ukiacha kutumia source za SUA wenyewe ambao nilichelea wasije wakawa wanajimegea, nikalazimia kutafuta credible external source ambayo inasema:-

Hayo ni maelezo kutoka tovuti ya University of California, Davis, na ukiingia website ya SUA wenyewe, hapa utakuta mlolongo wa research projects!
Sikutarajia hao mabeberu wangeipa credit sua, in fact hiyo project ime fadhiliwa na hao mabeberu.

Hivi serikali yetu sijui ina kwama wapi?? Kwann wasiwe wanatenga fungu kwa ajili ya tafiti?
 
Kama zipo tafiti nyingine mbona hazisikikii ?? Mimi uwa nasikia panya, panya tu
Uelewa wako juu ya SUA ni mdogo sana sana, kajisomee uijue vizuri au uliza walioko huko alafu urudi tena. Sasa SUA wanaingiaje kwenye uranium na mabomu tena? mbona huo mradi wa panya ni kiduchu mno hapo SUA? Ujue pia serikali haitoi hela za kufanya tafiti wala kusomesha wanafunzi kwa ngazi za shahada ya uzamili na uzamivu, hayo yote yanategemea wafadhili.
 
SUA hawataona huu ni ushauri,ni kweli kwa dunia ya leo kufanya utafiti wa panya sijui atambue nini,ni uzembe wa kiwango cha lami;
ningesikia wana-design sensors kwa ajili ya utambuzi wa magonjwa mbalimbali sawa,ila panya hapana;
Hiyo fund iko wapi?
 
SUA wana tatizo moja kubwa sana,nalo ni hili,wakisifiwa na kupewa sifa kwa jambo ambalo hata mtoa sifa hajui mnapongeza ila mkikosolewa mnasema asikosoe kwa kitu ambacho hajui;
mimi nijuavyo kwa zama zetu kufanya tafiti za panya tena kwa kiwango kile ni uelewa mdogo wa mambo au kutaka kutafuta funds tu kujipa miradi,tuache uongo chuo kikuu kufanya utafiti wa aina ile kwenye wanyama ni kukwepa majukumu yake;
kuna mtu amesema waliwahi kumfunza panya kutambua makohozi yenye kifua kikuu,sasa application yake iko wapi?,kumbuka hapo SUA kuna hospitali mbili moja main campus moja kule kijijini (mazimbu) ,kwahiyo ningetegemea kuona maabara ya kupima kifua kikuu ikiwa SUA maana tayari tuna panya ila kila kitu ni kulaumu serikali;
Huo mradi wanausimamia wenyewe mabeberu wanaotoa hiyo pesa. SUA ni mwenyeji wao tu, na pia wana umuhimu mkubwa ila kwa kuwa mna uelewa mdogo mmebaki kukebehi tu. Hao wazungu na teknolojia zao zote wanawategemea sana mbwa kwenye sniffing, angalia airport zao zote, wanyama hawa wana uwezo mkubwa sana haswa wakifanya kazi kwa pamoja na teknolojia.
 
Wengi hapo juu mnaotetea hili suala ni watu wa palepale,na hamtaki kuukubali ukweli huu,kama kweli ninyi ni academics/PhD holders wa SUA na mnatoa majibu hayo hapo juu kwa jamaa basi hamstahili kuwa waalimu kwa level ya chuo kikuu;
ombi langu ni hili,tumjibu hoja zake kwa kiwango alichoziandika na kwa kiwango cha uelewa wake kuhusu akademia sio kuanza kusema hajui hili au lile,mkiona hajui basi arekebishwe vema kwa lugha ya kiakademia sio maneno ya kwenye vigodoro huko tandale;
Umejuaje kuwa wanaojibu ni academician wa SUA na si vinginevyo?
 
Hakijui hiki chuo!
Nafikiri ndiyo chuo kinachoheshimika zaidi Tanzania hata huko ulimwenguni kwa tafiti.
Wana maabara kubwa ya tafiti za mbegu na wanajenga maabara kubwa na BORA zaidi Africa.
SUA ukisikie tu mitaani ila ni chuo chenye tafiti nyingi zaidi ya panya.

Everyday is Saturday.............................. 😎
Hizo rankings zina "usiasa" ndani yake.
Kuna vyuo Kama SUA na Nelson Mandela ni level nyingine kabisa.
 
Back
Top Bottom