Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Ziko wapi na zainatumika wapi,sisi tunasikia panya tuuMtoa uzi usikalili maisha, huo utafiti kuhusu panya ni ka sehemu kadogo Sana kati ya tafiti nyingi zilizofanywa/zinazofanywa na SUA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziko wapi na zainatumika wapi,sisi tunasikia panya tuuMtoa uzi usikalili maisha, huo utafiti kuhusu panya ni ka sehemu kadogo Sana kati ya tafiti nyingi zilizofanywa/zinazofanywa na SUA.
Waache bana , nangojea wafanikishe kumtumia panya kama mbadala wa ng'ombe kukokota yale majembe ya kulimia sijui wanaita plau...itakua poa sana
Waache bana , nangojea wafanikishe kumtumia panya kama mbadala wa ng'ombe kukokota yale majembe ya kulimia sijui wanaita plau...itakua poa sana
Jamaa umetokwa povu sio la nchi hii au ndio unawalisha hao panya hapo SUA unaona kama tunakusagia kunguni.. 😂😂😂😂... tuambie wewe unaowalisha hiyo impact maana tunapokwenda kutest COVID 19 hatuwaoni hao panya wako tunatumia testing kits kutoka
Aisee umeongea point sana na hicho ndicho tunachokizungumza, tafiti yoyote lazima iwe na impact kwenye society sasa wanasema panya anaweza tambua covid 19 ni wapi umepita ukakuta tunatumia panya kutest covid 19 zaidi ya kutumia tesing kits hizo tulizopimia oil chafu na mapapaiTunaona ni ajabu kwa sababu hata kama tafiti itaonyesha kweli panya hao wanaweza kugundua kitu fulani hawana Msaada mwishoni. Kwa mfano walisema wanao panya wanaogundua makohozi yenye vimelea vya TB, ok niambie Sasa ni hospitali gan Tanzania hii wanatumia hao panya kwenye maabara zao kupima TB? Fanyia tafiti Jambo ambalo litakuwa applicable iwapo utafiti huo utakamilika ili kuwa Msaada kwa Watanzania lkn sio utafiti ambao ukifanikiwa unakuwa hauna faida kwa taifa. Ndio mtoa mada anasema tuachane na tafiti za Aina hiyo na wawekeze nguvu kwenye tafiti nyigine ambazo najua zipo wanazifanya na zinafaida km ilivyo chanjo ya mifugo
Nafikiri kuna mahali hujachuja vizuri unachotaka kuongea, hujatambua vizuri subject matter unayotaka kuiongelea:Ni wakati sasa wa kuwaambia SUA badala ya kutrain Panya zaidi ambao hatuwatumii popote wajikite kwenye kugundua mabomu ambayo tutayauza au wajikite kwenye kufanya tafiti tunawezaje kutumia uranium iliyopo kule Dodoma kuzalisha nguvu za Nyuklia
Wagundue Viagra ndio tutawaona wa maanaKama sniffing dogs wanatumika kwanini iwe ajabu panya kutumika?
Umechoka kutafuta sasa unataka uwanase vijana kirahisi?Ngoja niwacheki wanipe mimba maana sex sitaki